FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 100,506
- 123,777
Faiza,, you are beginning to get into my nerves now!
Come on, be a man and answer, do not try to threaten me.
Faiza,, you are beginning to get into my nerves now!
lakini alitengeneza Mtandao yeye ndiye sababu kuu ya leo hii kuwa na Kikwete madarakani alimbeba akiwa hata hajafikia cheo cha kuendesha taasisi akampa unaibu uwaziri without enough accolades and the rest is historynaheshimu mawazo yako
but tazama mambo kwenye angle tofauti
mwinyi hakuwahi kupanga kuwa rais wa tanzania wala zanzibar
hakuwa na mtandao wala chochote kile
unaweza sema alikuwa an 'accidental president'
lakini aliweza mengi mno ambayo nyerere yalimshinda
na aliwapa wananchi bidhaa muhimu kuliko zote
uhuru wa kuongea na kukosoa hata serikali yao
na uhuru wa kufanya biashara bila usumbufu
Mkuu naomba kujibu hoja zako ulizowalenga hawa jamaa
You need to be crazy to defend Nyerere!
Nyerere anaweza tu kuwa defended when you compare him with other leaders who came after him.
Sio kweli kuwa N yerere failed terribly. Unless tujue context ya terribly kwako ni nini Mbona tanzania kuna miaka ni nchi iliyoongoza kufuta ujinga duniani. Na hii ilikuwa chini ya sera za mwalimu. mammbo ya UPE na elimu ya watu wazima. Yes Duniani. But nakubali kuna mambo ali fail lakini sio wa hicho kivumishi cha sfa cha terribly ulichotumia.Nyerere terribly failed, but he has vision at least where he faled could easily be repaired by other presidents..it was not so.
Sasa kuja na hizi saikolojikaly explainable eti watu walilia sana.Mkuu watu wameishaandika paper kuhusu hili swala, find some! kuna sababu za kisaikolojia, kuna sababu za kidini na umaskini!
Umesema Nyerere alikuwa anaongea sana that was true, kweli alikuwa muongeaji, mwongo, na ameharibu nchi kila mtu siku hizi anaongea sana
Let me ask you, Sokoine alikuwa mwongeaji sana? nani unafikiri alikuwa radical wa kutekeleza ujamaa kwa vitendo? caliber yake ya kuongea sana siyo kipimo cha kiongozi bora
Nyerere alikuwa dictator
Mbishi. haambiliki
Nyerere alijifanya anajua kila kitu
Nyerere mehairibu nchi beyond repair
This is timing hata ungekuwa wewe mazigira ya wakati huo sijui ungefanya nini . na katiba aliyoweka haina tofauti na katiba za nch nyingie za afrika zilizotangulia kupata uhuru. Sasa ulitegema aige kutoka wapi.Nyerere ndiye aliyeweka katiba ya kifalme na kitwana
Nyerere ndiye aliyeshauri na ku-force vyama vingi vianze BILA KUFORCE MABADILIKO YA KATIBA
BILA KUFORCE TUME YA UCHAGUZI IWE HURU
Yes tuache unafiki tutoe credit where it deserve pia. J. K Nyerere deserve some credit and some critics Nyerere alionyesha mfano wa leadership. ambao baada yake sioni kama kuna viongozi wana leadership.Tuache unafiki jamani, if we are living with excuse we can miss one for Mwinyi, Mkapa, Kikwete etc!!
I think now we are clutching straws..., if we can crucify somebody by not knowing what was socially acceptable at those places, be it whatever odd it was and I think its shallow of people if they cant look beyond the mere appearance ..., Hey for me Ghandi was still a good leader although he was wearing a bed sheet....
Vijiji vya Ujamaa was very bad implemented but that does not make it necessarily a bad idea; At least in Nyerere times majority of people where poor and the class gap was not as big sio sasa jirani yako anakula kuku getini kuna mtoto wa masikini ambaye mlo wa mwisho alikula juzi.
Binadamu kwanza anatambaa kabla hajaweza kukimbia..., we had to start from somewhere, na mtu mmoja hawezi akafanya all the changes, especially the Ujamaa policy being flawed. Angalia sasa miaka 50 baada ya uhuru ni kipi tumekifanya?
Maybe its time tuanze kujiangalia na sisi wenyewe labda kuna something seriously wrong in our heads..., kama sisi tumeshindwa na tuna wasomi na kukusanya kodi nyingi na tunajipongeza, sidhani kama itakuwa bora kumsingizia Nyerere kwamba hakuna alichokifanya.
After all mwenyewe alisema kuna mengi mazuri na mabaya mengi tumeyafanya.., kwahiyo tuyaache mabaya na kuendeleza mazuri, lakini it seems we are going the opposite way.
Habari zenu jamani?!
Naomba nianze kwa kusema ukweli kwamba mimi sikuwepo kipindi cha utawala wa Mwl na hata alipofariki nilikua mdogo sana hivyo sikuwahi kujua kwanini watu wengi walikua wanampenda sana huku bado kukiwa na mambo mengi hasi yanayosemwa juu yake.Nafurahi kwamba mwaka huu nimeweza kutumia muda wangu kiasi nikasoma vitabu kadhaa kumhusu...makusanyo ya hotuba zake pamoja na vitabu alivyoandika mwenyewe.Kutokana na niliyoyasoma niliridhika kwamba sifa zote anastahili...pia kukosolewa maana yeye kama mtu mwingine yeyote yule makosa hatuwezi tuyakwepa.
Katika vitu ambavyo Mwl alivisimamia haswa ni usawa.Hakutaka kabila moja lijione/jisikie liko juu ya jingine na kutengeneza matabaka.Sasa swali langu nnaloomba mnisaidie ni hili....ule msemo au sijui niyaite madai ya kwamba Mwl aliwahi kusema makabila fulani hayafai kupewa uongozi wa juu wa nchi ni wa kweli au ni propaganda za waliomchukia?!Nauliza hivi kwasababu niliyoyasoma juu yake hayaendani kabisa na madai haya...na wala haileti maana kusikia kwamba aliyepigania usawa ndie aliyekua wa kwanza kutengeneza matabaka lilipokuja swala la uongozi!!!
Naomba majibu kama yapo yawe na vielelezo na yasiwe maneno ya kusikika na kufikirika tu ili tusiojua tujifunze kitu.
Asanteni!
Is the argument if Nyerere had the better ideas??; If we are debating if Ujamaa is better than Capitalism I think that calls for another day, So you want to tell me that Good leaders don't fail, Mkwawa; Mangi Sina to name just a few they failed at the end but does that make them bad leaders?I am sure the first part is just an argument from your side but you now know what the point is.
The best ideas are those which works. You cant have it good and failed. Its either black or white, no gray shades. He himself announced to have failed, who are you to keep on depicting the same failures as good? a devils advocate?
You have said it all Mkuu kama watanzania tuna kitu cha kujivunia ni Baba wa Taifa..., watu wanachokifanya ni kupoint mapungufu yake na kusahau yote mazuri aliyoyafanya..., Yaani Afrika nzima visionaries walikuwa ni kina, Kwame Nkurumah; Nyerere na Mandela hao ndio watu wa kujivunia Africa nzima.Mwalimu kama kiongozi alikuwa na mapungufu yake mengi tu na hata yyeye mwenyewe aliyasema hadharani bila woga wala aibu. Sijui kama Watanzania tutapata bahati ya kuyasikia mapungufu ya akina Mwinyi, Mkapa na Kikwete ambayo pia yamehusisha ufisadi na uporaji wa mali za Watanzania tena mchana kweupe. RIP Mwalimu
Ni kigezo gani kinatumika kutambua Nyerere alipendwa au hakupendwa na watu wengi?
Mimi naamini Nyerere alipendwa na watu wengi kuliko rais yeyote aliyepata kutokea Tanzania.
Naamini pia ni Miongoni mwa viongozi mashuhuri Afrika waliopendwa na kuheshimika sana na waafrika.........Ukimuondoa Mandela, Nyerere anafunika vibaya....Anaweza fatiwa na kina Nkrumah, Lumumba, Samora na viongozi wa sampuli hii (wapigania uhuru) Hawa wa siku hizi ni kama makapi tu.
Kwa Tanzania hii, hakuna kama Nyerere!.......Ndio maana pamoja na kuwa ameshatangulia mbele ya haki, bado watu wanazikumbuka busara zake na wanamkumbuka kwa mema mengi aliyoyafanya, tofauti na maraisi wastaafy wengine ambao hata huwa hawakumbukwi kwa mema zaidi ya mabaya.
Is the argument if Nyerere had the better ideas??; If we are debating if Ujamaa is better than Capitalism I think that calls for another day, So you want to tell me that Good leaders don't fail, Mkwawa; Mangi Sina to name just a few they failed at the end but does that make them bad leaders?
Ujamaa policies failed; but Nyerere was a good leader and during his time there were many problems, njaa, vita vya Kagera n.k. still he stand in what he believed in and people followed him, now those are recipes of a good leader at least he had a vision of where he wanted to take us towards Ujamaa tofauti na sasa viongozi vision yao ni kumaliza miaka yao 10 na kuondoka na pension to last their kids and grandchildren lifetime
You have said it all Mkuu kama watanzania tuna kitu cha kujivunia ni Baba wa Taifa..., watu wanachokifanya ni kupoint mapungufu yake na kusahau yote mazuri aliyoyafanya..., Yaani Afrika nzima visionaries walikuwa ni kina, Kwame Nkurumah; Nyerere na Mandela hao ndio watu wa kujivunia Africa nzima.
Miaka 26 ya Mwinyi, Mkapa na Kikwete tumeona kuongezeka kwa kiwango kikubwa cha ukusanyaji wa kodi ya mapato, tumeona kuongezeka kwa kiwango kikubwa kwa nchi yetu kupatiwa misaada na mikopo toka nchi za Wafadhili pia kwa miaka zaidi ya 10 tunachimba dhahabu yetu ambayo bei yake katika soko la dunia imefikia hadi $1,400 kwa ounce moja ukilinganisha na bei ya $220 ilioanza kuchimbwa mwaka 2000. Je, pamoja na vyote hivi tuna maendeleo ya kuweza kujivunia au kujivunia viongozi wetu kuanzia Mwinyi mpaka Kikwete? kama lipo la kujivunia miongoni mwa Watanzania walio wengi ni lipi hilo!?
No u dont need to be crazy to defend the same as u dont need to be crazy to criticise nyerere . Tunaweza kuweka sababu zetu sote alafu tukapima . Ukiwa unbiased pamoja na kumriticise bado utaona nyerere ni mfano wa viongozi tunaowahitaji sasa but kwa mwelekeo tofauti.
Hapa sijakuelewa mwanz umesema we need to be crazy to defend him . alafu hapa unasema tunaweza kumdeffend kwa kumlinganisha na leaders wengine walikuja baada yake. kwani wewe ulitaka tumlinganishe na kina nani.
au na nini
Sio kweli kuwa N yerere failed terribly. Unless tujue context ya terribly kwako ni nini Mbona tanzania kuna miaka ni nchi iliyoongoza kufuta ujinga duniani. Na hii ilikuwa chini ya sera za mwalimu. mammbo ya UPE na elimu ya watu wazima. Yes Duniani. But nakubali kuna mambo ali fail lakini sio wa hicho kivumishi cha sfa cha terribly ulichotumia
Hapa nakubaliana na wewe haya mambo ya kulia sikubalini nayo.
Mkuu nadhani Nyerere alikuwa na mapungufu yake lakini mapungufu ya uongozi wa nyerere sio makubwa kiasi hicho kwamba ndio chanzo cha matatio yetu yoote . Do u know u dictator wa hitler ndo umsaidia kifanya Ujerumani kuwa amaong indutrila power. Beofer hitler Ujerumani ilikuwa imeachwa mbali na UK na france. Anywa siendi huku lakini nataka kukuonyesha kuna sometime nchi zinahitaji dictator. Mfano mwingine ni Uganda. Uliza au fuatilia waganda vizuri . Ukweli ni kwamba Ukweli ni kwamba Idd amin was a good leader to most of ugandan. Upo hapo????????
katika uongozi hutakiwi kumsikiliza kila mtu la sivyo sio leader tena. Kutoambilika kwa kiongozi ni jambo baya mara matokeo yakiwa mabaya lakini kutombailika kwa nyerere mambo kulikosababisha matunda mazuri tunaweza tusikujue. So hata wewe uiwa kiongozi usijidangaynye kuwa utamsikiliza kila mtu. Hata obama kule unasikia aliapewa alteantive tatu za kumuua OSama yeye akaamua ile ya kumzukia. Inge bakcfire ile leo tungekuwa tunaongea mangine. Na wangejitoeza watu wakisema sisi tulisema bora tupige mabomu tu. Hizo ni siasa.
Kwa mtazamo wangu tanzania tunakosa president kwente udicator fulani. Mkapa aalikuwa ana udctor fulani lakini naye tatizo ni ufisadi. yaani Jakaya angek uwa ana talanta za Udictor na Uzalendo kama wa nyerere basi tungekuwa mbali.
This is timing hata ungekuwa wewe mazigira ya wakati huo sijui ungefanya nini . na katiba aliyoweka haina tofauti na katiba za nch nyingie za afrika zilizotangulia kupata uhuru. Sasa ulitegema aige kutoka wapi.
Sasa Nyerere alishauri kama nani alikuwa ana mamlaka gani kwenye serikali wakati huo? Sasa wewe unamlaumu aliyeshauri badala ya kuwalamumu walimsikiliza ambo ndio walikuwa na mamlaka na uwezo wa kukubali au kukataa. Ni kosa kusema aliforce sababu hakuwa yeye rais. Kama wenye madaraka waliamuakumsikiliza ni udiafu wao sio wa nyerere
Yes tuache unafiki tutoe credit where it deserve pia. J. K Nyerere deserve some credit and some critics Nyerere alionyesha mfano wa leadership. ambao baada yake sioni kama kuna viongozi wana leadership.
Nawasilisha
After 24 Years in power he himself declared he failed, who are you to still argue? Does "I failed" means "I won" to you? creepy.
He didnt say Ujamaa failed, he said "I failed" is he ujamaa or nyerere?
Mtazamaji asante kwa kuwakilisha
Kwanza sijafanya comparison ya hawa viongozi waliofuata baada ya Nyerere...wote ziro
Leo hii tunalilia katiba Nyerere aliiweka katiba ya ku-mfavor yeye
Kuteua
Jaji mkuu
Mkuu wa majeshi
CAG
Chair wa tume ya uchaguzi
mkuu wa takukuru(not sure)
etc.................................................
tehe tehe tehe....!! nape naona kaongeza kidogo per diem kutoka buku mbili mpaka....au kuna watu wa "zamu yetu"wametuma watu wao mtandaoni!!! Ndiyo maana Mbayuwayu anamwita Nyerere mzee Nyerere tofauti na wengine wanavyoita baba wa Taifa!!
Hii thread inahusu ukabila ila naona yameingia mambo mengi tu!! Mimi nilikuwa hata sijijui wakati wa vita vya kagera !!Ila mzazi wangu ananiambia life ilikuwa nzuri sana kabla ya vita..! Kwa wafanyakazi mshahara ulikuwa unakutana na mshahara mwingine ila baada ya ya vita ndiyo hivyo tukafunga mkanda !!
Cha kwanza ni hiki kinachokufanya tuongee sasa hivi. Naapa wakati wa nyerere tusingethubutu.
Nyerere was against chochote chenye maendeleo.