Mwamvita Makamba: Bora buzi kuliko sembe

Mwamvita Makamba: Bora buzi kuliko sembe

Mkuu sie wengine watoto wa shamba! Hatuelewi rejesta za mujini!

sembe weee....usije ukakanyaga Yaeda......tuwache na vitunguu vyetu........
 
huyu punda aliekamatwa hiko macao alikuwa anashulika na nini....?
 
Natamani sana niwajue wanaowabebesha huu ujauzito wa sembe!
Aisee siku wema ama diamond wakikamatwa itakuwa noma sana!

DIAMOND ana afadhal ujue hela yake tunaona inatoka wap,show za above 10M kwake kawaida ckuiz,mara Cocacola m100,mara Voda cjui sh ngapi,atlst yeye
WEMA S pale kati hayo ma'Audi,Harrier nk ,mara nyumba m400 cjui,mara studio, mara dubai shopping,mara China,kwa biashara ipiii .,ht boutique ya kuzugia hanaa..ckuiz CD bongo movie haziuzik ht kdogo,na kaigiza movie ngap btw,nan amuhonge hela zote hzo?!!.....NANIIIII,KAMA SIO NGUVU YA SEMBE!..
 
Dah, ila wema bana kama ni kuuza k basi yeye ni the boss of the market! Nasikia eti yule jamaa alokuwa akimuweka posta bana kamtema!!

Sasa jamani nimeshangaa juzi mi nimekaa tu kwangu nimetulia, mara namba ngeni inaingia! Jamani nauliza nani? Akasema wema S! Ohooo! Unataka nini? Ws؛‎ ooh, unajua ww ni hb naomba uwe wangu!
Mmh, mi nilikataa aisee!
DIAMOND ana afadhal ujue hela yake tunaona inatoka wap,show za above 10M kwake kawaida ckuiz,mara Cocacola m100,mara Voda cjui sh ngapi,atlst yeye
WEMA S pale kati hayo ma'Audi,Harrier nk ,mara nyumba m400 cjui,mara studio, mara dubai shopping,mara China,kwa biashara ipiii .,ht boutique ya kuzugia hanaa..ckuiz CD bongo movie haziuzik ht kdogo,na kaigiza movie ngap btw,nan amuhonge hela zote hzo?!!.....NANIIIII,KAMA SIO NGUVU YA SEMBE!..
 
Logistics and transport management.

Amepata diploma kutoka pale NIT mabibo!

Teh!

huyu punda aliekamatwa hiko macao alikuwa anashulika na nini....?
 
Hakuwahi kuwa kinara kwenye kampeni za UKIMWI huyu?

Sasa anahalalisha mabuzi?

Why set such low standards?

Sembe inaua, ngoma inaua, sasa kwa nini kuhalalisha moja na kujifanya kushikia bango jingine?

Mara mia angekaa kimya, kwani lazima aseme?

Huyu ni mtu aliyefanya kazi za PR kwenye makampuni ya kimataifa!

Inashangaza!
 
kumbe ndio huyuuuuuuu,namuonaga akijishoo shoo kwenye video za miziki mbalimbali za bongoflevaaaa,full kuuuza nyago,akawauzie wazee wa guangzou jela huko,very sad,mtoto mzuri kakosa hata kazi ya receptiost hapo kwa dada mwamvita vodacom,kweli tamaa mbaya
 
Dah, ila wema bana kama ni kuuza k basi yeye ni the boss of the market! Nasikia eti yule jamaa alokuwa akimuweka posta bana kamtema!!

Sasa jamani nimeshangaa juzi mi nimekaa tu kwangu nimetulia, mara namba ngeni inaingia! Jamani nauliza nani? Akasema wema S! Ohooo! Unataka nini? Ws؛‎ ooh, unajua ww ni hb naomba uwe wangu!
Mmh, mi nilikataa aisee!

hhahaahahaha,unatupaishaa mkuu...YN UKAMTOSA WEMA KWEUPEEE...HA HA,nmecheka kwel
 
Hakuwahi kuwa kinara kwenye kampeni za UKIMWI huyu?

Sasa anahalalisha mabuzi?

Why set such low standards?

Sembe inaua, ngoma inaua, sasa kwa nini kuhalalisha moja na kujifanya kushikia bango jingine?

Mara mia angekaa kimya, kwani lazima aseme?

Huyu ni mtu aliyefanya kazi za PR kwenye makampuni ya kimataifa!
EHHhhh em acha kupanic na wewe,she is giving options hapa,low standards kivipi,kwan lazma wote tuwe ma'CEO,..sasa kam huyu shule kichwani hana,kufanya kazi atafte za halali hataki,na spotlight anaitaka,si bora achune mtu,hutafungwa ukichuna,bt nat Sembe...
 
Mara mia angekaa kimya, kwani lazima aseme?

Huyu ni mtu aliyefanya kazi za PR kwenye makampuni ya kimataifa!

Access to social media and lack of impulse control has landed a lot of people in hot water. Some have even lost their jobs. One stupid comment can go viral in just a matter of minutes.

We live in a different world now with this phenomenon of social media and citizen journalism.

And you talk about her having worked in PR....how about this EX-PR executive named Justine Sacco......

Justine Sacco, a former PR executive who sparked a firestorm of controversy on Twitter, apologized Sunday for her "needless and careless tweet" about AIDS in Africa. In a written statement. Sacco apologized "for being insensitive to this crisis -- which does not discriminate by race, gender or sexual orientation, but which terrifies us all uniformly -- and to the millions of people living with the virus, I am ashamed."
She added that she is a native of South Africa and was upset that she had hurt so many people there.
"I am very sorry for the pain I caused," she wrote.
Media company IAC "parted ways" Saturday with Sacco after the tweet, which read: "Going to Africa. Hope I don't get AIDS. Just kidding. I'm white!"
Source
 
Huyu naye mungu angempa sura nzuri tungejuta...kwani wote wasiosoma hawana akili?hiki kidemu vipi
 
EHHhhh em acha kupanic na wewe,she is giving options hapa,low standards kivipi,kwan lazma wote tuwe ma'CEO,..sasa kam huyu shule kichwani hana,kufanya kazi atafte za halali hataki,na spotlight anaitaka,si bora achune mtu,hutafungwa ukichuna,bt nat Sembe...

Hamna kupanic hapa, ku panic kukiniona nakuja kwenyewe kuna panic.

Labda wewe usiyelewa tofauti ya passion na panic ndiye utakayeweza ku confuse the two.

Atoe options yeye kama nani?

Nani kamtuma atoe options?

Kuna mwenzake mtu wa PR mdada katuma tweet ya maneno ya ovyo ovyo, PR firm wamemfukuzilia kazi mbali.

Mtu wa PR hajui hata PR?

Sasa huyu Mwamvita anayetakiwa kuwa msomi na hao ambao hawana talanta wana tofauti gani kama ushauri ndio huu?

Anajua kwamba kuna watu wako "on the precipice" wanasubiri mtu yeyote anayejulikana kuhalalisha mabuzi tu wapate excuse?

Anatoa message gani kwa umma sasa? Kwamba yeye kapanda kufika hapo kwa migongo ya mabuzi?
 
Mwamvita ushauri uliotoa siku mtu na au wewe ukiu-practice kwangu naua with my bare hands!!!

Jamani povu la nini. Mwenyewe kawashauri wadada, sisi wakaka povu la nini? Mambo ya Ngoswe waachieni akina Ngoswe.
 
mwamvita makamba, kupitia ukuta wake wa twitter,

amepost haya kuwaasa wadada kuhusu sembe..

Girls:

kama huna akili- hujasoma na huna kazi,

kama ni mvivu na sio mbunifu,

mpenda dezo na huwezi honest living,

mara mia 'buzi' sio sembe!.

------

mwamvita ametoa ujumbe huu mkali baada ya mwanadada mwenzie #jackie-cliff kukamatwa na sembe huko china

muda si mrefu!

habari zilizoko kwenye mitandao mingi hivi sasa zinathibitisha kuwa, mrembo huyu pichani, yuko mikononi mwa wachina

wenye hasira kali dhidi ya wachafuzi wa afya za raia wao, baada ya kudakwa na kilo nzima ya unga!!


521604_10200460458374476_1433495386_n.jpg


kazi kwenu wadada (na hata wakaka pia) mnaopenda maisha ya steep slope!!

Wacha waliue huko likome,kila siku mnaambiwa ching chang hawana matani na madawa,mchina gani anaetaka kufanywa zombi??
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom