sawa hatukatai ila tarehe zinagongana two times??!!! What a coincidence?hahahahaha..kazi imeanza...lakini tujiulize mbn hizi bendi za twanga,akudo huwa zinapiga siku moja na watu wanaenda..?
ila katika hili FA kazingua...hata maudhui ya show utaona kabisa anataka kumuharibia mwenzake...ila mungu mkubwa wote mtapata watu binafsi nitapita kote huko nishuhudie
MWANAFATUMA aka Mliberali
Not necessarily. Kwa nini Mwana FA asingesogeza wiki moja mbele show yake?
Una uhakika kwamba MwanaFA ni mwanaumee???? utaja uziwa mbuzi kwenye gunia ndugu yangu
!!!!
Kwani si kila mmoja anajitegemea na ana mashabiki wake? Au wanatumia ukumbi mmoja?....Jide mara ya kwanza show yake alipanga may 31 na mwana FA naye kapanga tarehe hiyo hiyo,waungwana tukasema labda imetokea hivyo tu kwa bahati mbaya!! .... Sasa Jide kapanga tarehe 14 June eti na jamaa naye kapanga tarehe hiyo hiyo!!!....
Hapo mbona mm naona yapo sawa maana huyu ana mashabiki wake na Jide ana mashabiki wake
Not necessarily. Kwa nini JD asingesogeza wiki moja mbele ya show yake?
Not necessarily. Kwa nini JD asingesogeza wiki moja mbele ya show yake?
MwanaFAtuma na ruge kazini.
Kwani si kila mmoja anajitegemea na ana mashabiki wake? Au wanatumia ukumbi mmoja?
Au unataka kutuambia kuwa katika hiyo tarehe 14 June ni Mwana FA na Jide pekee ndio watakaofanya biashara ya mziki(show)? Sijaona hoja ya msingi katika hili. Muziki ni biashara kama biashara zingine sasa kwa kuwa katika mtaa wetu kuna maduka ya nguo mengi basi mimi nisifungue duka langu kwa sababu wewe umefungua la kwako? Acheni kugombanisha watu bila sababu za msingi bana!
Ni kweli sijafuatilia. Ni kweli kuna bifu kati ya JD na Clouds.Hujafatilia issue ikoje mkuu, hakuna kificho kwamba Clouds FM wana bifu na Jay Dee, na wameahidi kumshusha iwezekanavyo. Kosa mmoja wanalolisahau ni kwamba anaweza akapata sympathy ya watu na hii bifu ikamboost zaidi. Wasingemjibu wakamkalia kimya.