Mwamvita Makamba: Bora buzi kuliko sembe

Mwamvita Makamba: Bora buzi kuliko sembe

Aliepewa kapewa, Muacheni madam wa watu..

Audi, Mara Harrier nyumba abv 400mil na shopping za kutisha hiyo sembe anasafirisha Mapipa kwa mapipa au?!!.

Hivi unafahamu inabidi usafirishe sembe kiasi gani ili u-make hizo 400M?. Just do the simple math..

Sio vyote anavyoonyesha Wema kwamba 100% anavimiliki thats Y kampuni yake inaitwa endless Fame.

wow!! naona anakingiwa kifua!

long live wema, i need to see a lot from you!
 
Huu ni ushauri wa Mwamvita Makamba, kwa wadada ambao hawajaenda shule, wasio na uvumilivu, wasio na akili ya maisha na wasio wabunifu.

27f7a4f26ee111e391df12e95421f4fe_8.jpg

ok! Njoo songea huku, utahongwa jero tu inatosha.
 
Yaonekana we ni millioneaa...em tupe siri ya mafanikio,..mwanamke kuuza K nayo ni sifa kwani?!!...

ni sifa pia, japo ipo classified kuwa sifa mbaya!

mambo badiebey!!!?
 
Last edited by a moderator:
Aliepewa kapewa, Muacheni madam wa watu..

Audi, Mara Harrier nyumba abv 400mil na shopping za kutisha hiyo sembe anasafirisha Mapipa kwa mapipa au?!!.

Hivi unafahamu inabidi usafirishe sembe kiasi gani ili u-make hizo 400M?. Just do the simple math..

Sio vyote anavyoonyesha Wema kwamba 100% anavimiliki thats Y kampuni yake inaitwa endless Fame.


Aliepewa kapewa ninii,kama ye anazo AONYESHE SOURCE YA HELA ZAKEEE...Hawaonyeshagi km hao kna jackycliff cz ni sembe,hakuna buzi hapo
Company name is just company name haiaffect vitu unavomiliki,hata kesho asbh anaweza enda BRELA akabadili jina....una uhakika gani sio vyake???!kama havimiliki SASA WHAT DOES SHE STAND FOR,?!ni umbulula kutapa na visivyo vyako....kabisa unakuwa na reality show juu..AWE REAL BASIIsi kayataka mwnyw,ni mawili K au sembe ndo inayouzwa,ama BOTH!...
 
Access to social media and lack impulse control has landed a lot of people in hot water. Some have even lost their jobs. One stupid comment can go viral in just a matter of minutes.

We live in a different world now with this phenomenon of social media and citizen journalism.

And you talk about her having worked in PR....how about this EX-PR executive named Justine Sacco......

Source
did she actually think thats funny? How lame?
 
si bora angesema bora ujasiriamali, huyu atafikiri anaish Dunia isiyo na ukimwi.
 
Yaonekana we ni millioneaa...em tupe siri ya mafanikio,..mwanamke kuuza K nayo ni sifa kwani?!!...
Am juc kidding my sis, napinga cana ukahaba, umilionea wapi na wapi na mi mchoma mahindi.
 
Mbona sredi zinaonyesha upunda haulipii kihivyo. Hizo jeuri za magari na majumba wanapata wapi?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom