Mwanafunzi atengeneza simu isiyotumia air time

Mwanafunzi atengeneza simu isiyotumia air time

Mwanafunzi wa Darasa la 12 nchini Namibia ametengeneza simu isiyokuwa na sim card na wala haitumii muda wa maongezi kupiga simu.

Kwa mujibu wa New Era report, Simon Petrus mwanafunzi wa Abraham Iyambo Senior Secondary School, ametengeneza simu hiyo kwa kutumia spea za simu zilizoharibika na Mabaki ya tv iliyoungua na kuiunganisha na light bulb, fan and charger socket, simu hiyo inapata chaji yake kupitia radiator and inaweza kupiga simu popote pale kwa kutumia mawimbi za redio (radio frequencies).

The invention, which is made up of a radio system na ameiweka katika boksi ambapo unaweza kuangalia kupitia simu hiyo Chaneli moja ya Tv.

Mwanafunzi huyu huyu mwaka jana alishinda a gold medal at national level for his invention of a two-in-one machine that works as both a seed drier and cooler.

As a Tanzanian I believe that hata sisi watoto zetu wanaweza kugundua vitu vingi sana tunachotakiwa kufanya ni kuwapa nafasi.
source please!!
 
Kuna darasa la sita at 13 yrs old mwka 2000 alibuni redio station na kurusha matangazo ndan ya km moja apa Mburahat.cjui aliishia wap.km angewezeshwA hopin nw angekua mbali sana.alifel mtiani wa kumalza elimu ya msing.
Dah elimu ya muda huo mtu unamaliza darasa la saba hata cha kufanya unacho lakini Leo form two kusoma na kuandika ni kitendawili sijui tunaelekea wapi
 
Nakumbuka wakati Niko chuo cha ualimu Mpuguso pande za Tukuyu mbeya 2008 Kama Dom leader Nilianzisha Radio station nikaiita Mchoro Fm nikikuwa natumia mic na antena niliionganisha na Vitanda vyote vya chuma pale ndani ya dom na kuipitisha kwenye Bati. amini usiamini ilikuwa inasikika Chuo kizima na vijiji vya karibu. Japo ilikuwa ni ya siri cz Hatukuruhusiwa kusikiliza redio muda mrefu na mwisho wa siku nilikuja kukamatwa na Mkufunz nikiwa kati katia ya matangazo na tangu siku hiyo tukaizika mchoro fm. faida moja wapo niliyopata ni Kufahamika sana pale chuo na kijijini kitendo kilichopelekea nikawa nakula VIBAMA vya bure na nikang'oa mtoto mmoja mzuri sana wa kinyaki. kwa kifupi ububifu unalipa asee. sSa sijui na mie ni mgunduzi ama.?
 
Hapo knowlegde ya physics inafanya kazi,kweli kipaji,ujuzi na kusoma raha.
 
ingekuwa hapa kwetu TCRA wangempiga marufuku kabisa kufanya huo mchezo tena
Watanzania wana roho mbaya sana,mtu mwenye kipaji wanamdidimiza,wanajua tukimpa nafasi atatuzidi hata sisi viongozi wake.
Watu kama hawa wakipewa nafasi wataiweka vema nchi yetu kwenye nafasi nzuri zaidi.
 
Kua mpole ndugu, usikurupuke kama huyu nanilinhii wa ccm,
Jifunze kutofautisha kati ya TCRA na TCAA yaan tanzania communication regulatory authority TCRA na tanzania civil aviation authority TCAA...
Si ndiyo walewale vibanizi wa ngazi za juu?
 
Hapa kwetu TCRA wangepiga marufuku hata kabla hajafikiria kugundua!
 
kilicho andikwa hata akieleweki, mtoa mada upo. sas mtu anatengeneza simu ina fanya kaz bila cheap huo nao ni ugunduz ? nimejiuliza maswal mengi
mfano ukitaka upige simu kwa mtu yeyote kama wew mtoa maada, ntakupigia vip sas ? yaani namaanisha nin kitatuonganisha wew upo voda, mim from no mtandao inawezekanaje duu!!!
 
  • Thanks
Reactions: MC7
Utoege na link ya habari yako...Mkuu.


Simon Petrus Invented Phone In Namibia Which Does Not Use Airtime (Photos,Video) by ebosie11(f): 5:35am On Jul 31
A Grade 12 learner in Namibia’s Ohagwena Region has invented a sim-less mobile phone that allows users to make free calls and watch one TV channel.

Simon Petrus, a pupil at Abraham Iyambo Senior Secondary School, created the phone using spares from a phone and television set.

Complete with a light bulb, fan and charger socket, the handset functions off power supplied through a radiator and is able to make calls to anywhere through the use of radio frequencies.

The invention, which is made up of a radio system, is attached to a box and also allows the user to view one TV channel on it.

He is also able to watch NBC1 TV on his box.

No stranger to the world of creation, Petrus is reported to have won a gold medal at national level last year for his invention of a two-in-one machine that works as both a seed drier and cooler.

The shy learner has admitted to working on his invention for two years through money provided by his unemployed parents.

Petrus claims that he invented the phone in the hopes that it would be successful and be able to be carried further.

Source: See Photo Of The Phone Invented By A Pupil In Namibia Which Does Not Use Airtime(Photo) ~ Welcome to Trezzy Blog
 
Dah elimu ya muda huo mtu unamaliza darasa la saba hata cha kufanya unacho lakini Leo form two kusoma na kuandika ni kitendawili sijui tunaelekea wapi
wengn wamejaaliwa ubunifu na uvumbuz. Elimu darasa hawajabarikiwa. So sad km tunawa-neglect
 
Back
Top Bottom