hivi ni akina nani jamani wenye hawa 'punda' hapa mjini?
dar raha, kidogo tu, we milionea!!
alikuwepo mkuu basi tu unajuwa wabongo kwenye matatizo ndio wanasafishia nyota!
kwa jinsi alivyoandika, inaonekana alikuwa anamponda bidada mwenzie badala ya kumpa ushauri nasaha!
mhh mkuu kwelii....hpundi kitu in those jeans...!?trousers zna wepesi unaweza kaa vyovyote,comfortable ,ht kwenye kusafiri au kazi baadhi ni nzur,pia mida ya baridi they make u warm na inatunza miguu,binafsi kw kwel surual navaa mara kw mara
a straight line
Mwamvita ushauri uliotoa siku mtu na au wewe ukiu-practice kwangu naua with my bare hands!!!
Mkuu badiebey wacha wivu, Wema Sipitwi namuhonga mimi kwa maraha anayonipa bila kujalisha GPL na wana jamii mnasema nini, mbona hela ya kawaida tu hiyo?DIAMOND ana afadhal ujue hela yake tunaona inatoka wap,show za above 10M kwake kawaida ckuiz,mara Cocacola m100,mara Voda cjui sh ngapi,atlst yeye
WEMA S pale kati hayo ma'Audi,Harrier nk ,mara nyumba m400 cjui,mara studio, mara dubai shopping,mara China,kwa biashara ipiii .,ht boutique ya kuzugia hanaa..ckuiz CD bongo movie haziuzik ht kdogo,na kaigiza movie ngap btw,nan amuhonge hela zote hzo?!!.....NANIIIII,KAMA SIO NGUVU YA SEMBE!..
eti mkuu!
kama mtu anaendekeza usharobaro, saa mbili am yuko kibarazani, serikali imsaidieje?
mtu anapewa mtaji, hata kama ni mdogo, anakula, ndugu tumsaidieje?
mtu kabahatika basi kupata pesa, hata kama ni za dawa japo siungi mkono, amezila zote bila malengo, tumsaidieje?
mi nadhani hawa wauza madawa wangekua wananyongewa pale uwanja wa taifa tukiwa tunawashuhudia, ingeleta
nidhamu kidogo hapa mjini!
hata katika maandiko ya mungu hataturuhusu kufurahia matatizo ya binadamu mwenzako lakini dada yetu ni tamaa ya maisha ya juu ndo inawaponza(maisha ya instragram)
dah, mkuu usinikumbushe maisha ya insta! niliishi maisha mazuri sana kule,
nilikula vizuri, nililala pazuri, shopping kila siku tena kwa pounds na euro,
nilitembelea porsche 918 spyder! McLaren P1! Hennessey vennom GT na Zenvo ST1..
chezea instagharamu wewe!
lazima wauze tu..!
mkuu unaonaje, tulikomalie hili suala?
chikwete atakubalia kweli?
google fundikira !
ndio wakome sasa....SEMBE TU NDO ILIKUWA INAMUWEKA MJINI,mana hata huo u'model ni gelesha tu
and that is not real life!
wabongo wengi wanatumia theory kwamba, maisha ni mafupi!! hakuna muda wa kusubiri!!
![]()
mwishowe, wengi tunaishia kukamatwa na akina jet li!
![]()
hivi unayajua magereza ya china wewe?
hii ndio china black jail.. baada ya hapo, wanakuning'niza tu, otherwise mkataba wa nanii uongezwe! teh (nimetania jamani, nisitafutwe bure!)
![]()
hee mbona kama wanalalia mbao za milango?hizi shida nazo hazina adabu!