Mwana FA v/s Lady Jay Dee....!!!

Mwana FA v/s Lady Jay Dee....!!!

Hamisi Mwinjuma nakuomba umuache Judith Mbibo. Hajazoea kuandikwa kwenye mgazeti na mitandao kwa mabaya. So Msimulazimishe kuongea. Msitake kumchafulia jina nyie wana haramu wakubwa. mkome mara mia moja. mia
 
BIBI kakuzalia mama yako? au yuko lika na bibi yako ni kigezo gani unakitumia jide kumwita BIBI wakati hata umri wa mama yako hana...


FISTULA inatibika kama ukiiwahi...
Fanya uende usije ukatia aibu kwenye kitchen Party yako...
 
hivi katika hali ya kawaida kabisa huyu jamaa mwana fa anatafuta nini kwa dada yetu jide? Jide mara ya kwanza show yake alipanga may 31 na mwana fa naye kapanga tarehe hiyo hiyo,waungwana tukasema labda imetokea hivyo tu kwa bahati mbaya!! Kutokana na kifo cha ngwea....tarehe ikapangwa upya!! Sasa jide kapanga tarehe 14 june eti na jamaa naye kapanga tarehe hiyo hiyo!!! Ana matatizo gani huyu jamaa asee!!!!! Kama anatumiwa basi anatumiwa vibaya sana na anachemka...mwanaume mzima unashindana na mwanamke!!!!! Arrrrghhhhhhhh
View attachment 96946
sioni kilichoaribika jamani kama jide apendezwi bado anaweza kubadili tarehe na tutajaza ukumbi tena mgeni rasmi amweke lwakatare ..na sababu za kubadilisha siku ni kusherekea ujio ama kuachiwa kwa lwakatare kwishna akija mwana fa sikuhiyo tena unabadilisha tu siku nyingine jamani ni kucheza na akili za mtu better is not good enough jide best is yet to come
 
Samahani kwa hili jamani naweza kuwa mkosaji kama nikamkosoa mwana fa kabla ya kujua elimu yake ya mwisho wapendwa msaada
 
Ni promo za show zao au ninini?? Huwezi tegemea watu wote waende kwa mbibo au wote waende kwa Mwana Fa kila mtu ana wapenzi wake woga wa nini??? Fanya matangazo ya kutosha fanya maandalizi ya uhakika show yako iwe bomba ili hata akipiga shaggy next to u mashabiki wafurike kwako
 
Hivi katika hali ya kawaida kabisa huyu jamaa mwana FA anatafuta nini kwa dada yetu Jide? Jide mara ya kwanza show yake alipanga may 31 na mwana FA naye kapanga tarehe hiyo hiyo,waungwana tukasema labda imetokea hivyo tu kwa bahati mbaya!! Kutokana na kifo cha Ngwea....tarehe ikapangwa upya!! Sasa Jide kapanga tarehe 14 June eti na jamaa naye kapanga tarehe hiyo hiyo!!! Ana matatizo gani huyu jamaa asee!!!!! kama anatumiwa basi anatumiwa vibaya sana na anachemka...mwanaume mzima unashindana na mwanamke!!!!! Arrrrghhhhhhhh
View attachment 96946
Tangu mara ya kwanza wakati FA ana-postpone show yake alizungumza kupitia Tweeter kwamba "huenda show ingekuwa tena june 14" Alizungumza hili zamani sana kabla JIDE hajatangaza kwamba show amehamishia June 14.
 
sioni kilichoaribika jamani kama jide apendezwi bado anaweza kubadili tarehe na tutajaza ukumbi tena mgeni rasmi amweke lwakatare ..na sababu za kubadilisha siku ni kusherekea ujio ama kuachiwa kwa lwakatare kwishna akija mwana fa sikuhiyo tena unabadilisha tu siku nyingine jamani ni kucheza na akili za mtu better is not good enough jide best is yet to come
Mnyonge Mnyongeni Haki yake Mpeni!! Jide ndie kaifuata tarehe ya Mwana-FA! Tangu siku Mwana-FA alipoahirisha show yake alisema huenda ingefanyika Tarehe 14 Ijumaa ingawaje alikuwa hajapata uhakika sana coz' ilikuwa ndo kwanza ametoka kutamka kuahirisha show! So, hapa aliyefuata tarehe ya mwenzake ni JIDE ambae anapigana kufa na kupona kutengeneza Bifu na FA! Na kwa bahati nzuri kwake, anaonekana innocent, ameweza ku-deceive watu wote!!
 
Mnyonge Mnyongeni Haki yake Mpeni!! Jide ndie kaifuata tarehe ya Mwana-FA! Tangu siku Mwana-FA alipoahirisha show yake alisema huenda ingefanyika Tarehe 14 Ijumaa ingawaje alikuwa hajapata uhakika sana coz' ilikuwa ndo kwanza ametoka kutamka kuahirisha show! So, hapa aliyefuata tarehe ya mwenzake ni JIDE ambae anapigana kufa na kupona kutengeneza Bifu na FA! Na kwa bahati nzuri kwake, anaonekana innocent, ameweza ku-deceive watu wote!!


Kaweza kuwaokota wakurupukaji...
 
Tangu mara ya kwanza wakati FA ana-postpone show yake alizungumza kupitia Tweeter kwamba "huenda show ingekuwa tena june 14" Alizungumza hili zamani sana kabla JIDE hajatangaza kwamba show amehamishia June 14.

Labda shida ilikuwa hapo pekundu, kwa sababu tarehe haikua certain.
 
Labda shida ilikuwa hapo pekundu, kwa sababu tarehe haikua certain.
Asingeweza kuwa certain coz' hata kuwasiliana na wadau ilikuwa bado lakini yeye kama yeye ali-propose hiyo tarehe but all inge-depend na waandaaji kwani kwenye mambo kama haya waandaaji/wadhamini wana sauti coz' wanaweka fedha! And don't forget, FA aliahirisha ile show very soon tangu kutangazwa msiba wa Ngwair bila kufahamu kwamba Jide nae angeahirisha au hapana!! na shapa sitaki unafiki; kama si haya maigizo yanayoendelea kati yao, sizani kama Jide angeahirisha ile show!
 
nasikia FA kaahirisha show ya leo bcoz ya kifo cha LANGA, tusubiri JIDE labda nae ataiga!
 
Mwana Fatuma kaabikaje,mwaka huu wake atakoma kutumiwa tumiwa ovyo na hao mabwana zake
 
Mwana Fatuma kaabikaje,mwaka huu wake atakoma kutumiwa tumiwa ovyo na hao mabwana zake

jamaa anijiata msomi halafu anakubali kutumiwa kijinga hivyo, ndio maana vinega walimchana ile ile. Halafu bwana mdogo bonge la Snitch alianza kwa Sugu sasa ni kwa Jide huyu jamaa sijui vipi me nashangaa sana inawezekana vipi Mtoto wa kiume unakuwa huna Msimamo wako????
 
Back
Top Bottom