Mwalimu Nyerere na ukabila

Nakumbuka mwl ktk hotuba zake alikuwa very open.........kuhusu kuchagua kiongozi alisisitiza sana yafuatayo na kwa uchungu mkubwa.........alisema"...hatutachagua mtu kwa sababu ya dini yake, hatutachagua mtu kwa sababu ya kabila lake na wala hatutachagua mtu kwa sbabu ya mkoa/sehemu atokako.................tunataka mtu mwenye sifa za kuwa kiongozi yaani mtu anayeyajua matatizo ya watz na yuko tayari kuwatumikia.......ndiyo maana alikuwa hataki watu km akina kikwete na lowasa kwani alijua ni wasanii tu wa mtaani ambao hawawezi kutembea ktk kile wasemacho.......................hakutaka sentensi za kwamba kwa kuwa mhula huu rais katoka bara basi ujao atoke visiwani, kwa kuwa rais katoka kaskazini basi huu atoke mashariki..................jamani yule mzee alikuwa na vision za ajabu sana km angeungwa mkono tungefika mbali sana ndiyo maana wenye akili timamu wanatamani azimio la arusha lirudishwe na liwekwe kwenye katiba mpya ya watz
Kwenye Public alisema hivyo akienda kwenye party caucus anageuza, wanasiasa ni viumbe hatari.nyerere includive
 
kwa nin Nyerere hakupenda Wahaya?
Nadhani kwa sababu ya Critics na egoism, hakuamini kuna viumbe Wana akili kumzidi,

lakini wakati kamefaulu st francis kakaenda pale makerere kaliwakuta wahaya tayari ni ma senior lecturer,

Kalipoenda edinburgh univ. akina kahama na Rwizandekwe ndo walikapa orientation. Walikuwa wanakalipia mpaka stripend

Sasa nature ya waafrica anawezaje kupenda kabila lililomzidi wakati umepata nguvu za utawala
 
Mpaka sasa mwalimu ndiye aliyefanya makabila mengine wawachukie wahaya kupitiliza. Mwalimu alipandikiza mbegu mbaya kwa watanzania kwamba wahaya wanabaguana, wana ukabila kuliko makabila mengine kitu ambacho sio kweli.

Wahaya ni watu wapole, wasafi, wanyenyekevu na wenye busara sana. Kitu pekee ambacho wahaya hawakipendi ni kudharauliwa, yaani hata uwe na pesa, nyumba, magari n.k yeye kwake anaona ni kitu cha kawaida hatishiki wala kubabaika. Utakuta hajajenga, ila akija kwako hata uwe umejenga kiasi gani, yeye atasema ni kanyumba.

Wahaya ndiyo kabila linalochukiwa Tanzania kuliko yote. Wengi hupenda kumuona Muhaya akiteseka au hata akianguka zaidi, hapo ndipo furaha yao hutimia vizuri. Lakini hii chuki haikuja bure, mwalimu ndiye chanzo aliiharibu image ya wahaya kwa watanzania kwa kuwaita wabaguzi na wakabila, propaganda hii inaenea na kusambaa hadi leo. Inawezekana alifanya hivyo kwa itikadi zake za kisiasa na utawala kwa kuwaogopa wahaya.

Wahaya ni wamoja, wana hadi vyama vya koo zao ili kuhamasisha umoja na mshikamano, wanaishi kijamaa zaidi, sasa sijui huko kubaguana alikokueneza mwalimu alikutoa wapi.

Namchukia sana mwalimu, kila nionapo picha yake, hasira unipanda misri ya cobra. Kwanza ndiye chanzo cha umasikini wa Tanzania kutokana na sera zake mbovu.
Hizo sifa hamna usidanganye watu hapa.
 
Mpaka sasa mwalimu ndiye aliyefanya makabila mengine wawachukie wahaya kupitiliza. Mwalimu alipandikiza mbegu mbaya kwa watanzania kwamba wahaya wanabaguana, wana ukabila kuliko makabila mengine kitu ambacho sio kweli.

Wahaya ni watu wapole, wasafi, wanyenyekevu na wenye busara sana. Kitu pekee ambacho wahaya hawakipendi ni kudharauliwa, yaani hata uwe na pesa, nyumba, magari n.k yeye kwake anaona ni kitu cha kawaida hatishiki wala kubabaika. Utakuta hajajenga, ila akija kwako hata uwe umejenga kiasi gani, yeye atasema ni kanyumba.

Wahaya ndiyo kabila linalochukiwa Tanzania kuliko yote. Wengi hupenda kumuona Muhaya akiteseka au hata akianguka zaidi, hapo ndipo furaha yao hutimia vizuri. Lakini hii chuki haikuja bure, mwalimu ndiye chanzo aliiharibu image ya wahaya kwa watanzania kwa kuwaita wabaguzi na wakabila, propaganda hii inaenea na kusambaa hadi leo. Inawezekana alifanya hivyo kwa itikadi zake za kisiasa na utawala kwa kuwaogopa wahaya.

Wahaya ni wamoja, wana hadi vyama vya koo zao ili kuhamasisha umoja na mshikamano, wanaishi kijamaa zaidi, sasa sijui huko kubaguana alikokueneza mwalimu alikutoa wapi.

Namchukia sana mwalimu, kila nionapo picha yake, hasira unipanda misri ya cobra. Kwanza ndiye chanzo cha umasikini wa Tanzania kutokana na sera zake mbovu.
Kosa kubwa alifanya sababu ya inferiority complex na huenda ndo kinacho iathiri njiii hii mpaka leo. Eti unawazuia kabila fulani wasiendelee Ili kuinunua vikabila vidogo
Wrong approach
Imepelekea nchi iko mikono mwa watu wenye uwezo mdogo Sana wajinga na wapumbavu. Wenye akili, maoni na weledi wametupwa nje
 
Aliyataja makabila yanayokula ndizi kwa sana ambayo yalitafsiriwa kama Wachagga,Wahaya na Wanyakyusa ambao walikuwa juu kielimu na uwingi na alipendelea nafasi za juu(urais,makamu na waziri mkuu) ushikwe na makabila madogo ili makabila haya yasi-manopolize power.Hajatamkaa hadharani lakini aliwaambia watu wengi in private angependa iwe hivo.
Hii kitu bila ushahidi itabaki kuwa ilikuwa ni propaganda tu, hata hivyo this 2022 nadhani uwiano wa kielimu si ule wa early to mid sixties.
 
Lakini kalikuwa very clever kalimtumia kawawa kufanya damage kubwa ,kama ambayo magufuli aliwatumia makonda na sabaya
 
Hizo sifa hamna usidanganye watu hapa.

Hizi mtu zinaongoza kuwa na Ubinafsi, roho mbaya, Ukabila,majigambo.

Hili kabila achana nalo kabisa.

Kama wewe ni muhaya pole nimekaa kwenu muda mrefu sana nimezunguka kote huko Bukoba Mjini, Karagwe, Kyerwa , Muleba, Kuna mazuri yenu lakini hapana.
Sifa zipi hawana? Wahaya hurka yao ni elimu neno nshomile alikuja hivi hivi, kagera familia isiyo na msomi/wasomi si chochote. Wakati makabila mengine wanawekeza kwenye ufugaji,kilimo na biashara, wahaya uwekezaji wao ni kwenye elimu, kwa ,muhaya elimu ndiyo kila kitu, kama huna elimu au familia haina wasomi, uiona maskini, wanaamini elimu ni utajiri usio kuwa na kikomo, unaoweza kukufikisha popote. Uhayani kukutana na mtu asiye jua kusoma au kuandika ni nadra sana.
 
Back
Top Bottom