Anasema nixikwe kwetu.. Gharama atatoa yeye?
Masomo magumu au katendwa kimapenzi?
Ha ha haaaaa!!Mkuu umepinda wewe aisee, yaani nimecheka kama mwehu mbele za watu!!
"Wahehe tumekuwa wengi!!!!!!!"
"Wahehe tumekuwa wengi!!!!!!!"
Actually ni MHEHE, mwili umeninginia for hour wide open, umeshushwa around 12:00pm! Rip!! Plus jamaa alikua mwana Ilboru
![]()
![]()
" Halafu watakuja watu humu wataanza kumsingizia MUNGU kuwa ni mapenzi yake....!:nono::nono:
Eti bwana ametoa na mwana ametwaa jina la Bwana lihimidiwe.
Wakati yeye kaandika ni maamuzi yake mwenyewe
Hii ndo shida ya watu wengi! Mtu unajitoa uhai, kisha una command watu wakuzike unapotaka marehemu hii ni haki kweli?
Anasema nixikwe kwetu.. Gharama atatoa yeye?
hapana mimi ni mfanya usabi wa hapa
Nyambafuuu... Tangu lini mwanaume akajinyonga? Mungu amweke popote patakapomfaa!Chanzo hakjajulkanya but nitakuja na more updates=========================