Mwana FA v/s Lady Jay Dee....!!!

Mwana FA v/s Lady Jay Dee....!!!

1. Ni kweli kwamba Jide haba bifu na MwanaFA, na MwanaFA anaweza kufanya show yake any day hata kama inagongana na ya Jide.

2. Ni kweli kwamba MwanaFA ni mmoja wa wakurugenzi kwenye taasisi ya THT (solely owned by Clouds FM owners), hope hili unalifahamu.

3. Kwa namba 2 hapo juu, kwa sababu ya uhusiano uliopo kati ya MwanaFA na Clouds FM unaweza ku-impair maamuzi ya MwanaFA juu ya upande upi awe kwenye hii bifu ya Clouds FM na Jide.

4. Moja ya mbinu Clouds FM wanazozitumia ni kumshindanisha Jide na wasanii wenzake au na bendi zingine, na hivyo ndivyo imekuwa kwa MwanaFA this time, hii show ya FA promoters wake ni Clouds FM kuanzia tarehe, matangazo, wasanii waandamizi, ukumbi mpaka kiingilio.

5. Last time Ruge alisema Skylite Band imepokea kijiti cha kuwa bendi pendwa kwao Coluds FM badala ya Machozi Band, so hii ni bendi nyingine inatumika kupambana na Jide (Mmiliki wa bendi ni Sebastian Ndenge kwa mujibu wa Ruge) na wameschedule ratiba y sawa sawa na Machozi Band.

NOTE: Ukisoma namba 4 hapo juu utakumbuka mbinu hii ilitumika pia kupambana na Vinega kipindi kile cha nyuma, tar 26/11/2012 Vinega waliplan show na Clouds wakapanga show yao pia tena kwa kuahidi kuwaleta wasanii wa nje DMX na Fabulous, ilikuwa vita hevi sana ile na kina MwanaFA walitumika pia kwenye ile vita.

Conclusion: Transitively, MwanaFA ana bifu na Jide, ie Kama Jide ana bifu na Clouds FM wakati Clouds FM na MwanaFA ni wamoja, then MwanaFA ana bifu na Jide.
Nimekuelewa mkuu. Hivi hiyo tarehe 14 June, hakuna wanamuziki wengine watakaofanya show zao hapa Tanzania isipokuwa JD na FA? Anyway, mimi sio mfuatliaji sana wa muziki/wanamuziki lakini kwa hakika sijaona tatizo katika hili....unless you guys are also implying that FA is better than JD! Kama ridhiki ya JD ipo, itakuwepo tu...FA hawezi kuizuia!
 
sio kama ilivyo kuwa awali baada ya kujitoa ECT,huyu mwanafatuma anamatatizo sana

ila inaonekana ata baada ya wote kujitoa ECT waliendelea kufanya kazi pamoja, mfano waliimba pamoja wimbo wa "habari ndio hiyo"
 

ila inaonekana ata baada ya wote kujitoa ECT waliendelea kufanya kazi pamoja, mfano waliimba pamoja wimbo wa "habari ndio hiyo"

walifanya albam kabisa kipindi hicho,ilichukua kama mwaka mmoja tu hawa kuwa close kama mwanzo wa FA na AY pia katika kipindi hicho ndo kunauvumi ulitanda kuwa Ay aligoma kuppanda kwenye show za mabwana zake FA natangia hapo ilikuwa nadra sana kumskia AY humo kwa clouds
 
Kwa iyo siku iyo mnataka dar nzima ijae kwa jide?

Wewe kilaza ishu sio hiyo ishu inakuaje mara ya pili JIDE anapanga tarehe ya shughuli yake mwana FA nae anapanga siku hiyo hiyo....hii ni malice ya wazi huyu mwana FA mpuuuzi ndio maana alidanganywa atepewa ubunge wa viti maalumu na akakubali kumbe ingefaa kweli awe mbunge wa viti maalumu wa wanawake nimeamini si bure kushindana na mdada kiasi iki.
 
Nimekuelewa mkuu. Hivi hiyo tarehe 14 June, hakuna wanamuziki wengine watakaofanya show zao hapa Tanzania isipokuwa JD na FA? Anyway, mimi sio mfuatliaji sana wa muziki/wanamuziki lakini kwa hakika sijaona tatizo katika hili....unless you guys are also implying that FA is better than JD! Kama ridhiki ya JD ipo, itakuwepo tu...FA hawezi kuizuia!

Unazungumza na kidhungu tukuone wa maana wakati unatapika tu yani inakuaje shughuli iliyohairishwa ilikuwa siku moja na hii JIDE katangaza tarehe 14 mtoto wa kiume aliyeahidiwa ubunge wa viti maalum nae akaamua show yake iwe tarehe hiyo hiyo.
 
  • Thanks
Reactions: SMU
Hivi katika hali ya kawaida kabisa huyu jamaa mwana FA anatafuta nini kwa dada yetu Jide? Jide mara ya kwanza show yake alipanga may 31 na mwana FA naye kapanga tarehe hiyo hiyo,waungwana tukasema labda imetokea hivyo tu kwa bahati mbaya!! Kutokana na kifo cha Ngwea....tarehe ikapangwa upya!! Sasa Jide kapanga tarehe 14 June eti na jamaa naye kapanga tarehe hiyo hiyo!!! Ana matatizo gani huyu jamaa asee!!!!! kama anatumiwa basi anatumiwa vibaya sana na anachemka...mwanaume mzima unashindana na mwanamke!!!!! Arrrrghhhhhhhh
View attachment 96946

Mwana FA ni choko jamani hivi nyie hamjajua tu!
 
Huyu Jay Dee anajiona yuko entitled sana. Dizaini ni kama anaogopa ushindani. Ukimletea ushindani anakuona mbaya.

She needs to sit her ugly ass down somewhere. Gotdamnit.
 
Unazungumza na kidhungu tukuone wa maana wakati unatapika tu yani inakuaje shughuli iliyohairishwa ilikuwa siku moja na hii JIDE katangaza tarehe 14 mtoto wa kiume aliyeahidiwa ubunge wa viti maalum nae akaamua show yake iwe tarehe hiyo hiyo.
Pole mkuu kama umekwazika na hicho kizungu (sihitaji unione wa maana!- hainiongezei chochote - hunijui na mimi sikujui!).

Ni suala la hoja tu badala ya ushabiki. Kuna maswali nimeuliza hapo kama unayo majibu tuambie. Ukisema mimi "natapika" bila kunionesha ni wapi nimetapika hujitendei haki kwa sababu na wewe utaonekana "unatapika" tu!
 
Huyu Jay Dee anajiona yuko entitled sana. Dizaini ni kama anaogopa ushindani. Ukimletea ushindani anakuona mbaya.

She needs to sit her ugly ass down somewhere. Gotdamnit.

hawa washabiki wa huyu dada sijui vipi.....kwahio siku hio tar 14/6 ni Jide peke yake anaruhusiwa kupiga show???au kwasababu jide kasema atapiga tar hio ndio mwana fa amkwepe??kila mtu ana washabiki wake wataenda watakapo......
 
hawa washabiki wa huyu dada sijui vipi.....kwahio siku hio tar 14/6 ni Jide peke yake anaruhusiwa kupiga show???au kwasababu jide kasema atapiga tar hio ndio mwana fa amkwepe??kila mtu ana washabiki wake wataenda watakapo......

Oh yeah...siku hiyo ni yeye tu. Wengine hawapaswi kufanya lolote lile.

Stupid and arrogant sense of entitlement.
 
1. Ni kweli kwamba Jide haba bifu na MwanaFA, na MwanaFA anaweza kufanya show yake any day hata kama inagongana na ya Jide.

2. Ni kweli kwamba MwanaFA ni mmoja wa wakurugenzi kwenye taasisi ya THT (solely owned by Clouds FM owners), hope hili unalifahamu.

3. Kwa namba 2 hapo juu, kwa sababu ya uhusiano uliopo kati ya MwanaFA na Clouds FM unaweza ku-impair maamuzi ya MwanaFA juu ya upande upi awe kwenye hii bifu ya Clouds FM na Jide.

4. Moja ya mbinu Clouds FM wanazozitumia ni kumshindanisha Jide na wasanii wenzake au na bendi zingine, na hivyo ndivyo imekuwa kwa MwanaFA this time, hii show ya FA promoters wake ni Clouds FM kuanzia tarehe, matangazo, wasanii waandamizi, ukumbi mpaka kiingilio.

5. Last time Ruge alisema Skylite Band imepokea kijiti cha kuwa bendi pendwa kwao Coluds FM badala ya Machozi Band, so hii ni bendi nyingine inatumika kupambana na Jide (Mmiliki wa bendi ni Sebastian Ndenge kwa mujibu wa Ruge) na wameschedule ratiba y sawa sawa na Machozi Band.

NOTE: Ukisoma namba 4 hapo juu utakumbuka mbinu hii ilitumika pia kupambana na Vinega kipindi kile cha nyuma, tar 26/11/2012 Vinega waliplan show na Clouds wakapanga show yao pia tena kwa kuahidi kuwaleta wasanii wa nje DMX na Fabulous, ilikuwa vita hevi sana ile na kina MwanaFA walitumika pia kwenye ile vita.

Conclusion: Transitively, MwanaFA ana bifu na Jide, ie Kama Jide ana bifu na Clouds FM wakati Clouds FM na MwanaFA ni wamoja, then MwanaFA ana bifu na Jide.
aisee sikujua undani huu wa bifu, nimeelewa sasa kwanini FA amekua hivyo,ila hafiki mbali,hivi hakumbuki ni jinsi gani ameshirikiana na jide kwenye hawajui, alikufa kwa ngoma nk.Lakini kwa mimi ninavyo mfahamu FA usaliti ni hulka yake tangu akiwa East Coast Team
 
point ni kwamba kwasababu wote wawili wameshashirikiana kwenye track kadhaa,kuachiana gap ingekuwa na maana kila mmoja kushiriki katika show ya mwenzake ,ili mashabiki wafeel uhalisia wa burudani katika track walizofanya pamoja.Umoja ni nguvu na utengano ni udhaifu
Hiyo shoo ya bwanaFatuma iliandaliwa rasmi kumpiga vita Jide tangu huko ilikotokea hata sasa ni yaleyale lakini nilimshauri Jide mabifu sio fresh hapo malipyoto wanajilambisha majivu na Jide pia anajilambisha hayohayo hakuna atakayeibuka mshindi mbele za mungu kwa kuwa Jide nae kaamua kuingia katika mapambano; vita si juu yako asema bwana kwa kuwa nitakupigania mimi mwenyewe vita iliyo takatifu......
 
Hapana napingana na thread hii ya Gadna, ni ya kumpaka matope mwanaFA tu na si hivyo. Harafu mbona Lady JD anatafuta huruma za watu sku hizi. Wamekuwa wanaiki na Gadna kwa muda mrefu sasa hivi wanajifanya waaonewa
 
Hiyo shoo ya bwanaFatuma iliandaliwa rasmi kumpiga vita Jide tangu huko ilikotokea hata sasa ni yaleyale lakini nilimshauri Jide mabifu sio fresh hapo malipyoto wanajilambisha majivu na Jide pia anajilambisha hayohayo hakuna atakayeibuka mshindi mbele za mungu kwa kuwa Jide nae kaamua kuingia katika mapambano; vita si juu yako asema bwana kwa kuwa nitakupigania mimi mwenyewe vita iliyo takatifu......[/QUOTE]
nitashukuru sana nikijua linatoka kitabu gani...wala si kwa ubaya!!!!
 
Hapana napingana na thread hii ya Gadna, ni ya kumpaka matope mwanaFA tu na si hivyo. Harafu mbona Lady JD anatafuta huruma za watu sku hizi. Wamekuwa wanaiki na Gadna kwa muda mrefu sasa hivi wanajifanya waaonewa
Gagna wa kakonko au?? haahahaa watu bhana!!
 
Hivi katika hali ya kawaida kabisa huyu jamaa mwana FA anatafuta nini kwa dada yetu Jide? Jide mara ya kwanza show yake alipanga may 31 na mwana FA naye kapanga tarehe hiyo hiyo,waungwana tukasema labda imetokea hivyo tu kwa bahati mbaya!! Kutokana na kifo cha Ngwea....tarehe ikapangwa upya!! Sasa Jide kapanga tarehe 14 June eti na jamaa naye kapanga tarehe hiyo hiyo!!! Ana matatizo gani huyu jamaa asee!!!!! kama anatumiwa basi anatumiwa vibaya sana na anachemka...mwanaume mzima unashindana na mwanamke!!!!! Arrrrghhhhhhhh
View attachment 96946

We mleta Uzi huu una uhakika Jide ndo kaanza kutangaza tarehee hii show ya pili?
 
Back
Top Bottom