Mwanafuni UDSM ajinyonga leo asubuhi

Mwanafuni UDSM ajinyonga leo asubuhi

Halafu mtu huyo huyo angehukumiwa kunyongwa mpaka kufa na mahakama, usishangae kusikia anakata rufaa!
 
alikua anaishi main campus,mabibo hostel au kitaa..andika kitu full mkuu
 
hapo dem kamtosa, au kakuta analiwa na jamaa yake
 
Nawapa pole wazazi kwa muda waliopoteza kumsaidia huyu dogo kumbe yeye alikuwa hataki kuishi......Nenda popote mwanasheria uliyetarajiwa.
 
Mungu wangu sijui wasomi tuna mzimu gani unatutembelea? Kumbukeni hata SOCRATE alijiua kwa matatizo ya dunia.
Wanasayansi wanatengeneza mashine za kucheki akili za wenzao wanasahau za kwao.
Ni semister ya nne hapa chuo nimeshashuhudia mmoja kujiua na mwingine amedakwa anataka kujirusha ghorofani akashikwa kabla hajafanikiwa akaenda kunywa sumu home kwao.
 
#2nd Year L.LB. UDSM wamesitisha vipindi kwa sasa

#kajinyongea mtini kwenye vichaka maarufu vya Yombo, karibu na Yombo 4.

#Classmates wake wanashangaa kwa sababu kwanza, marehemu alikuwa anasoma kwa bidii, na isitoshe matokeo ya Semester 1 ya Kitivo cha Sheria hayajatoka.

#Niliozungumza nao wanadai hakuwa na mpenzi darasani[labda alikuwa naye wa siri siri, u never know]

Labda alipima akakutwa na Ngoma...'You never know'
 
Haionekani kwangu mbona?

attachment.php

captation za eneo la tukio, mwili ulipokua unashushwa!
 
ni mwanafunzi wa mwaka wa tatu sheria, marehemu alikua mtu wa watu sana, jina lake ni Samsoni Njerekela.
ameacha ujumbe "asisumbuliwe mtu yeyote kwani nimefanya hivi kwa maamuzi yangu mwenyewe pia nizikwe kwetu''

Mh!chuo kijiandae kwa safari, ila wakumbuke kuacha laptop zao.
 
Back
Top Bottom