chinekeeee
JF-Expert Member
- Mar 26, 2015
- 1,787
- 2,896
mkuu wamemfanyaje ???????????????Huku kwetu ukijifanya mgunduzi utakiona cha mtema kuni toka Tcra,,
Kuna Mnyakyusa mmoja kajifanya kutengeneza Chopa yke,, akaipaka na Rangi ya bendera ya Tanganyika,, walichomfanyia hao Tcra hata kaa asahau huko kwao mbeya,,
Hadi juzi Afrika kusini walipomwonea huruma wakamwita aende kwao wampe pole kwa manyalila yaliyompata huku kwetu.