Ushimen
JF-Expert Member
- Oct 24, 2012
- 42,456
- 104,969
R.i.P Classmate...😥Huyo mwanvita nae hamnazoo
R.i.P Classmate...😥Huyo mwanvita nae hamnazoo
Pole sana kwa msiba.R.i.P Classmate...😥
Mwamvita yuko bizÄ™ kujiuza kwa wazungu wasiojitambua na kuwaroga tuWatoto wa mafisadi ndio wauza sembe subiri zamu yako mwammy.
Yeye yupo bize kujinadi kwa wazungu maana sidhani kama kuna mbongo anayejitambua atataka kuwa na Mwamvita kwa jinsi alivyo....anafanana mno na kaka zake, yule anaolewa na wazungu tu maana wao ndiyo wanapenda mademu weusi wa dizaini ile.Huyo mwanvita nae hamnazoo
Nakumbuka kuna Mzungu wa Barick alimnyoosha mali zake akaenda kumpa "bloo ake" February za kampeni 2010.Mwamvita yuko bizÄ™ kujiuza kwa wazungu wasiojitambua na kuwaroga tu
Yule demu ana scandal za kishenzi mno na ndiyo maana wanawake wenzake don't like her company.Nakumbuka kuna Mzungu wa Barick alimnyoosha mali zake akaenda kumpa "bloo ake" February za kampeni 2010.
heavyweight kitambo, halafu welterweight wana kuja na punch 1 wata isha!Hapa hakuna cha wadada wala wakaka.
Kawaambia wadada kuwa na buzi poa, mabuzi yenyewe ni kina nani sasa kama si wanaume?
Wanaume wakikataa kufanywa mabuzi utasemaje hizi ni habari za wadada tu?
Wateja wa anakofanyia kazi (Vodacom) supposedly "Business Performance Partner: Corporate Affairs for Vodacom International Business" wakikerwa na kauli hii na kutegemea standards za juu zaidi za professionalism utasemaje kwamba hili ni suala la wadada tu?
Afrika tunaangamia kwa UKIMWI, huyu anahalalisha mabuzi, wanaopiga vita UKIMWI tukikasirishwa na kauli hii, utasemaje inawahusu wadada tu?
Dada wa rais mtarajiwa