Mwamvita Makamba: Bora buzi kuliko sembe

Mwamvita Makamba: Bora buzi kuliko sembe

Wewe ni mmoja wa wasio na akili ambao wanazungumziwa hapo...

we ni fyatu kweli.may be ni dada yako au mdogo wako wa kike utamwambia hivyo.kwann asitafute biashara kuna mikopo kibao aanze na biashara ndogo2
 
Akishakaa mbele ya kioo (au kwenda salon) kwa masaa mawili akatupia wig la nguvu na make ups za bei mbaya huwezi kumjua Mkuu.



mbona urembo siuoni hapo mkuu BAK?
 
Mie sijui hiyo process Mkuu, nilisoma kiduchu tu nikashindwa kuendelea kuusoma, lakini process nzima ya kuweka hayo madubwasha tumboni ilikuwepo pale.

jamani jamani! kwa hiyo na urembo wooote huo wanokuwa nao bado vinashikwa shikwa na kuchanwa then vinaingiziwa kete za pool?

bila shaka vinagegedwa sana hivi during the process and after the process!!

poleni!
 
Umenena sahihi kabisa......buzi na lenyewe nuksi.....sijui kwa nini mtu apende mteremko wakati ana akili timamu na nguvu.....hakuna kitu raha kama mwanamke kujivunia jasho lako....
Ndio maana wanapoenda kuchuna wanajikuta wamechunwa wao. Hadi wachunaji wanatumia viagra chezea mteremko. Kama ulivyosema mwanamke fanya kazi na upate pesa kwa jasho lako haya mambo ya dezo dezo haya wanajikuta wamemwagiwa acid au maji ya moto na wengine wanalazimishwa upunda sababu hizi hizi .
 
Huu ni ushauri wa Mwamvita Makamba, kwa wadada ambao hawajaenda shule, wasio na uvumilivu, wasio na akili ya maisha na wasio wabunifu.

27f7a4f26ee111e391df12e95421f4fe_8.jpg

Lile buzi la Barrick lililompa maisha yeye na february yupo wapi?
 
Ndio maana nikiangalia watu wanaopewa heshima hapa Tanzania napata kinyaa na kichefu chefu nakutapika hapo hapo... na mavyeo yote na mapesa yote bado anazungumza upuuzi namna hii? badala awashauri wafanye kazi kwa bidii wajitunze waolewe yeye anaendekeza umalaya..... kuna thread ilianzishwa jana et watanzania hatuna uzalendo na masuper star wetu... linyangau linalomwambia dada yangu auze uchi nilipe support kwa lip.... go to hell and ur black and cheap earned money! poor you.
 
huu mzigo unaweza kuwa wa tshs ngapi wadau?

1.jpg
 
mwamvita mwenyewe ndiye huyu hapa!

bado anasisitiza suala la kuvuliwa chupi kuliko kuuza sembe!

2.jpg
 
ready for hanging.. sijui kama ataokolewa huyu #jackie !

2.jpg


pole sana jackie.. sijui mshikaji wako atakuwa anajisikiaje sasa!!
 
Mie sijui hiyo process Mkuu, nilisoma kiduchu tu nikashindwa kuendelea kuusoma, lakini process nzima ya kuweka hayo madubwasha tumboni ilikuwepo pale.
mkuu do the needful.. i need the link for my personal consumption.

nataka kusafirisha unga wa mahindi kutoka tarime kuja mwanza!

kumbe tuna modes za transport nzuri tu mjini, gharama za nini?
 
wachaa wee...ila nakubaliana na wew,dresses ni nzuri zaid kw mwanamke,kuvaa suruali ni diversification ya mavazi tu

kwanza zinaleta shida kuvulika wakati wa uefa champions! hahahaaa!!
 
Kwanini uuze usichokinunua? Na ndo wasomi wetu hawa wenye ushauri wa kijinga hivi!
Sijui kinadada waliopewa ushauri huu wako wapi? Msonyeni huyu limbukeni.
Hii ni dharau kubwa kuwashauri mabinti zetu kujiuza badala ya kufanya shughuli halali kwa kuamini wana uwezo sawa na kaka zao.
Simshangai huyu! It might be like daughter like dady (ccm).
 
huyu binti wa makamba na kaka yake rais mtaerajiwa wote hawana akili, yaani fursa zote zlizopo tz kaangalia kakosa cha kuwashaur wenzake kaona Buzi tu? nahisi ndo zake huyu, cheupe mkorogo huyu,
 
Naunga mkono hoja bora mtuchune mabuzi kuliko kubeba sembe nakuishia kufa. Kunyongwa au jela.

Mtuchune mabuzi wala hakuna sheria ya kukataza uchunaji mabuzi
Siku hizi hata kama mlipima na wote hamjaathirika bado hauko salama mpaka uhakikishe hilo buzi halina access na manati ya mzungu!
Hakuna short cut kwenye maisha.
 
DIAMOND ana afadhal ujue hela yake tunaona inatoka wap,show za above 10M kwake kawaida ckuiz,mara Cocacola m100,mara Voda cjui sh ngapi,atlst yeye
WEMA S pale kati hayo ma'Audi,Harrier nk ,mara nyumba m400 cjui,mara studio, mara dubai shopping,mara China,kwa biashara ipiii .,ht boutique ya kuzugia hanaa..ckuiz CD bongo movie haziuzik ht kdogo,na kaigiza movie ngap btw,nan amuhonge hela zote hzo?!!.....NANIIIII,KAMA SIO NGUVU YA SEMBE!..

Aliepewa kapewa, Muacheni madam wa watu..

Audi, Mara Harrier nyumba abv 400mil na shopping za kutisha hiyo sembe anasafirisha Mapipa kwa mapipa au?!!.

Hivi unafahamu inabidi usafirishe sembe kiasi gani ili u-make hizo 400M?. Just do the simple math..

Sio vyote anavyoonyesha Wema kwamba 100% anavimiliki thats Y kampuni yake inaitwa endless Fame.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom