Mwamvita Makamba: Bora buzi kuliko sembe

Mwamvita Makamba: Bora buzi kuliko sembe

Huu ni ushauri wa Mwamvita Makamba, kwa wadada ambao hawajaenda shule, wasio na uvumilivu, wasio na akili ya maisha na wasio wabunifu.

27f7a4f26ee111e391df12e95421f4fe_8.jpg

Na kama habuziki?
 
Mwamvita I trust u, I think you're better than that. Shame!!
 
Ina Maana Kati ya Ukimwi na Gereza, Mwamvita anatushauri wadada wenzake tuchague Ukimwi?
 
Na kwa mabrazemeni je??!

ila safi sana! dawa yao Kitanzi tu na sijui kwa nn wachina wanawachelewesha, hawa jamaa wanatutesa sana mtaani, unakuta mzee mzima unahangaiiiiika hata kuweka bati nyumba yako au kununua ka swift! halafu anakuja nunua kiwanja karibu yako after 2month anahamia, baada ya hapo kila wiki anabadilisha gari!! Hebu govment ifanye mpango wa kuwapunguza bana.

Bila kusahau wanatuharibia sana watoto wetu!

Roho mbaya tu!! Nyoooooo...Wazee kama Nyie ndio mlio Over stay hapa Duniani. Kama Life Expectance ya miaka 47 ingezingatiwa hivi sasa kwenye Kaburi lako watu wangekuwa wanachuma Kisamvu na Taifa lingefanikiwa kupunguza Roho ya korosho moja. Shida zako haziwezi kuisha kwa kuombea Mabaya wenzako. Kwani tukifungwa wewe ndo Utaweza kuezeka Kibanda chako?? tukinyongwa wewe ndo utaweza kununua Swift. Adui yako ni Roho yako Mbaya!
 
mmh.. mi kwangu suru zinapoteza sana mvuto! i prefer chicks with light mini skirts ama awe amevalia zile zenu dress ndefu zinaoonesha bambataa inavyoenda, pa! pa! pa!.... teh! teh! vibinti vyenye mawowowo huwa vinanimaliza sana, basi tu!

suru zina disturbance nyingi mno, aarrgh! yani unapisha na mwajuma kama umepishana na juma! mmh.. hell no!

wachaa wee...ila nakubaliana na wew,dresses ni nzuri zaid kw mwanamke,kuvaa suruali ni diversification ya mavazi tu
 
Mkuu badiebey wacha wivu, Wema Sipitwi namuhonga mimi kwa maraha anayonipa bila kujalisha GPL na wana jamii mnasema nini, mbona hela ya kawaida tu hiyo?

Yaonekana we ni millioneaa...em tupe siri ya mafanikio,..mwanamke kuuza K nayo ni sifa kwani?!!...
 
Sjui alimaanisha wote wasiosoma ndio wasio na akili au?

Ebu mshangae kama yeye anachuna mabuz ya kizungu ndio anajiona na akili..wakati kuna watu awajasoma na wanafanya mambo yao vizuri bila mabuz na sembe..shame on her
 
Kweli kabisa bora buzi mwenzangu,,, coz hela ya buz haina riba wala marejesho ni ujanja wako tu na cash flow ni kubwa depending na quality of service u provide!!!

Haaaa...na magonjwa ukiyapata buzi atakuja kukupeleka hospital tinna?yote mawazo mabaya bora uchakalike mwenyewe upate pesa yako..
 
Roho mbaya tu!! Nyoooooo...Wazee kama Nyie ndio mlio Over stay hapa Duniani. Kama Life Expectance ya miaka 47 ingezingatiwa hivi sasa kwenye Kaburi lako watu wangekuwa wanachuma Kisamvu na Taifa lingefanikiwa kupunguza Roho ya korosho moja. Shida zako haziwezi kuisha kwa kuombea Mabaya wenzako. Kwani tukifungwa wewe ndo Utaweza kuezeka Kibanda chako?? tukinyongwa wewe ndo utaweza kununua Swift. Adui yako ni Roho yako Mbaya!

Nyie si mnaona raha kuharibu watoto wetu! Mi naombe iwanyonge tu! manake wavuta bangi na watumiaji wa madawa ya kulevya walikuwa wachache sana 20yrs back ila ss ni karaha! Pita mtaani uangali vijana wanavoteseka, yaani taifa linatekeketea na sio bongo tu ni koooote!

Halafu nyie mnabadilisha magari kila siku! Mi naomba wanyongwe tu (Ofcourse kama amefanya kweli, isije ikawa amebambikiwa), manake mnatuharibia sana vijana wetu! yaani tena wanyongwe ka ghrarama zao! Manake ni ni zaidi ya wauaji hawa.
 
Watoto wetu wanauza unga lakini nani anawakamata, hakuna sisi ndo serikali...Kapu ka quotation
 
Hivi mmesoma vizuri ujumbe wa mwamvita? Au kisa tumezoea kuponda watu basi tunaponda tu,embu someni tena alivyoandika tena polepole.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom