Mwalimu Nyerere na ukabila

Kimbunga, Ama kweli wewe ni kimbunga kweli ni lini wakoloni walikwambia WAKURYA kazi yetu ni kufungua na kufyatua Bunduki na hatukiwezi kitabu?????? Wewe, una element na chembechembe za ukabila ulo kubuhu
 
That was not my point. The point is that Nyerere used Kiswahili to give Tanzania an identity. That is huge! Hata Kenya wanazungumza Kiswahili lakini Njonjo was opposed to making it a national language. Uganda Museveni ameshindwa kukifanya Kiswahili a national language.

Tanzania is not identified by kiswahili. Do you want to tell me all other nations have been identified by their languages? what a point.

Swahili as it should, suffered a big blow from Nyereres BAKITA by being intentionally pruned from its roots.
 
Wewe mwongo au humjui Nyerere. Unfortunately wakati wa Nyerere hatukuwa na internet, lakini the man was curious na alitaka kusikiliza upande mwingine unasemaje, hata kama ni kumdhihaki. Nyerere alianzisha column kwenye Daily News " What they say about us" ambayo ilikuwa inachapisha makala kwenye magazeti ya Uingereza ambayo yalikuwa yanakosoa Tanzania na sera zake.
You simply do not know what you are talking about and I wish you would shut the hell up!


Nyerere aliyeitwa "haambiliki" alitaka kusikiliza upande mwingine? Unanchekesha.

Haa babuwee unanini. Kapiga marufuku viombo vyoooote vya habari zaidi ya Ngurumo, Uhuru na Mzalendo. Mpaka ilifikia wakati magazeti ya nje ya Tanzania akiweza mtu kupita nalo akaliingiza mtapokezana nyumba hadi nyumba mpaka linachakaa kwa kupokezana. Haa, ama kweli ukipenda chongo huliona ni kengeza!
 
Tanzania is not identified by kiswahili. Do you want to tell me all other nations have been identified by their languages? what a point.

Swahili as it should, suffered a big blow from Nyereres BAKITA by being intentionally pruned from its roots.
Really pruned from its roots?, please fafanua...
About identity ofcourse a country language can be a national identity by the way Kwame Nkrumah dream was to make Kiswahili the African language after the unification of all Africa. Sadly the umimi and greediness of people that did not materialize (these people were visionaries, the thing which is now massively missing)
 
viongozi wengi huwa na hofu wakiwa madarakani, zamani...sasa na hata wakati ujao. sina hakika kama alisema wazi wazi juu ya makabila fulani kupewa uongozi. ila kwa maantik au tetesi za lizzy makabila ya wachaga,haya na 'kyusa wanamshikamano sana(solidarity) hata sasa, huenda ndio hofu aliyokuwa nayo hayati JK juu ya ndugu zetu hawa
 
Habari zenu jamani?!

Naomba nianze kwa kusema ukweli kwamba mimi sikuwepo kipindi cha utawala wa Mwl na hata alipofariki nilikua mdogo sana hivyo sikuwahi kujua kwanini watu wengi walikua wanampenda sana huku bado kukiwa na mambo mengi hasi yanayosemwa juu yake.Nafurahi kwamba mwaka huu nimeweza kutumia muda wangu kiasi nikasoma vitabu kadhaa kumhusu...makusanyo ya hotuba zake pamoja na vitabu alivyoandika mwenyewe.Kutokana na niliyoyasoma niliridhika kwamba sifa zote anastahili...pia kukosolewa maana yeye kama mtu mwingine yeyote yule makosa hatuwezi tuyakwepa.

Katika vitu ambavyo Mwl alivisimamia haswa ni usawa.Hakutaka kabila moja lijione/jisikie liko juu ya jingine na kutengeneza matabaka.Sasa swali langu nnaloomba mnisaidie ni hili....ule msemo au sijui niyaite madai ya kwamba Mwl aliwahi kusema makabila fulani hayafai kupewa uongozi wa juu wa nchi ni wa kweli au ni propaganda za waliomchukia?!Nauliza hivi kwasababu niliyoyasoma juu yake hayaendani kabisa na madai haya...na wala haileti maana kusikia kwamba aliyepigania usawa ndie aliyekua wa kwanza kutengeneza matabaka lilipokuja swala la uongozi!!!

Naomba majibu kama yapo yawe na vielelezo na yasiwe maneno ya kusikika na kufikirika tu ili tusiojua tujifunze kitu.
Asanteni!

Makabila gani?
 
Lizzy, nionavyo mimi ni kwamba swala la ukabila kwa Nyerere halingewezekana kwa sababu moja kuu: yeye mwenyewe alitoka kwenye kabila kati ya makabila madogo hapa TZ, yaani Wazanaki. Sijui ingekuwaje kama Nyerere angalikuwa aidha Msukuma, Mchagga, Mhaya au Mnyakyusa (of course, this is a hypothecal question/assumption). Angalizo: na mimi nilikuwepo/nipo tangia kabla ya uhuru (kama ao akina Zomba wanavyojigamba!)
 
Hapo pia umeteleza. Katika njama za mapinduzi za mwaka 1970 alikuwemo mwanajeshi Marwa aliyehusishwa na njama hizo. Jaribu kingine.
Mkuu Jasusi , hivi wakati wa Nyerere kulifanyika majaribio ya mapinduzi
mangapi? naomba nijuzwe/tujuzwe, maana binafsi nafahamu kidogo mawili tu
lile la mara tu baada ya uhuru na hili la akina anko Tom,Mapunda, Mbogoro,
Zacharia Hans Pope na wenzao
 
Ebu nijuze mkuu kwa mtazamo wako chanya kwa Nyerere unafikiri Nyerere alikuwa na makosa yepi na mapungufy yepi? ili sisi wa kizazi hiki tujifunze kupitia hayo

a. Soma "Tujisahihishe" aliandika tathmini yake ya kushindwa kwa mpango wa kwanza wa maendeleo. Baadhi ya mambo angeyafanya tofauti sana na alivyofanya.

b. Aliamini kundi la watu waliokuwa pamoja naye walikuwa na uwezo wa kuwaongoza watu. Leo tunatambua ni wachache sana walikuwa na uwezo wa kuongoza! Aliamini kuwa uongozi unaendana na usomi hivyo aliwapa wasomi wa wakati huo nafasi za kisiasa kuongoza lakini hawakuwa viongozi!

c. Angesimamia yeye mwenyewe mabadiliko ya kisiasa ya kwanza na kubwa zaidi ni kutoiacha CCM madarakani kama de facto party baada ya kurejeshwa mfumo wa vyama vingi na kutopush kusimamia mabadiliko au kuandikwa katiba mpya wakati nafasi ilipojitokeza in mid 1990s. Hili hata hivyo siyo kubwa kwangu kwani aliamua kuachia madaraka 1985 viongozi waliokuwepo (ambao wapo leo hii) ndio waulizwe kwanini hawakufanya mabadiliiko yanayohitajika wakati walipopewa nafasi?

d. Alikuwa mbele sana ya muda wake katika falsafa. Way ahead. Hili lilikuwa "kosa" lake kubwa.
 
  • Thanks
Reactions: Iza
Mzee kwani madikteta huwa hawaletagi maendeleo?

Nioneshe madikteta walioleta maendeleo na walipokuwa na nafasi ya kuendelea na madaraka wakaachia? Kama madikteta wanaweza kuleta maendeleo kwanini tusimlilie Kikwete awe dikteta kama issue ni maendeleo? Hata china kuna Udikteta, Mubarak alikuwa Dikteta, Kim Sung Il ni dikteta - kama tatizo ni maendeleo ushahidi upo kuwa hata madikteta wanaleta maendeleo. So.. ina maana siyo kila dikteta mbaya siyo?

Sidhani kama unatatizo na Dikteta Nyerere, labda kuna tatizo la Nyerere.
Labda unisaidie kujibu majibu haya:

Nyerere alikuwa mdini?
Nyerere alikuwa mkabila?
Nyerere alitawala bila kuzingatia sheria zilizokuwepo?
Je mahakama zilikuwa huru wakati wa Nyerere kulinganisha na sasa? (unapima kwa kuangalia kama mahakama iliamuru kitu serikali ilikifanya au ilikataa au rais aliingilia kati! - madikteta hawajali mahakama zinasema nini)
Nyerere aliuwa watu waliompinga? (niliwahi kuomba orodha ya watu 10 tu waliouawa wakati wa Nyerere nje ya sheria na Nyerere alihusika na vifo vyao - hadi leo sijapatiwa)
Nyerere alikuwa anaagiza watu wateswe na vyombo vya dola? - kuna mifano ya watu waliowajibishwa kwa kuwatendea wananchi vibaya au kutokana na matatizo ya uongozi wao. Leo wanawafanya nini?
Je chaguzi za wakati wa Nyerere zilikuwa hazina uhuru kulinganisha na wakati huu?
 
What Nyerere Did no Any other Human will ever be able to Unite all tribes in Tanganyika... Yes right now Muslim see what he did was to go against their religion; but not as many as people in Tanganyika views him... If you compare w me I used live in Lake Zone Our Muslim Elders never felt that way especially we had everything we need. Hakuna harakati zozote za Nyerere kushawishi sisi Waislamu kujiunga na Dini ya Kiristo; he was fair kwa sisi wa Lake Zone...

1. Forging a national consciousness was always central to Tanzania's development efforts.

1) where states are empowered with the ability to exert considerable influence onthe allocation of resources, 2) where resources are allocated in a way that does notaccentuate social divisions and attempts to alleviate existing tensions.​

2. The use of Kiswahili was universalized; selection for secondary school enrolment based on a quota system, and Regional uniformity was established in the distribution of education and other social services.​


3. The bonds between individuals and nation were infused with additional adhesive through Education for Self-Reliance..
4. National service was tailored toward bringing young adults out of their Home areas by moving them to different regions of the country, and bringing them into
Contact with peers from different ethnic backgrounds

Nyerere Made this Nation; the Exceptional Nation

Given the history of colonial partition, along with the ‘tribal' concoctions which

Followed, and the subsequent diversity of historical narratives, stereotypes, and languages

Which were encompassed by the post-independence African state?


That's why Nyerere policies still helping single-party rule in the Multi-Party Age:

It demonstrates that two important macro-structural and Micro-level features of the Tanzanian polity make the CCM's tenure a genuinely exceptional Case.


First, the comparatively high level of social coherence, or low levels of macro structural

Divergence is derived from a comparatively powerful shared national identity.


Secondly, this shared identity operates as a macro-level causal force for undermining sub288

National loyalties and a micro-level causal force for feeding the success of CCM political

Campaigns.

 
Lizzy, nionavyo mimi ni kwamba swala la ukabila kwa Nyerere halingewezekana kwa sababu moja kuu: yeye mwenyewe alitoka kwenye kabila kati ya makabila madogo hapa TZ, yaani Wazanaki. Sijui ingekuwaje kama Nyerere angalikuwa aidha Msukuma, Mchagga, Mhaya au Mnyakyusa (of course, this is a hypothecal question/assumption). Angalizo: na mimi nilikuwepo/nipo tangia kabla ya uhuru (kama ao akina Zomba wanavyojigamba!)
Sasa kwa yeye kutoka kwenye kabila dogo huoni kwamba kwa kiasi fulani ingeweza kuchangia yeye kuyachukia makubwa yanayobebana?!
 
a. Soma "Tujisahihishe" aliandika tathmini yake ya kushindwa kwa mpango wa kwanza wa maendeleo. Baadhi ya mambo angeyafanya tofauti sana na alivyofanya.

b. Aliamini kundi la watu waliokuwa pamoja naye walikuwa na uwezo wa kuwaongoza watu. Leo tunatambua ni wachache sana walikuwa na uwezo wa kuongoza! Aliamini kuwa uongozi unaendana na usomi hivyo aliwapa wasomi wa wakati huo nafasi za kisiasa kuongoza lakini hawakuwa viongozi!

c. Angesimamia yeye mwenyewe mabadiliko ya kisiasa ya kwanza na kubwa zaidi ni kutoiacha CCM madarakani kama de facto party baada ya kurejeshwa mfumo wa vyama vingi na kutopush kusimamia mabadiliko au kuandikwa katiba mpya wakati nafasi ilipojitokeza in mid 1990s. Hili hata hivyo siyo kubwa kwangu kwani aliamua kuachia madaraka 1985 viongozi waliokuwepo (ambao wapo leo hii) ndio waulizwe kwanini hawakufanya mabadiliiko yanayohitajika wakati walipopewa nafasi?

d. Alikuwa mbele sana ya muda wake katika falsafa. Way ahead. Hili lilikuwa "kosa" lake kubwa.


Mkuu nakubaliana na wewe kuwa Nyerere alikuwa mwanafalsafa mzuri tu.

Nimekuuliza swali siyo ujibu tathmini yake yeye...we have different criteria to evaluate someone. wakati mimi namwona Kikwete bomu, kuna wengine wanamuona mzuri sana, wakati wengine wanamuona Nyerere mzuri wengine wanajuta hata kumjua!

Hizi ni caliber za binadamu na haijaandikwa mahali kuwa ukiwa unasema ubaya wa Nyerere lazima useme na uzuri wake. Na mtego huu ndio kila siku huwa mnauvaa sana, hakuna mahali kuwa ukisema ubaya wa Nyerere basi laizma useme na mazuri yake.

Nilitaka unieleze makosa ya Nyerere ukiwa mtu huru, jaji huru asiye na upendeleo wowote. Lakini upenzi unazidi sana kuliko kuismamia ukweli.

Ukweli ni kuwa JK ni baba wa taifa, ni kweli alikuwa na mapungufu yake mengi tu, nataka uyaseme hayo --orodhesha na ukiyasema hayataondoa ukweli kuwa Nyerere ana mazuri yake!!

Utetezi huu wa aina hii unaendana sana na umeegema wapi kisiasa, as we know we all tend to be right in what we believe-this is human nature.

Ikifika hatua ya kuwa vipofu kwa sababu ya mapenzi yetu basi tuchukuliane na kila anayependa mahali na kutoa maoni yake!

Believe me in near future watu watasema mazuri ya Kikwete in the extent that you could never imagine! they may rank him even far higher than Nyerere! they will do that in the name of love not reality!
 
Nioneshe madikteta walioleta maendeleo na walipokuwa na nafasi ya kuendelea na madaraka wakaachia? Kama madikteta wanaweza kuleta maendeleo kwanini tusimlilie Kikwete awe dikteta kama issue ni maendeleo? Hata china kuna Udikteta, Mubarak alikuwa Dikteta, Kim Sung Il ni dikteta - kama tatizo ni maendeleo ushahidi upo kuwa hata madikteta wanaleta maendeleo. So.. ina maana siyo kila dikteta mbaya siyo?

Sidhani kama unatatizo na Dikteta Nyerere, labda kuna tatizo la Nyerere.
Labda unisaidie kujibu majibu haya:

Nyerere alikuwa mdini?
Nyerere alikuwa mkabila?
Nyerere alitawala bila kuzingatia sheria zilizokuwepo?
Je mahakama zilikuwa huru wakati wa Nyerere kulinganisha na sasa? (unapima kwa kuangalia kama mahakama iliamuru kitu serikali ilikifanya au ilikataa au rais aliingilia kati! - madikteta hawajali mahakama zinasema nini)
Nyerere aliuwa watu waliompinga? (niliwahi kuomba orodha ya watu 10 tu waliouawa wakati wa Nyerere nje ya sheria na Nyerere alihusika na vifo vyao - hadi leo sijapatiwa)
Nyerere alikuwa anaagiza watu wateswe na vyombo vya dola? - kuna mifano ya watu waliowajibishwa kwa kuwatendea wananchi vibaya au kutokana na matatizo ya uongozi wao. Leo wanawafanya nini?
Je chaguzi za wakati wa Nyerere zilikuwa hazina uhuru kulinganisha na wakati huu?

Mwanakijiji nime-hint swala la upenzi na reality!

Hainiingii akilini kuwa leo hii unaweza kusema uchaguzi wa kipindi cha Nyerere ulikuwa huru na haki!!! never say that please! hakuna uchaguzi kwenye uchaguzi wa ndiyo au hapana!

Pia huwezi ukalinganisha uchaguzi ule na wa sasa! zote zina matatizo, lakini ya sasa is far better that those days...trust me

To cut it short, mentor wangu, hakuna proper definition ya dikteta! hakuna standard, watu wanaweza kumwita mtu dikteta kwa kosa moja tu au udhaifu mmoja tu. walioweka definition wenyewe ni madikteta wazuri na hawajiiti madikteta

kuondoka madarakani? unataka kusema Mandela ni superior kwa Nyerere kwa sababu alikaa muda mfupi na kuondoka?

Kama ambavyo chachu ndogo huchachua done zima na kama ambavyo katika udikteta wa mtu huwezi kukosa mazuri yake, ndiyo leoo hii tunamjua Castro na nchi yake kuwa watengenzaji wazuri wa turbines, tunajua volkswagen iligunduliwa chini ya Hitler na kuwa Idd amin alitaka ku-diverge maji ya mto nile kupeleka kwao!!
hakuna definition kaka

Kwangu ni kuwa ninampenda Nyerere kuliko pengine wewe! I do believe that , lakini sitajiingiza kwenye makundi ya kumtetea kwa makosa ya wazi aidha ya bahati mbaya au kwa makusudi nikifanya hivyo ninavua uhuru wa kuwasema wengine wote!
kwa uhuru ule ule wa utofauti wa binadamu. Hata kama unaona kabisa hapa ni makosa na wengine wanaona hapa ni sahihi, kinachobaki ni kuafikiana


If I were to rank..their faults scientifically ; Nyerere did errors, Mwinyi did mistakse....Mkapa did boo-boo , Kikwete is doing blundesr

But willl neither keep silent for errors nor for blunders!
 
Wacha, ulikuwa wapi?
Ni kama vile tumekuwa tunarusha makombora kutoka kwenye handaki bila kujua kuwa kuna mwenzetu anakuja kutupa ahueni.
It is good to see you here man, and now I can take a break!


"Watu tunaafikiana na wazo. Lakini mawazo ambayo ni ya kijinga lazima tuyakatae. Mtu mwenye akili akikupa mawazo ya kipumbavu , usipoyakataa anakudharau, Narudia hilo; mtu yeyote mwenye akili akikupa mawazo ya kipumbavu na wewe una akili na unajua ni ya kipumbavu na unayakubali , anakudharau. Sasa hatuwezi kukubali mambo ya kipumbavu Tanzania" . JK Nyerere 1995, Mbeya


Mkuu hivi aliyeanzisha maada hii ni fisadi? je wanaochangia ni mafisadi? acha ushabiki usio na kichwa wala miguu, will not help you!
 
a. Soma "Tujisahihishe" aliandika tathmini yake ya kushindwa kwa mpango wa kwanza wa maendeleo. Baadhi ya mambo angeyafanya tofauti sana na alivyofanya.

b. Aliamini kundi la watu waliokuwa pamoja naye walikuwa na uwezo wa kuwaongoza watu. Leo tunatambua ni wachache sana walikuwa na uwezo wa kuongoza! Aliamini kuwa uongozi unaendana na usomi hivyo aliwapa wasomi wa wakati huo nafasi za kisiasa kuongoza lakini hawakuwa viongozi!

c. Angesimamia yeye mwenyewe mabadiliko ya kisiasa ya kwanza na kubwa zaidi ni kutoiacha CCM madarakani kama de facto party baada ya kurejeshwa mfumo wa vyama vingi na kutopush kusimamia mabadiliko au kuandikwa katiba mpya wakati nafasi ilipojitokeza in mid 1990s. Hili hata hivyo siyo kubwa kwangu kwani aliamua kuachia madaraka 1985 viongozi waliokuwepo (ambao wapo leo hii) ndio waulizwe kwanini hawakufanya mabadiliiko yanayohitajika wakati walipopewa nafasi?

d. Alikuwa mbele sana ya muda wake katika falsafa. Way ahead. Hili lilikuwa "kosa" lake kubwa.

Una uhakaika na hilo, au ni kinyume chake? angekuwa kama usemavyo asingeiacha nchi haina hata senti ya kununulia mafuta ya taa. (rejea hotuba ya mikuki miwili ya Ali Hassan Mwinyi).
 
hebu someni alichoandika majimoto
kwenye thread yake ya biashara ya uchawi tanzania
kumhusu nyerere
nafikiri ni very interesting pia
[h=2]Re: Biashara ya Uchawi Tanzania[/h]
Aliyekuwa mchawi mkuu wa serikali ya Tanganyika na baadaye kubadilishwa jina na kuitwa Tanzania Yahaya Huseini amefariki dunia leo tarehe 20 Mai 2011.

Yahya aliingizwa kwenye system ya nchi na Waziri mkuu wa kwanza wa serikali ya Tanganyika marehemu Julius Kambarage Nyerere, baada ya kushauriwa na waganga wa kishenzi wa Bagamoyo, kabla ya kupata uhuru wa Tanganyika. Siku hiyo Nyerere alizuru lango kuu la kuzimu la Zazuni, Bagamoyo alipokwenda kufanyiwa uganga. Yahaya alikuwa bado kijana mdogo aliyependwa sana na viongozi wake, na alikuwa na kipaji kikubwa cha mambo ya unajimu na ulozi. Yahaya akiwa ndani ya ikulu ya Dar es Salaam, alitengeneza jini aliloligeuza umbo na kuwa fimbo, Yahaya kwa msaada ya lango la kuzimu la Mustallah waliomba watengenezewe saa ya kijini pia ambayo, kama kuna jambo lisilokuwa la kawaida saa ilikuwa inabadilika rangi kwa ndani na kuwa nyekundu.

Nyerere ambaye kwa asili yake ya kabila la Kizanaki, ushirikina ni jambo la kawaida na mara nyingi alikuwa akihudhuria matambiko yote yaliyokuwa yakifanyika kijijini kwake. Jina la Kambarage ni jina la mzimu wa mvua, marehemu ndiye alikuwa kiongozi wa mzimu huo, na ndiyo maana aliamua aitwe jina la muzimu huo wa mvua, KAMBARAGE.

Yahaya akitumia ujuzi wake wa unajimu wa kuchukuwa kichawi nyota za watu zenye vipawa vikubwa, alimsaidia sana Nyerere, baada ya kumpatia nyota ya utawala, kuongea kwa ufasaha na mvuto. Kwa kawaida kipawa chochote kutoka kwa Mwenyezi Mungu hasa kwa kiongozi, mtu unakuwa umekamilika kila idara, ndiyo maana leo hii ukisikiliza hotuba za Nyerere, unabaki kushangaa, kama mtu huyu na mawazo kama haya alishindwa vipi kuyatekeleza kwa vitendo, wakati serikali yote ilikuwa chini yake na maamuzi yake mbona hayakuwa yanatekelezwa. Binadamu tunazaliwa na vinasaba vinavyofanana kifamilia kutoka mababu wa zamani na vinasaba hivyo huendelea kuridhiwa na watoto na wajukuu, ndiyo maana kwa bahati mbaya vinasaba hivyo havisikiki kwa watoto wake wala wajukuu.

Yahaya aliendelea na nafasi yake ya mchawi mkuu wa taifa baada ya uongozi wa nchi kuwa chini ya Ali Hasani Mwinyi, majukumu makubwa ya wachawi ni kudidimiza na kuharibu maisha ya watu, hivyo kwa kutumia lango la kuzimu la mustallah la upanga, siku zote mipango yao ilikuwa ni ya uharibifu, ndiyo maana mzee Mwinyi kila akijitahidi kubadilisha hali ya maisha ya wananchi, alikuwa akiishia kubomoa misingi ya uchumi wa taifa.

Yahaya baada ya kumudu kuwadhibiti watawala hawa, kuzimu walimpandisha cheo, na kuwa mkuu wa lango la kuzimu la mustallah. Nyumbani kwake Mkwajuni Kinondoni alichimba bwawa la kuogelea, lakini hiyo ni geresha, siyo bwawa la kuogelea, bali ni lango kuu la kuingilia kuzimu, ndiye mchawi pekee, kama anavyosifiwa wa Afrika Mashariki na Kati kuwa na lango binafsi la kuingilia kuzimu. Usiku alikuwa akiingia ndani ya bwawa lake na kutambaa chini kwa chini ya ardhi hadi anaibukia juu ya lango la kuzimu la mustallah, upanga. Wachawi karibu wote hupaa angani kwa ungo, lakini mkongwe wa ulozi alikuwa anapasua udongo na miamba chini ya ardhi na njia inatokea.

Awamu ya tatu ya Benjamin, aliendelea na cheo chake kile kile cha mchawi mkuu wa taifa, jukumu kubwa likiwa ni uharibu wa maisha ya wanadamu, kipindi hiki yalijitokeza mambo makubwa ya uharibifu huko kuzimu, na kafara kubwa kubwa zilitakiwa, kafara kubwa mara zote zinatakiwa damu za binadamu kunyamazisha kuzimu. Kumbuka ajali ya meli ziwa victoria, kumbuka ajali kubwa kubwa zilizomaliza maisha ya Watanzania barabarani, kumbuka ajali za treni za abiria kila wakati kipindi chote cha utawala wa Mkapa. Mpango mkubwa ulioshindikana ni wa kuangusha ndege ya abiria ya precisios iliyokuwa inatoka Mwanza kuelekea Dar, kuzimu walishapanga mwezi, tarehe, siku na saa ya kuiangusha ndege hiyo juu ya soko kuu la kariakoo. Ilikuwa ni bahati mbaya sijui, ilikuwa ni bahati nzuri sijui lakini waliingia abiria wawili ndani ya hiyo ndege, abiria hao kuingia kwao ni baada ya abiria wengine wawili kuahirisha safari yao ya kwenda Dar hivyo tiketi zao zikapatiwa ruhusa ya kusafiri na ndege hiyo, watu hao walijulikana kama walokole, ndege ilipofika katika anga na eneo la maafa, mitego ya kichawi iliteketezwa, kwenye ulimwengu usioonekana moto ulilamba wachawi waliokuwa wamejipanga na madumu ya kuchukulia damu, misingi ya kuzimu ilipasuka, tangu siku hiyo makafara yaliyohitaji damu yalipugua sana.

Awamu ya sasa ndiyo aliwathibitishia Watanzania kuwa yeye ndiye mchawi mkuu wa taifa, anayetoa ulinzi usioonekana. Kumbuka mwaka 2005 nyota ya kilozi ilivyokuwa iking'aa kwa kiongozi wetu, inashangaza nyota imefifia kwa kasi ya ajabu, haijulikani kesho itakuwaje. Uchumi wa taifa upo kitandani Muhimbili, wananchi wamekosa matumaini makubwa baada ya ahadi kubwa kubwa walizopewa.

Ni lini taifa litapata viongozi wanaomuogopa na kumtegemea Mwenyenzi Mungu na kuzivunja laana hizi za kichawi zinazolitafuna taifa tangu mwaka 1961 ?

Je nafasi ya mkuu wa wachawi wa taifa itafutika, au ipo wazi kwa muda?​
 
Back
Top Bottom