Sele Mkonje
JF-Expert Member
- Oct 2, 2011
- 643
- 846
Mwanafunzi wa Darasa la 12 nchini Namibia ametengeneza simu isiyokuwa na sim card na wala haitumii muda wa maongezi kupiga simu.
Kwa mujibu wa New Era report, Simon Petrus mwanafunzi wa Abraham Iyambo Senior Secondary School, ametengeneza simu hiyo kwa kutumia spea za simu zilizoharibika na Mabaki ya tv iliyoungua na kuiunganisha na light bulb, fan and charger socket, simu hiyo inapata chaji yake kupitia radiator and inaweza kupiga simu popote pale kwa kutumia mawimbi za redio (radio frequencies).
The invention, which is made up of a radio system na ameiweka katika boksi ambapo unaweza kuangalia kupitia simu hiyo Chaneli moja ya Tv.
Mwanafunzi huyu huyu mwaka jana alishinda a gold medal at national level for his invention of a two-in-one machine that works as both a seed drier and cooler.
As a Tanzanian I believe that hata sisi watoto zetu wanaweza kugundua vitu vingi sana tunachotakiwa kufanya ni kuwapa nafasi.
Kwa mujibu wa New Era report, Simon Petrus mwanafunzi wa Abraham Iyambo Senior Secondary School, ametengeneza simu hiyo kwa kutumia spea za simu zilizoharibika na Mabaki ya tv iliyoungua na kuiunganisha na light bulb, fan and charger socket, simu hiyo inapata chaji yake kupitia radiator and inaweza kupiga simu popote pale kwa kutumia mawimbi za redio (radio frequencies).
The invention, which is made up of a radio system na ameiweka katika boksi ambapo unaweza kuangalia kupitia simu hiyo Chaneli moja ya Tv.
Mwanafunzi huyu huyu mwaka jana alishinda a gold medal at national level for his invention of a two-in-one machine that works as both a seed drier and cooler.
As a Tanzanian I believe that hata sisi watoto zetu wanaweza kugundua vitu vingi sana tunachotakiwa kufanya ni kuwapa nafasi.