tinna cute
JF-Expert Member
- Sep 22, 2013
- 4,630
- 2,310
Nauza Sembe hela sio tatizo,Ujuzi wa kunichuna unao?
Karibu.
Nauza Sembe hela sio tatizo,Ujuzi wa kunichuna unao?
Nimeogopa hadi manyoya ya mwili yamenisimama Kama vile nimepiga kiroba...
Parents should be. I am my child's real model; not role model.
I will never teach her to be a gold digger no matter what. I will never even hint to her that that is okay because there is not an ounce dignity or integrity in it.
Conversely, I will teach her the virtues of hard work so she can grow up to be a woman of independent means with a healthy sense of self-worth.[/QUOTE]
I cannot like this enough times. Motherhood scares me but if I can be able to reflect my upbringing in my son, he will turn out to be a fine gentleman.
Yeah!!!! but remember that we've rep power too on this forum. So please go ahead and make your fellow PIC happy lol!!!.
I cannot like this enough times. Motherhood scares me but if I can be able to reflect my upbringing in my son, he will turn out to be a fine gentleman.
Hamna buzi la kichaga.... wachaga hawachuniki pesa kirahisi, unlikely watu wa kanda ya ziwa, hao unaweza kuwaita mabuziLa kichaga linaua
La kichaga linaua
mi nadhani haya mawazo ni ya kwake binafsi wala c ya vodacom, nnchojaibu kuona ni kwamba, mrs makamba ameumizwa sana na hii ishu ya madawa ndo maana aka suggest njia nyingine ya kuwa na buzz ambayo pia nayo ni mbaya, ila alitaka umma uelewe kwamba kukamatwa na sembe china ni sawa na adhabu ya kifo. but ukiwa na mabuzi then ukapata HIV at least u will last longerHapa hakuna cha wadada wala wakaka.
Kawaambia wadada kuwa na buzi poa, mabuzi yenyewe ni kina nani sasa kama si wanaume?
Wanaume wakikataa kufanywa mabuzi utasemaje hizi ni habari za wadada tu?
Wateja wa anakofanyia kazi (Vodacom) supposedly "Business Performance Partner: Corporate Affairs for Vodacom International Business" wakikerwa na kauli hii na kutegemea standards za juu zaidi za professionalism utasemaje kwamba hili ni suala la wadada tu?
Afrika tunaangamia kwa UKIMWI, huyu anahalalisha mabuzi, wanaopiga vita UKIMWI tukikasirishwa na kauli hii, utasemaje inawahusu wadada tu?
mi nadhani haya mawazo ni ya kwake binafsi wala c ya vodacom,
Hapo angeweka na qualification kabisa na kusema 'mara mia buzi, lakini siyo la Kichaga':happy:
Natania tu lakini.
Mwanawa vita!Mtoto wa vita!Hivi mwamvita ndo nani?
ashukuru kuzaliwa kwenye Royal Family.....