Toka Bongo Fleva ianzishwe hakuna mwanamziki wa kike mwenye sauti ya kuvutia, kipaji cha kutunga na kuimba kwa hisia kama Lady Jaydee

Akilihuru

JF-Expert Member
May 20, 2022
1,444
2,833
Binafsi nimekuwa mfuatiliaji wa nyimbo za bongo fleva haswa kwa upande wa R&B, na nimejiridhisha kwamba toka uanzishwaji wake ulipoanzia miaka zaidi ya 25 iliyopita, hadi leo hii hakuna msanii wa kike mwenye kipaji cha uimbaji, utungaji na ufikishaji ujumbe maridhawa wa nyimbo zake kama Lady Jaydee.

Msanii huyu ukiachilia mbali ubora wa album zake, na nyimbo zake ambazo kwa uchache nitaziandika hapo chini. Pia alikuwa ni mmoja wa wasanii ambao walishirikishwa katika nyimbo nyingi za wasanii mbali mbali wakubwa na wadogo na akafanya vizuri.

Itoshe tu kusema kwamba uwezo wake, ujuzi wake na utaalam wake wa kutunga na kuimba uliwasaidia vijana wengi (underground) kutoka kimziki mara tu baada ya kumshirikisha Lady Jaydee katika nyimbo moja au mbili.

Je kwa wale wafuatiliaji wenzangu wa bongo fleva, mnaona ni msanii gani mungine wa kike ambae anamsogelea japo kwa mbali mwanadada huyu anaejulikana kwa jina lingine la Komandoo wa R&B.

Baadhi ya album zake ni:
1. Machozi - aliyoitoa mwaka 2000

2. Binti - aliyoitoa mwaka 2003

3. Shukran - aliyoitoa mwaka 2007

Baadhi nyimbo zake ni:
1. Siku hazigandi
2. Siwema
3. Siri yangu
4. Yahaya
5. Ndindindi
6. Basimama
7. Understanding alioimba na T.I Dee
Baadhi ya nyimbo alizoshirikishwa ni:
1. Mr II Proud aka "Sugu" ft Jaydee - Mambo ya fedha.
2. Prof Jay ft Jaydee - Bongo Dar es Salaam.
3. Mwana FA ft Jaydee - Sitoamka
5. Mwana FA ft Jaydee - Alikufa kwa ngoma
6. AY ft Jaydee - Machoni kama watu
7. Ngwea & FA ft Jaydee - Sikiliza
8. East Coast ft Jaydee - Ama zangu ama zao
9. Mandojo & Domokaya ft Jaydee - Wanoko

Kifupi ameimba na kushirikishwa katika nyimbo nyingi kuliko msanii mungine yoyote wa kike. So ili nisiwachoshe wasomaji nimeandika hizo, ila kama kuna mtu anaweza kuongeza zingine hapo chini ni ruhusa.

Moderators naomba muifungue hiyo picha ionekane vizuri ili wale wasiomjua (vizazi vya leo) vimuone msanii tunaemzungumzia.
 

Attachments

  • 11373883_1718049158432707_2084925698_n.jpg
    11373883_1718049158432707_2084925698_n.jpg
    60.2 KB · Views: 17
Binafsi nimekuwa mfuatiliaji wa nyimbo za bongo fleva haswa kwa upande wa R&B, na nimejiridhisha kwamba toka uanzishwaji wake ulipoanzia miaka zaidi ya 25 iliyopita, hadi leo hii hakuna msanii wa kike mwenye kipaji cha uimbaji, utungaji na ufikishaji ujumbe maridhawa wa nyimbo zake kama Lady Jaydee.

Msanii huyu ukiachilia mbali ubora wa album zake, na nyimbo zake ambazo kwa uchache nitaziandika hapo chini. Pia alikuwa ni mmoja wa wasanii ambao walishirikishwa katika nyimbo nyingi za wasanii mbali mbali wakubwa na wadogo na akafanya vizuri.

Itoshe tu kusema kwamba uwezo wake, ujuzi wake na utaalam wake wa kutunga na kuimba uliwasaidia vijana wengi (underground) kutoka kimziki mara tu baada ya kumshirikisha Lady Jaydee katika nyimbo moja au mbili.

Je kwa wale wafuatiliaji wenzangu wa bongo fleva, mnaona ni msanii gani mungine wa kike ambae anamsogelea japo kwa mbali mwanadada huyu anaejulikana kwa jina lingine la Komandoo wa R&B.

Baadhi ya album zake ni:
1. Machozi - aliyoitoa mwaka 2000

2. Binti - aliyoitoa mwaka 2003

3. Shukran - aliyoitoa mwaka 2007

Baadhi nyimbo zake ni:
1. Siku hazigandi
2. Siwema
3. Siri yangu
4. Yahaya
5. Ndindindi
6. Basimama
7. Understanding alioimba na T.I Dee
Baadhi ya nyimbo alizoshirikishwa ni:
1. Mr II Proud aka "Sugu" ft Jaydee - Mambo ya fedha.
2. Prof Jay ft Jaydee - Bongo Dar es Salaam.
3. Mwana FA ft Jaydee - Sitoamka
5. Mwana FA ft Jaydee - Alikufa kwa ngoma
6. AY ft Jaydee - Machoni kama watu
7. Ngwea & FA ft Jaydee - Sikiliza
8. East Coast ft Jaydee - Ama zangu ama zao
9. Mandojo & Domokaya ft Jaydee - Wanoko

Kifupi ameimba na kushirikishwa katika nyimbo nyingi kuliko msanii mungine yoyote wa kike. So ili nisiwachoshe wasomaji nimeandika hizo, ila kama kuna mtu anaweza kuongeza zingine hapo chini ni ruhusa.

Moderators naomba muifungue hiyo picha ionekane vizuri ili wale wasiomjua (vizazi vya leo) vimuone msanii tunaemzungumzia.
Sawa Jide nafurahi kuona bado upo upo.
 
Binafsi nimekuwa mfuatiliaji wa nyimbo za bongo fleva haswa kwa upande wa R&B, na nimejiridhisha kwamba toka uanzishwaji wake ulipoanzia miaka zaidi ya 25 iliyopita, hadi leo hii hakuna msanii wa kike mwenye kipaji cha uimbaji, utungaji na ufikishaji ujumbe maridhawa wa nyimbo zake kama Lady Jaydee.

Msanii huyu ukiachilia mbali ubora wa album zake, na nyimbo zake ambazo kwa uchache nitaziandika hapo chini. Pia alikuwa ni mmoja wa wasanii ambao walishirikishwa katika nyimbo nyingi za wasanii mbali mbali wakubwa na wadogo na akafanya vizuri.

Itoshe tu kusema kwamba uwezo wake, ujuzi wake na utaalam wake wa kutunga na kuimba uliwasaidia vijana wengi (underground) kutoka kimziki mara tu baada ya kumshirikisha Lady Jaydee katika nyimbo moja au mbili.

Je kwa wale wafuatiliaji wenzangu wa bongo fleva, mnaona ni msanii gani mungine wa kike ambae anamsogelea japo kwa mbali mwanadada huyu anaejulikana kwa jina lingine la Komandoo wa R&B.

Baadhi ya album zake ni:
1. Machozi - aliyoitoa mwaka 2000

2. Binti - aliyoitoa mwaka 2003

3. Shukran - aliyoitoa mwaka 2007

Baadhi nyimbo zake ni:
1. Siku hazigandi
2. Siwema
3. Siri yangu
4. Yahaya
5. Ndindindi
6. Basimama
7. Understanding alioimba na T.I Dee
Baadhi ya nyimbo alizoshirikishwa ni:
1. Mr II Proud aka "Sugu" ft Jaydee - Mambo ya fedha.
2. Prof Jay ft Jaydee - Bongo Dar es Salaam.
3. Mwana FA ft Jaydee - Sitoamka
5. Mwana FA ft Jaydee - Alikufa kwa ngoma
6. AY ft Jaydee - Machoni kama watu
7. Ngwea & FA ft Jaydee - Sikiliza
8. East Coast ft Jaydee - Ama zangu ama zao
9. Mandojo & Domokaya ft Jaydee - Wanoko

Kifupi ameimba na kushirikishwa katika nyimbo nyingi kuliko msanii mungine yoyote wa kike. So ili nisiwachoshe wasomaji nimeandika hizo, ila kama kuna mtu anaweza kuongeza zingine hapo chini ni ruhusa.

Moderators naomba muifungue hiyo picha ionekane vizuri ili wale wasiomjua (vizazi vya leo) vimuone msanii tunaemzungumzia.
Pauline Zong,, Gitaa mama,,
 
Binafsi nimekuwa mfuatiliaji wa nyimbo za bongo fleva haswa kwa upande wa R&B, na nimejiridhisha kwamba toka uanzishwaji wake ulipoanzia miaka zaidi ya 25 iliyopita, hadi leo hii hakuna msanii wa kike mwenye kipaji cha uimbaji, utungaji na ufikishaji ujumbe maridhawa wa nyimbo zake kama Lady Jaydee.

Msanii huyu ukiachilia mbali ubora wa album zake, na nyimbo zake ambazo kwa uchache nitaziandika hapo chini. Pia alikuwa ni mmoja wa wasanii ambao walishirikishwa katika nyimbo nyingi za wasanii mbali mbali wakubwa na wadogo na akafanya vizuri.

Itoshe tu kusema kwamba uwezo wake, ujuzi wake na utaalam wake wa kutunga na kuimba uliwasaidia vijana wengi (underground) kutoka kimziki mara tu baada ya kumshirikisha Lady Jaydee katika nyimbo moja au mbili.

Je kwa wale wafuatiliaji wenzangu wa bongo fleva, mnaona ni msanii gani mungine wa kike ambae anamsogelea japo kwa mbali mwanadada huyu anaejulikana kwa jina lingine la Komandoo wa R&B.

Baadhi ya album zake ni:
1. Machozi - aliyoitoa mwaka 2000

2. Binti - aliyoitoa mwaka 2003

3. Shukran - aliyoitoa mwaka 2007

Baadhi nyimbo zake ni:
1. Siku hazigandi
2. Siwema
3. Siri yangu
4. Yahaya
5. Ndindindi
6. Basimama
7. Understanding alioimba na T.I Dee
Baadhi ya nyimbo alizoshirikishwa ni:
1. Mr II Proud aka "Sugu" ft Jaydee - Mambo ya fedha.
2. Prof Jay ft Jaydee - Bongo Dar es Salaam.
3. Mwana FA ft Jaydee - Sitoamka
5. Mwana FA ft Jaydee - Alikufa kwa ngoma
6. AY ft Jaydee - Machoni kama watu
7. Ngwea & FA ft Jaydee - Sikiliza
8. East Coast ft Jaydee - Ama zangu ama zao
9. Mandojo & Domokaya ft Jaydee - Wanoko

Kifupi ameimba na kushirikishwa katika nyimbo nyingi kuliko msanii mungine yoyote wa kike. So ili nisiwachoshe wasomaji nimeandika hizo, ila kama kuna mtu anaweza kuongeza zingine hapo chini ni ruhusa.

Moderators naomba muifungue hiyo picha ionekane vizuri ili wale wasiomjua (vizazi vya leo) vimuone msanii tunaemzungumzia.
Mmmmh.....sema umeamua kumpigia promo tu au umemkumbuka.....hata jaydee mwenyewe ukimuuliza ni msanii Gani wa kike mwenye sauti nzuri hawezi kujitaja yeye...
 
Binafsi nimekuwa mfuatiliaji wa nyimbo za bongo fleva haswa kwa upande wa R&B, na nimejiridhisha kwamba toka uanzishwaji wake ulipoanzia miaka zaidi ya 25 iliyopita, hadi leo hii hakuna msanii wa kike mwenye kipaji cha uimbaji, utungaji na ufikishaji ujumbe maridhawa wa nyimbo zake kama Lady Jaydee.

Msanii huyu ukiachilia mbali ubora wa album zake, na nyimbo zake ambazo kwa uchache nitaziandika hapo chini. Pia alikuwa ni mmoja wa wasanii ambao walishirikishwa katika nyimbo nyingi za wasanii mbali mbali wakubwa na wadogo na akafanya vizuri.

Itoshe tu kusema kwamba uwezo wake, ujuzi wake na utaalam wake wa kutunga na kuimba uliwasaidia vijana wengi (underground) kutoka kimziki mara tu baada ya kumshirikisha Lady Jaydee katika nyimbo moja au mbili.

Je kwa wale wafuatiliaji wenzangu wa bongo fleva, mnaona ni msanii gani mungine wa kike ambae anamsogelea japo kwa mbali mwanadada huyu anaejulikana kwa jina lingine la Komandoo wa R&B.

Baadhi ya album zake ni:
1. Machozi - aliyoitoa mwaka 2000

2. Binti - aliyoitoa mwaka 2003

3. Shukran - aliyoitoa mwaka 2007

Baadhi nyimbo zake ni:
1. Siku hazigandi
2. Siwema
3. Siri yangu
4. Yahaya
5. Ndindindi
6. Basimama
7. Understanding alioimba na T.I Dee
Baadhi ya nyimbo alizoshirikishwa ni:
1. Mr II Proud aka "Sugu" ft Jaydee - Mambo ya fedha.
2. Prof Jay ft Jaydee - Bongo Dar es Salaam.
3. Mwana FA ft Jaydee - Sitoamka
5. Mwana FA ft Jaydee - Alikufa kwa ngoma
6. AY ft Jaydee - Machoni kama watu
7. Ngwea & FA ft Jaydee - Sikiliza
8. East Coast ft Jaydee - Ama zangu ama zao
9. Mandojo & Domokaya ft Jaydee - Wanoko

Kifupi ameimba na kushirikishwa katika nyimbo nyingi kuliko msanii mungine yoyote wa kike. So ili nisiwachoshe wasomaji nimeandika hizo, ila kama kuna mtu anaweza kuongeza zingine hapo chini ni ruhusa.

Moderators naomba muifungue hiyo picha ionekane vizuri ili wale wasiomjua (vizazi vya leo) vimuone msanii tunaemzungumzia.
Au sio g-habash unamuenz eksi wako?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom