Gang Chomba
Platinum Member
- Feb 29, 2008
- 20,734
- 4,869
JD ndiye alieanza kutangaza show, then hao wengine wakatangaza later. At least they have shown themselves who they are
Acha kukurupuka Una ushahidi na Unachokiongea?
JD ndiye alieanza kutangaza show, then hao wengine wakatangaza later. At least they have shown themselves who they are
I dont care abt anything ila kweli hat mm nashangaa MWANA FA kweli wa kumfanyia jide ivi??,jide alishirikian na fa kwenye ngoma nyingi kama alikufa kwa ngoma na watajuaje pamoj na msiache kuongea nyimbo ambazo jide ndo kazifanya ziwe hot cake,yaan fa unashindan na mwanamke????,dah unajishusha sana
Kwa iyo siku iyo mnataka dar nzima ijae kwa jide?
point ni kwamba kwasababu wote wawili wameshashirikiana kwenye track kadhaa,kuachiana gap ingekuwa na maana kila mmoja kushiriki katika show ya mwenzake ,ili mashabiki wafeel uhalisia wa burudani katika track walizofanya pamoja.Umoja ni nguvu na utengano ni udhaifu
Acha kukurupuka Una ushahidi na Unachokiongea?
Kwa iyo siku iyo mnataka dar nzima ijae kwa jide?
Kama Hamisi Mwinjuma Bochoprofessional snitch ndo wakoje?
Mwama FA ana samsiniwa, si unajua tena wavulana wa Kitanga mashallahmi hadi nipate lager labda ndo ntamuelewa huyu MwanaSOMETHING...
Wewe pimbi mada hapa ni kwanini kila anapopanga kufanya show na Mwana FA nae anapanga tarehe hiyo hiyo na ikumbukwe hawa ni watu ambao wameshilikiana kwenye nyimbo nyingi sana naweza kusema ni marafiki, sasa wewe unareta mahaba yako na redio ya wafu....Kwa iyo siku iyo mnataka dar nzima ijae kwa jide?
BIBI kakuzalia mama yako? au yuko lika na bibi yako ni kigezo gani unakitumia jide kumwita BIBI wakati hata umri wa mama yako hana...Muziki ni Biashara, na Biashara ni ushindani...
So huyo Bibi aache kulialia kila kukicha.
FA zima nae huyo mpaka mwisho.
Mwama FA ana samsiniwa, si unajua tena wavulana wa Kitanga mashallah
mwana fa hawezi kusoma coventry unSasa ukisikia WANAUME KAMA MABINTI ndiyo hii sasa jamii ya huyu jamaa. Si nilisikia na Post-graduate Diploma toka Coventry University huyu mtu, hivi elimu yake imemsaidia kweli kama anakubali kutumiwa na wanaume wenzie kushindana na mwanamke? Nimemdharau sana huyu jamaa duh!
Kumbuka simple logics matter. Watu kibao tumejipanga kumwona Lady Jide aki-perform masongi yake ya enzi zile akishirikisha wasanii kibao akiwemo MwanaFA(eg alikufa kwa ngoma). Kwa hili MwanaFA kachemsha,Kweli dar ina watu karibu 5 milion. Kila watatosha kweli kwa huyu bibi?
shit.. kwa hiyo ukilipwa umnanihii ma** utafanya hivyo kwasababu umelipwa pesa siyo kila kitu kuna mambo mengi unatumia akili yako na busara...siyo tu ukilipwa pesa basi unaeza kufanya chochote..au uje nikulipe uwe unashikishwa ukuta tuone kama utakubali.....Mkuu unadhani kibiashara kuna tatizo, kama unaona utaweza kutengeneza pesa nzuri kupitia kwa kutengeneza beef na mwenzako?
Ile show ni ya Clouds Mwana FA amelipwa kwa ajili ya ku perform, yeye kosa lake lipo wapi kama waajiri wake ndio wanaopanga hizo tarehe za show?!