Mwamvita Makamba: Bora buzi kuliko sembe

Mwamvita Makamba: Bora buzi kuliko sembe

Jamani povu la nini. Mwenyewe kawashauri wadada, sisi wakaka povu la nini? Mambo ya Ngoswe waachieni akina Ngoswe.

Lazima povu limtoke tu, manake ushauri huu unaweza kuchukuliwa na girlfriend wake, mchumba, au hata mke wake! Ikizingatiwa asilimia kubwa ya wanaume ni masikini hivyo pato lao ni dogo hivyo kupelekea kushindwa kuwamudu wasichana wao au wanawake zao! Hivyo baadhi ya wanawake wakikosa kwa wapenzi wao, options ni hizo alizozitaja Mwamvita I.e. mabuzi au sembe, au both!
 
Hapa hakuna cha wadada wala wakaka.

Kawaambia wadada kuwa na buzi poa, mabuzi yenyewe ni kina nani sasa kama si wanaume?

Wanaume wakikataa kufanywa mabuzi utasemaje hizi ni habari za wadada tu?

Wateja wa anakofanyia kazi (Vodacom) supposedly "Business Performance Partner: Corporate Affairs for Vodacom International Business" wakikerwa na kauli hii na kutegemea standards za juu zaidi za professionalism utasemaje kwamba hili ni suala la wadada tu?

Afrika tunaangamia kwa UKIMWI, huyu anahalalisha mabuzi, wanaopiga vita UKIMWI tukikasirishwa na kauli hii, utasemaje inawahusu wadada tu?


Alitakiwa kusema wachune mabuzi responsibly meaning wasiache kutumia Kinga
 
samahani Excel huu mwezi gani. mchanga au pevu?
Sista bana! kisa leo nasherehekea birthday ya best friend wangu denzel hayes washington jr basi ndo unaona uniulize hili
swali!! teh!

by the way, juzi nilimiss flight kwenda L.A kusherehekea na mshikaji wangu, basi tu imenibidi niongee nae skype tu yani!

happy birthday Denzel.
 
Last edited by a moderator:
Kinje anahusika sana na watu wanamuangalia tu jinsi anavyotumia vijana wa kileo kama chambo.

mkuu hebu mtupie picha yake hapa!

inawezekana huwa napishana nae mara kwa mara pale benki kuu!
 
akuu babu wee,SIO WOTEE...suruali nalo vazi,hupend wewe mwenzako linamchanganya,..utamaduni upiii,utamaduni hata nguo tulikuwa hatuvai,si bora hzo suruali

mi bana sipendi suru!

kama ni vimino sawa!

suru haziko seductive bana!
 
Kuna uzi uliwekwa hapa wa jinsi wanavyoyaingiza hayo madude tumboni, nadhani aliuleta Dr MziziMkavu mie nilijionea shida kuusoma wote.

jamani jamani! kwa hiyo na urembo wooote huo wanokuwa nao bado vinashikwa shikwa na kuchanwa then vinaingiziwa kete za pool?

bila shaka vinagegedwa sana hivi during the process and after the process!!

poleni!
 
Mbona uko inquistive sana?

mkuu nataka nijue tu labda tigo nayo huwa inahusika katika procedures.

unajua hawa warembo kuna wengine wanawaona dhahabu, kumbe kuna wengine wanawaona maksai tu!
 
Kwani huo Unga katumwa na nani? ...
Na mbona kila kukicha wanakamatwa wasafirishaji tuu wenye mzigo wako wapi?!

Hiyo ni hadithi tu toka kwa bint Makamba,walau na yeye ajulikane ni mtt wa Mzee Jusufu.

mkuu biashara yenye risk kubwa ndio kawaida huwa na pesa nyingi..

usipokamatwa, unabahatika kuwa bilionea kama mimi (japo siuzi dawa jamani, msinizike kwa mawe!!)

ila ukibambwa, wachina wanakugeuza mishikaki tu na kusamabaratisha tigo! no way!

halafu unaposema hizi ni hadithi sijui unamaanisha nini? au hujui hadithi huwa zipo za kweli na uongo?

sasa hii ni hadithi ya ukweli!
 
mi bana sipendi suru!

kama ni vimino sawa!

suru haziko seductive bana!

mhh mkuu kwelii....hpundi kitu in those jeans...!?trousers zna wepesi unaweza kaa vyovyote,comfortable ,ht kwenye kusafiri au kazi baadhi ni nzur,pia mida ya baridi they make u warm na inatunza miguu,binafsi kw kwel surual navaa mara kw mara
 
haya yule waziri na mtumishi mwingine wa umma nendeni na huko china ili kuhakikisha jack anapata haki zake kama mlivyofanya kwa masogange na melisa huko south africa

mkuu unadhani walifanya nini mpaka huyu mpiga picha za nanii akatoka?

hivi unadhani kweli yale madawa yaligeuzwaje kuwa panadol?

halafu sijui yakishakamatwa huwa yanapelekwa wapi jamani, mi sijawahi sikia kama wanatupa ama wanapikia!!
 
Vijana wengi kujihusisha na hii biashara ya kuwa punda wa kubebeshwa madawa ya kulevya ni matokeo ya serikali kushindwa kusimamia ukuaji wa uchumi halali!!! Laiti kama vijana wangeweza kupatiwa ajira kwa nchi kuwa na viwanda wasingejitumbukiza kwenye hizi shuhuri zinazohatarisha maisha yao!! Kutokameza janga hili lazima serikali iongozwe na wazalendo makini na sio viongozi wasanii!!
 
Vijana wengi kujihusisha na hii biashara ya kuwa punda wa kubebeshwa madawa ya kulevya ni matokeo ya serikali kushindwa kusimamia ukuaji wa uchumi halali!!! Laiti kama vijana wangeweza kupatiwa ajira kwa nchi kuwa na viwanda wasingejitumbukiza kwenye hizi shuhuri zinazohatarisha maisha yao!! Kutokameza janga hili lazima serikali iongozwe na wazalendo makini na sio viongozi wasanii!!

Sasa mtu kama kakataa shule...Serikali imsaidieje?
Kama mtu mvivu.....Serikali imsaidie vipi?
Kama hana akili hata ya kuanzisha biashara ya nyanya....Serikali isaidie kinamna gani?
Mabadiliko yaanze na akina sisi.
LETS CHANGE TANZANIA....
 
Vijana wengi kujihusisha na hii biashara ya kuwa punda wa kubebeshwa madawa ya kulevya ni matokeo ya serikali kushindwa kusimamia ukuaji wa uchumi halali!!! Laiti kama vijana wangeweza kupatiwa ajira kwa nchi kuwa na viwanda wasingejitumbukiza kwenye hizi shuhuri zinazohatarisha maisha yao!! Kutokameza janga hili lazima serikali iongozwe na wazalendo makini na sio viongozi wasanii!!


mkuu kwani nchi yetu hii, ina uchumi wa aina gani mpaka sasa?

uchumi wetu unaendeshwa endeshwaje?

who are the main drivers of the economy, thats my simple question..
 
Sasa mtu kama kakataa shule...Serikali imsaidieje?
Kama mtu mvivu.....Serikali imsaidie vipi?
Kama hana akili hata ya kuanzisha biashara ya nyanya....Serikali isaidie kinamna gani?
Mabadiliko yaanze na akina sisi.
LETS CHANGE TANZANIA....

eti mkuu!

kama mtu anaendekeza usharobaro, saa mbili am yuko kibarazani, serikali imsaidieje?

mtu anapewa mtaji, hata kama ni mdogo, anakula, ndugu tumsaidieje?

mtu kabahatika basi kupata pesa, hata kama ni za dawa japo siungi mkono, amezila zote bila malengo, tumsaidieje?

mi nadhani hawa wauza madawa wangekua wananyongewa pale uwanja wa taifa tukiwa tunawashuhudia, ingeleta

nidhamu kidogo hapa mjini!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom