Natamani sana niwajue wanaowabebesha huu ujauzito wa sembe!
Aisee siku wema ama diamond wakikamatwa itakuwa noma sana!
Kukamatwa Wema wala Diamond kwa sasa ni ngumu, maana yule donni wao Mhasibu pale Ikulu amebanwa sana, amepigwa onyo na wakulu.
Na ndo maana kwa sasa kuna habari mjjini kuwa wema ameanza kufulia, lkn kufulia huko ni kwa sbb ya stop aliyopigwa huyo donnie kwenye masuala ya sembe.
Habari hii ni kwa mjjibu wa jamaa aliyetaka kubebeswa sembe lkn akawa mjanja akachomoa!
yeye si ana buzi babu la kizungu linafanya kazi kule barrick limemnunulia nyumba ya gorofa la nguvu maeneo ya msasani!!! ameshauri kitu ambacho yeye kimemlipa!!!
amezoea mabuzi
Aiseee kumbe ndo huyu...mwamvita makamba, kupitia ukuta wake wa twitter,amepost haya kuwaasa wadada kuhusu sembe..Girls: kama huna akili- hujasoma na huna kazi,kama ni mvivu na sio mbunifu,mpenda dezo na huwezi honest living,mara mia 'buzi' sio sembe!.------mwamvita ametoa ujumbe huu mkali baada ya mwanadada mwenzie #jackie-cliff kukamatwa na sembe huko china muda si mrefu!habari zilizoko kwenye mitandao mingi hivi sasa zinathibitisha kuwa, mrembo huyu pichani, yuko mikononi mwa wachina wenye hasira kali dhidi ya wachafuzi wa afya za raia wao, baada ya kudakwa na kilo nzima ya unga!!kazi kwenu wadada (na hata wakaka pia) mnaopenda maisha ya steep slope!!![]()