Shangaa hapo..kama alitaka kuzikwa kwao alishindwa nini kupanda basi mpaka bush kwao akajinyongea huko?? kwa nini asumbue watu??...ana bahati sio ndugu yangu,,,hapa angelazwa kinondoni tu....Hii ndo shida ya watu wengi! Mtu unajitoa uhai, kisha una command watu wakuzike unapotaka marehemu hii ni haki kweli?