Natamani sana niwajue wanaowabebesha huu ujauzito wa sembe!
Aisee siku wema ama diamond wakikamatwa itakuwa noma sana!
Hapo angeweka na qualification kabisa na kusema 'mara mia buzi, lakini siyo la Kichaga':happy:
Hapo angeweka na qualification kabisa na kusema 'mara mia buzi, lakini siyo la Kichaga':happy:
Natania tu lakini.
Hivi mwamvita ndo nani?
huyu punda aliekamatwa hiko macao alikuwa anashulika na nini....?
DIAMOND ana afadhal ujue hela yake tunaona inatoka wap,show za above 10M kwake kawaida ckuiz,mara Cocacola m100,mara Voda cjui sh ngapi,atlst yeye
WEMA S pale kati hayo ma'Audi,Harrier nk ,mara nyumba m400 cjui,mara studio, mara dubai shopping,mara China,kwa biashara ipiii .,ht boutique ya kuzugia hanaa..ckuiz CD bongo movie haziuzik ht kdogo,na kaigiza movie ngap btw,nan amuhonge hela zote hzo?!!.....NANIIIII,KAMA SIO NGUVU YA SEMBE!..
Hakuwahi kuwa kinara kwenye kampeni za UKIMWI huyu?
Sasa anahalalisha mabuzi?
Why set such low standards?
Sembe inaua, ngoma inaua, sasa kwa nini kuhalalisha moja na kujifanya kushikia bango jingine?
Mara mia angekaa kimya, kwani lazima aseme?
Huyu ni mtu aliyefanya kazi za PR kwenye makampuni ya kimataifa!
Dah, ila wema bana kama ni kuuza k basi yeye ni the boss of the market! Nasikia eti yule jamaa alokuwa akimuweka posta bana kamtema!!
Sasa jamani nimeshangaa juzi mi nimekaa tu kwangu nimetulia, mara namba ngeni inaingia! Jamani nauliza nani? Akasema wema S! Ohooo! Unataka nini? Ws؛‎ ooh, unajua ww ni hb naomba uwe wangu!
Mmh, mi nilikataa aisee!
EHHhhh em acha kupanic na wewe,she is giving options hapa,low standards kivipi,kwan lazma wote tuwe ma'CEO,..sasa kam huyu shule kichwani hana,kufanya kazi atafte za halali hataki,na spotlight anaitaka,si bora achune mtu,hutafungwa ukichuna,bt nat Sembe...Hakuwahi kuwa kinara kwenye kampeni za UKIMWI huyu?
Sasa anahalalisha mabuzi?
Why set such low standards?
Sembe inaua, ngoma inaua, sasa kwa nini kuhalalisha moja na kujifanya kushikia bango jingine?
Mara mia angekaa kimya, kwani lazima aseme?
Huyu ni mtu aliyefanya kazi za PR kwenye makampuni ya kimataifa!
Mara mia angekaa kimya, kwani lazima aseme?
Huyu ni mtu aliyefanya kazi za PR kwenye makampuni ya kimataifa!
SourceJustine Sacco, a former PR executive who sparked a firestorm of controversy on Twitter, apologized Sunday for her "needless and careless tweet" about AIDS in Africa. In a written statement. Sacco apologized "for being insensitive to this crisis -- which does not discriminate by race, gender or sexual orientation, but which terrifies us all uniformly -- and to the millions of people living with the virus, I am ashamed."
She added that she is a native of South Africa and was upset that she had hurt so many people there.
"I am very sorry for the pain I caused," she wrote.
Media company IAC "parted ways" Saturday with Sacco after the tweet, which read: "Going to Africa. Hope I don't get AIDS. Just kidding. I'm white!"
Hapo angeweka na qualification kabisa na kusema 'mara mia buzi, lakini siyo la Kichaga':happy:
Natania tu lakini.
EHHhhh em acha kupanic na wewe,she is giving options hapa,low standards kivipi,kwan lazma wote tuwe ma'CEO,..sasa kam huyu shule kichwani hana,kufanya kazi atafte za halali hataki,na spotlight anaitaka,si bora achune mtu,hutafungwa ukichuna,bt nat Sembe...
Mwamvita ushauri uliotoa siku mtu na au wewe ukiu-practice kwangu naua with my bare hands!!!
mwamvita makamba, kupitia ukuta wake wa twitter,
amepost haya kuwaasa wadada kuhusu sembe..
Girls:
kama huna akili- hujasoma na huna kazi,
kama ni mvivu na sio mbunifu,
mpenda dezo na huwezi honest living,
mara mia 'buzi' sio sembe!.
------
mwamvita ametoa ujumbe huu mkali baada ya mwanadada mwenzie #jackie-cliff kukamatwa na sembe huko china
muda si mrefu!
habari zilizoko kwenye mitandao mingi hivi sasa zinathibitisha kuwa, mrembo huyu pichani, yuko mikononi mwa wachina
wenye hasira kali dhidi ya wachafuzi wa afya za raia wao, baada ya kudakwa na kilo nzima ya unga!!
![]()
kazi kwenu wadada (na hata wakaka pia) mnaopenda maisha ya steep slope!!