Mwanafuni UDSM ajinyonga leo asubuhi

Mwanafuni UDSM ajinyonga leo asubuhi

Chanzo hakjajulkanya but nitakuja na more updates

=========================
anasema azikwe kwao amecha hela yakusafirisha mwili na kila kitu?????watu wengine bwana kuwapa watu tabu tu sasa kumsafirisha si ghali sana???agriiiiiiiiiiiiii yeye angeenda kujiulia kwao nyumbani kukwepesha gharama .
 
mwanasheria amejideprive haki yake ya kuishi ye mwenyewe. Kifungu hicho hakukimeza au kasema potelea mbali;
 
Actually ni MHEHE, mwili umeninginia for hour wide open, umeshushwa around 12:00pm! Rip!! Plus jamaa alikua mwana Ilboru
attachment.php

attachment.php

Njelekela siyo Mhehe ni Mpare mimi niliweka ile neno kwa kejeli tu haswa ilikuwa niwaulize je hata huyu ni Mhehe? Katika maana kuwa siyo wote wanaojinyonga ni wahehe fani hii inashika kasi.

 
hapana mimi ni mfanya usabi wa hapa

ah haha! Nimeishia kucheka though ts a sadest news. Yana haya ndo'majanga ya TAIFA tunayoyapagia kelele Via Mulugo.
Kuna haja ya kuwa wanafanyiwa
usahili wafanya usafi wa vyuoni na maofisini. Sichoki kushwangazwa hata akituambia anapata access ya Jf kupitia simu ya Nokia ya tochi.
 
ni mwanafunzi wa mwaka wa tatu sheria, marehemu alikua mtu wa watu sana, jina lake ni Samsoni Njerekela.
ameacha ujumbe "asisumbuliwe mtu yeyote kwani nimefanya hivi kwa maamuzi yangu mwenyewe pia nizikwe kwetu''

Sasa kama alitaka azikwe kwao kwanini asingeenda kujimalizia kwao ?

Vile vile atasemaje asisumbuliwe mtu, wakati wale watu wake wa karibu na ndugu pamoja na wazazi walio-invest kwake watasumbuka na machungu ?

Kwa wale wote ambao wanamawazo ya kujimaliza au watafikiri kujimaliza huko mbeleni fikirieni usumbufu na majonzi mnaowaachia ndugu na jamaa zenu, huenda mkifikiri sana mkaona kwamba njia hii ni selfishness na kutokuwafikiri wenzenu...

Anyway RIP.., lakini pole siwafikie wale ndugu zake ambao bado wapo hai kwa usumbufu na majonzi waliyoyapata
 
Njelekela siyo Mhehe ni Mpare mimi niliweka ile neno kwa kejeli tu haswa ilikuwa niwaulize je hata huyu ni Mhehe? Katika maana kuwa siyo wote wanaojinyonga ni wahehe fani hii inashika kasi.


i was at the scene nilioverhear rafiki yake aliemshusha akiongea kwa huzun nd he said the guy was Hehe in nature
 
Hongera marehemu kama umekufa kwa kutetea wanyonge
 
Sasa kama alitaka azikwe kwao kwanini asingeenda kujimalizia kwao ?

Vile vile atasemaje asisumbuliwe mtu, wakati wale watu wake wa karibu na ndugu pamoja na wazazi walio-invest kwake watasumbuka na machungu ?

Kwa wale wote ambao wanamawazo ya kujimaliza au watafikiri kujimaliza huko mbeleni fikirieni usumbufu na majonzi mnaowaachia ndugu na jamaa zenu, huenda mkifikiri sana mkaona kwamba njia hii ni selfishness na kutokuwafikiri wenzenu...

Anyway RIP.., lakini pole siwafikie wale ndugu zake ambao bado wapo hai kwa usumbufu na majonzi waliyoyapata

Marehemu alitaka achangiwe pia
 
anasema azikwe kwao amecha hela yakusafirisha mwili na kila kitu?????watu wengine bwana kuwapa watu tabu tu sasa kumsafirisha si ghali sana???agriiiiiiiiiiiiii yeye angeenda kujiulia kwao nyumbani kukwepesha gharama .

DARUSO ipo itamzika tu
 
mhhhh labda katendwa kimapenzi
UDSM huwa kuna hostoria ya kujinyonga
 
TUNASONONEKA MWANAFUNZI MWENZETU KAJINYONGA.
Ni ukweli kuwa mnenaji anayenenea sikio lililojiandaa kusikia kabla maneno yaliyonenwa na mnenaji huyo hayajanenwa, ananafasi kubwa ya kueleweka kuliko yule anayenenea wasikilizaji waliojiandaa kwa dmaharula kusikiliza maneno ya mnenaji huyo, lijalo kwa dharula huwa halina maanani.

Ni jambo linalotusikitisha sana kuwa rafiki yetu, kijana mwenzetu, ndugu yetu mpendwa ametutoka. majonzi tulonayo ni makubwa sana na sijui tutayafuta kwa kutumia kitambaa cha aina gani.

basi niseme, japo si mchunguzaji wa tatizo, ila ninaamini ya kuwa, na huwa ninasema ya kuwa KUKATA TAMAA NI DHAMBI KUBWA SANA DUNIANI,
INAUA
INAHARIBU MALENGO
INAONDOA MATUMAINI
NA INASABABISHA KUSHINDWA KUFIKIA MALENGO.

UTATUZI SAHIHI(nasema kwa vijana wote) NI KUWA NA NIA SAHIHI, MALENGO SAHIHI, NA KUWA NA MATUMAINI KATIKA YALE TUNAYOYAFANYA KATIKA MAAISHA YETU

Ndio, tunakutana na changamoto nyingi, lakini maatatizo yanapotuzidi nguvu, ni vema kuwashirikisha hata marafiki zetu wanaweza kutushauri na sio kuchukua uamuzi unaotuzidi umri.

KUWA WAZI, KATIKA YANYOTUSIBU, NI NJIA YA AWALI SAHIHI YA KUTATUA CHANGAMOTO ZETU.
tunaponyamaza, changamoto zinajenga ngome imara ndani ya nafsi na kumfanya mtu aone kuwa aanaweza kuamua lolote kama hilo.
marehemu amejinyonga, rakini hata kama angekuwa na matatizo kama mlima, naamini kuwa kama angeyaweka wazi asingekosa ushauri wa busara ambao ungeweza kumsaidia.
tusiwe wepesi wa kukata tamaa, sababu tutajiona hatuwezi, hali tunnaweza, tutajiona hatustahili kuishi duniani, na tutashindwa kufanikiwa na maamuzi magumu kama haya ni rahisi sana, kwaa saababu yya kukata tamaa na kupoteza matumaini.

TUJENGE MATUMAINI IMARA, TUZAME KATIKA MALENGO CHANYA ILI TUEPUKE TATIZO KAMA HILI.
Zaidi niwaombe wadau wa JF mjue kuwa aliyejinyonga ni kijana aliyekuwa akitegemewa na taifa letu zuri, sisi wanadarasa wenzake tulimfahamuvizuri kwa utendaji kazi wake mahili, utu wema, na fikla sahihi.
tatizo la kukata tamaa na kufanya maamuzi ya kuinyonga ndiyo yanabidi kushauriwa kwenye thread hii na si kujadili kama alikuwa na ngoma, mpenzi, na mengine.
hayo hayatusaidii sisi kama VIJANA.

MUNGU AILAZE ROHO YAKE MAHALI PEMA PEPONI.
 
Back
Top Bottom