andate
JF-Expert Member
- Jun 9, 2011
- 2,651
- 1,024
Chanzo hakjajulkanya but nitakuja na more updates
=========================
Wamehakikisha huo mwandiko ni wake? Isije ikawa watu wamemtundika.
Kuna mmoja alikutwa amekufa na kamba shingoni amefungwa kwenye mti ambapo urefu wa kamba+urefu wa marehemu unazidi urefu wa mti.