Mwamvita Makamba: Bora buzi kuliko sembe

Mwamvita Makamba: Bora buzi kuliko sembe

Kuna vitu kibao visivyo controversial watu hao wanaweza kufanya, kwa nini kashauri mabuzi?

Kama zipi hebu tujuze sababu kafunga kila mahala.wavivu,wasiowabunifu,wapenda dezo na wasioweza kuvumilia honest living.nadhani wengi tumemuelewa vibaya kwasababu mtajwa hapo juu anatakiwa kuwa na sifa zote hzo tajwa without exception of any.watu kama hao kwenye jamii wapo wengi sana na ndio hao wanaotaka shortcut bora hyo njia walioshauriwa kuliko kuendelea kuua kaka zetu na dada zetu kwa madawa while wenyewe wanafaidika
 
Akinenacho mtu ndicho kilichoujaza moyo wake! Watoto wa mama mmoja huwa wana tabia zinazofanana. Hivi si huyu aliyeagwa na PM wakati akienda SA kwa hiyo job anayofanya huko bondeni? Jamani sisi!
 
I wonder if that's what she teaches her daughter......that if she can't earn an honest living then she is better off being a gold digger than a drug mule.

Downright pathetic!

Kwa staili hii who will our kids role models be?
 
Kama hakuwa na cha kuongea si angekaa kimya.....ame justify the unjustifiable

ye mwenyewe ni mchunaji mzuri ngoja tum reserve tu kwa haya tunayoyajua
 
Kajieleza vizuri mie sijaona shida. Kama huna akili za shule, hujasoma na hauna ubunifu,sembe sio alternative. Mbona ni ukweli mtupu. lara 1 weeh komaa na kina paw. Sembe sio kabisa
 
Last edited by a moderator:
Wakati mwingine ni bora kukaa kimya kuliko kuongea ukafanya watu wajue uwezo wako wa kufikiri
 
  • Thanks
Reactions: BAK

Similar Discussions

Back
Top Bottom