Mwamvita Makamba: Bora buzi kuliko sembe

Mwamvita Makamba: Bora buzi kuliko sembe

hivi na ile email ya shukrani kibao na nini na kumuombea braza hela za kampeni...kwani ilikuwa fotoshopu? nadhani ana uzoefu tu wa kutosha. na nakubaliana nae. sembe is a big NO:bange:
so she is speaking from experience
 
mkuu hebu mtupie picha yake hapa!

inawezekana huwa napishana nae mara kwa mara pale benki kuu!



Inawezekana ila just google him utamuona tu either kabeba maiti ya mtu anayemtumia au la yuko katika harakati za kusafirisha maiti, hivi hivi huwezi kumuona mpaka mtu/punda wake afe.
 
mwamvita makamba, kupitia ukuta wake wa twitter,

amepost haya kuwaasa wadada kuhusu sembe..

Girls:

kama huna akili- hujasoma na huna kazi,

kama ni mvivu na sio mbunifu,

mpenda dezo na huwezi honest living,

mara mia 'buzi' sio sembe!.

------

mwamvita ametoa ujumbe huu mkali baada ya mwanadada mwenzie #jackie-cliff kukamatwa na sembe huko china

muda si mrefu!

habari zilizoko kwenye mitandao mingi hivi sasa zinathibitisha kuwa, mrembo huyu pichani, yuko mikononi mwa wachina

wenye hasira kali dhidi ya wachafuzi wa afya za raia wao, baada ya kudakwa na kilo nzima ya unga!!


521604_10200460458374476_1433495386_n.jpg


kazi kwenu wadada (na hata wakaka pia) mnaopenda maisha ya steep slope!!



Sasa tujiulize, who the hell is Mwamvita Makamba katika society yetu, she's a nobody! In fact kwangu namuona kama ni msanii tu wa another bongo movie kwa sababu yeye Mwamvita kama kweli alitaka kutoa huo ushauri basi angekemea ujinga wote wa marafiki zake na pia kuwa confront marafiki zake wauza unga. Mwamvita ni rafiki na Kinje tena marafiki wazuri tu na anajuwa fika Kinje ni muuaji wa kutumia vijana kuuza unga, mbona hamkemei? Mwamvita ni rafiki wa Shamim Mwasha na Shamim mumewe ni bonge la zungu mbona hajawakemea? Mwamvita yuko surrounded na wauza unga mbona hawakemei hadharani kama kweli anataka kutoa ushauri? This is supposedly ni mwanamke aliyesoma (from UDSM) ni uhamasishaji gani anayetoa kwa wanawak wenziwe? To me, namuona she's plainly bogus and seeking attention ya kupata mchumba mwingine mzungu baada ya kuachika.
 
Huyo mtu asie mbunifu na mvivu unadhani utamshauri vipi aende ustawi wa jamii akapange foleni.hata mifumo ya utendaji kazi wetu hasa kwa taasisi kama hizo nadhani waifahamu vilivyo.ni ushauri mbaya sikatai ila nje ya box inafikirika vyema.kuliko athari ziwaendee wengine ufaidike wewe bora udhurike wewe na magonjwa n everthing ukatuachia ndugu zetu salama.
 
hamjamuelewa jamani wabongo kwa kulaumu kabla ya kutafakari mtapewa tuzo!!
Ni kwamba ni bora uchune Buzi hT engi wenu mnaosoma ujumbe huu mnafanya sema hamjulikanai na ndo maisha yenu ya kila siku....na akasema Sembe ni JANGA angalau uuze zawadi uliyopewa na Mungu japo hajaipa kipaumbele...ilakama ueshindwa kabisa!!!kwani matangazo ya kutumia kinga huwa yana walenga akina nani?si haohao wachuna mabuuuu?
 
Hakuwahi kuwa kinara kwenye kampeni za UKIMWI huyu?

Sasa anahalalisha mabuzi?

Why set such low standards?

Sembe inaua, ngoma inaua, sasa kwa nini kuhalalisha moja na kujifanya kushikia bango jingine?

Mara mia angekaa kimya, kwani lazima aseme?

Huyu ni mtu aliyefanya kazi za PR kwenye makampuni ya kimataifa!

Like Father like Daughter.
 
Hivi huyo mwamvita mbona hammuishi kumkandiaaaa....#muwacheni alale,CHA AJABU NINII,mwanamke kuwa na buzi ni ajabu??!!,humu JF tu wanaume wengi tu kw post zenu mnachunwa af mnakuja kupinga hapa,oh mwamvita nini mwamvita vile...
Btw,SHE IS NOT PERFECT,and so is all of us hatuko perfect,hapa mtu ukute anaponda af ana vimada,vitabia vya ajabu ajabu vingii tu,..TUJIANGALIE WENYEWE KWANZA...
cz alishasem hapo option nyingiiii,ukishndwa zote basi buzi.
Acheni na uongozi in the future apewe,..everyone has to lead their own life usisubiri maneno ya mwamvita ,hayawezi kukubadili tabia
OVER...!!
 
Btw we got better things to discuss kw ajili ya nchi jmn,like power rationing,' why operation tokomeza',gesi mtwara na vitu vngne vingi
seriously guys,neno la mwamvita kiuhalisia lina impact kiasi hcho????
 
EHHhhh em acha kupanic na wewe,she is giving options hapa,low standards kivipi,kwan lazma wote tuwe ma'CEO,..sasa kam huyu shule kichwani hana,kufanya kazi atafte za halali hataki,na spotlight ; anaitaka,si bora achune mtu,hutafungwa ukichuna,bt nat Sembe...

Na kwa mfano hata kupata buzi imeshindikana, kuna option nyingine au ndo basi tena?
 
 
Last edited by a moderator:
, she's a nobody! To me, namuona she's plainly bogus .

no! mkuu naona unamsema kwa hasira sana mtz mwenzio!

kumbuka katumia resources za nchi kusoma!

hivyo basi huko aliko inabidi aiwakilishe nchi in appropriate manner!

la sivyo, nchi hii haitokuwa na la kujivunia kwa kuwa na wasomi!
 
kuliko athari ziwaendee wengine ufaidike wewe bora udhurike wewe na magonjwa n everthing ukatuachia ndugu zetu salama.

we dada,

hivi hilo buzi litakuwa halina familia, mke watoto na nduguze?
au limeibuka from nowhere halafu likapotelea?

hujui hao ndio nguvu ya taifa? nchi hii haiwezi kuendeshwa na mawazo ya kibuzi buzi kama ya mwanvita makamba!

huyu dada ana elimu kuubwa, lakini naona its a fackn edctn indeed!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom