hapana mimi ni mfanya usabi wa hapa
ni mwanafunzi wa mwaka wa tatu sheria, marehemu alikua mtu wa watu sana, jina lake ni Samsoni Njerekela.
ameacha ujumbe "asisumbuliwe mtu yeyote kwani nimefanya hivi kwa maamuzi yangu mwenyewe pia nizikwe kwetu''
Blue means kuna mtu anahitaji kusumbuliwa, and he was protecting that person??
ni mwanafunzi wa mwaka wa tatu sheria, marehemu alikua mtu wa watu sana, jina lake ni Samsoni Njerekela.
ameacha ujumbe "asisumbuliwe mtu yeyote kwani nimefanya hivi kwa maamuzi yangu mwenyewe pia nizikwe kwetu''
Blue means kuna mtu anahitaji kusumbuliwa, and he was protecting that person??
Mkuu mbona unaandika huku unatetemeka? Mara kidato cha pili, mara MWANAFUNI, mara hakijajulikanya sijui unachanganya na kilugha chenu humo?
Hebu tulia utueleweshe basi!! R.I.P marehemu!!
hapana mimi ni mfanya usabi wa hapa