Ninavyo vyote. Cha Dark side kimeandikwa na Ludovick Mwijage na cha Abdulwahid kimeandikwa na Mohammed Said.na asisahau vitabi hivi pia
the dark side of jk nyerere
life and times of abdulwahid sykes
sikumbuki waandishi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ninavyo vyote. Cha Dark side kimeandikwa na Ludovick Mwijage na cha Abdulwahid kimeandikwa na Mohammed Said.na asisahau vitabi hivi pia
the dark side of jk nyerere
life and times of abdulwahid sykes
sikumbuki waandishi
Mkuu Bukuku, nakubaliana nawewe kabisa kuwa mwalimu kama binadamu alikuwa na mapungufu yake. Katika moja ya hotuba zake za mwisho alisema, 'mchukue yale mazuri yetu na muache yale mabaya'. Amekiiri hadharani kwa kinywa chake. Mimi mara zote nimekuwa nikiyasema yale ambayo sikuridhika na utendaji au utekelezwaji wake.Eng. Burton A. Bukuku;wakati mimi namwona Kikwete bomu, kuna wengine wanamuona mzuri sana, wakati wengine wanamuona Nyerere mzuri wengine wanajuta hata kumjua!
Hizi ni caliber za binadamu na haijaandikwa mahali kuwa ukiwa unasema ubaya wa Nyerere lazima useme na uzuri wake. Na mtego huu ndio kila siku huwa mnauvaa sana, hakuna mahali kuwa ukisema ubaya wa Nyerere basi laizma useme na mazuri yake.
Nilitaka unieleze makosa ya Nyerere ukiwa mtu huru, jaji huru asiye na upendeleo wowote. Lakini upenzi unazidi sana kuliko kuismamia ukweli.
Ukweli ni kuwa JK ni baba wa taifa, ni kweli alikuwa na mapungufu yake mengi tu, nataka uyaseme hayo --orodhesha na ukiyasema hayataondoa ukweli kuwa Nyerere ana mazuri yake!!
Mtemi,Mkuu Jasusi , hivi wakati wa Nyerere kulifanyika majaribio ya mapinduzi
mangapi? naomba nijuzwe/tujuzwe, maana binafsi nafahamu kidogo mawili tu
lile la mara tu baada ya uhuru na hili la akina anko Tom,Mapunda, Mbogoro,
Zacharia Hans Pope na wenzao
Wacha, ulikuwa wapi?
Ni kama vile tumekuwa tunarusha makombora kutoka kwenye handaki bila kujua kuwa kuna mwenzetu anakuja kutupa ahueni.
It is good to see you here man, and now I can take a break!
Mafisadi wameshindwa kuongoza nchi sasa wanakuja na tabia ya kumlaumu mwalimu kwa kushindwa kwao kuongoza nchi. They should deliver without pointing fingers to others. Utajiri waliojichukulia utawatokea puani sooner rather than later.
Mwalimu ataendelea kusifiwa kwa yale aliyofanya kwa wengi ambao wanakubali kwamba alikuwa one of the great leaders katika generation yake, wale wanaomkandia kwanza hawawezi hata kukaribia chembe ya yale aliyofanikiwa na ni failures katika maisha yao binafsi. Kuna wengine wanakuja na maswala ya kizandiki ili kupotosha hoja muhimu kwa taifa hili, kama Nyerere alikuwa ni failure sijui hawa ambao nimisukule pale Magogoni tuwaweke katika sehemu ipi?
Mwalimu aliacha hii nchi ipo katika utajiri mkubwa katika kila sekta ukianzia reli, air travel, kampuni ya simu na mashirika muhimu ya umma ambayo ndio mafisadi sasa wamejichukulia na kufanya yao na kuwakamua walipa kodi. Hata nchi kubwa kama Uingereza, Germany na Marekani nguzo kuu bado zinasimamiwa na serikali wakati hapa kwetu wamejichukulia bure na sasa wanafikiri wataweza kuendelea kushiba baada ya kuvimbiwa. Hawa kuku walioletwa hapa kupotosha mambo muhimu hawawezi kufanikiwa kwa sababu Tanzania aliyoiacha mwalimu inazaliwa upya na watakiona cha mtema kuni.
Mwalimu aliandika vitabu vingi sana kama una nia ya kumwelewa nenda kavisome . . . Wakati ni huu!
Ahsate sana Mkuu, nimeupenda mno huu mchango wako.
Mkuu za masiku? Naona Internationals karibu zinaisha, Rafa nilitazama mechi zake kule China naona kawashitukia media na aliamua kupumnzika kidogo, hopefully atapumnzika vizuri na baadaye kutinga O2 kwenye funga mwaka. The boy is good. Have a nice day na shukrani za dhati kwa michango yako hapa JF.
Ahsate sana Mkuu, nimeupenda mno huu mchango wako.
UKweli ni kwamba Nairobi ni mji wa wamaasai, hata neno Nairobi ni la kimasai. Tatizo, upendeleo uliwafanya wakikuyu kuutawala. Upendeleo ukaongezwa na Kenyatta.Sio kuongozwa tu Madaraka Mbalimbali Nchini yangeegemea hayo Makabila na Usawa usingekuwepo Mfano Mzuri angalia Jirani zetu Kenya na Kabila la Kikikuyu wao walipendwa na wakoloni; wana Elimu zaidi ya wengine; Ardhi Zaidi ya Wengine; Mji bora zaidi ya wengine (NAIROBI) Wengi wana Madaraka na ni Mabwanyenye
This sounds stupid!Cha kwanza ni hiki kinachokufanya tuongee sasa hivi. Naapa wakati wa nyerere tusingethubutu.
Nyerere was against chochote chenye maendeleo.
Siasa za misikitini zimekupofusha kabisa akili.yaani nyerere mawazo yake yalikuwa finyu mpaka na yeye yamem cost
kutokuwepo kwa tv matokeo yake hotuba zake za tv zipo mbili tu....
na zilichukuliwa akiwa sio rais...na ni itv na channel ten tu ndo wanazo....
zingine nzuri hazipo kwenye tv
kitabu ni historia ya edwin mtei kimezinduliwa hivi karibuni
waulize watu wa chadema watakupa
Siasa za misikitini zimekupofusha kabisa akili.
Wewe una akili za misikitini.Wewe huna akili kabisa
Umeelewa kilichoandikwa hapo?
HahahahHahahha....mi nilivyosikia ni kwamba hakutaka watuwawe na tv ili wasijue yanayoendelea nje ya sehemu walipo...sasa yeye kwasababu anayo anakuja kuwadanganya ana maono haya na yale kuhusu ulimwengu unapoelekea.Siku ya pili watu wakisikia zile habari kwenye redio au sijui kwenye magazeti basi wanazidi kumwamini maana anajua mambo!!!Ntakitafuta!!!