Umasikini huo ni wa watanzania wote au wako na familia/ukoo ndo unakufanya umchukie marehemu?Namchukia sana mwalimu, kila nionapo picha yake, hasira unipanda misri ya cobra. Kwanza ndiye chanzo cha umasikini wa Tanzania kutokana na sera zake mbovu.
Huna uelewa wowote zaidi ya kukariri mambo.Wamissionari walijenga shule Bukoba katika harakati za kueneza dini. Hii ilipelekea Wahaya kuwa ni kabila lenye wasomi wengi kabla ya uhuru, sambamba na Wachaga na Wanyakyusa.
Kuna Wahaya walio anza harakati za kuupinga Ukoloni Zamani kabla ya Nyerere, tatizo ni ego hawakuwa tayari kuunganisha nguvu. Kutokana na kujiamini kwao waliweza kumkosoa Nyerere waziwazi na Nyerere hakuwa mtu akiykubali kukosolewa.
Mpumbavu weweHuna uelewa wowote zaidi ya kukariri mambo.
Matusi ya nini sasa mama?Mpumbavu wewe
Aliipandikiza kivipi, lini?Mpaka sasa mwalimu ndiye aliyefanya makabila mengine wawachukie wahaya kupitiliza. Mwalimu alipandikiza mbegu mbaya kwa watanzania kwamba wahaya wanabaguana, wanaukabila kuliko makabila mengine kitu ambacho sio kweli.
Wahaya ni watu wapole, wasafi, wanyenyekevu na wenye busara sana. Kitu pekee ambacho wahaya hawakipendi ni kudharauliwa, yaani hata uwe na pesa,nyumba, magari n.k yeye kwake anaona ni kitu cha kawaida hatishiki wala kubabaika. Utakuta hajajenga, ila akija kwako hata uwe umejenga kiasi gani, yeye atasema ni kanyumba.
Wahaya ndiyo kabila linalochukiwa Tanzania kuliko yote. Wengi upenda kumuona Muhaya akiteseka au hata akianguka zaidi, hapo ndipo furaha yao utimia vizuri. Lakini hii chuki haikuja bure, mwalimu ndiye chanzo aliiharibu image ya wahaya kwa watanzania kwa kuwaita wabaguzi na wakabila, propaganda hii inaenea na kusambaa hadi leo. Inawezekana alifanya hivyo kwa itikadi zake za kisiasa na utawala kwa kuwaogopa wahaya.
Wahaya ni wamoja, wana hadi vyama vya koo zao ili kuhamasisha umoja na mshikamano, wanaishi kijamaa zaidi, sasa sijuhi huko kubaguana alikokueneza mwalimu halikutoa wapi.
Namchukia sana mwalimu, kila nionapo picha yake, hasira unipanda misri ya cobra. Kwanza ndiye chanzo cha umasikini wa Tanzania kutokana na sera zake mbovu.
Acha kupanic, matusi ya nini? Huna hoja na uache kukariri. Hii nchi kila mahala ilipata wasomi.Mpumbavu wewe
Kwa Sasa ni Lile lililodekezwa kuliko yote na likabweteka Hadi Sasa limeanza lialia linabaguliwa 🏋️Habari zenu jamani?!
Naomba nianze kwa kusema ukweli kwamba mimi sikuwepo kipindi cha utawala wa Mwl na hata alipofariki nilikua mdogo sana hivyo sikuwahi kujua kwanini watu wengi walikua wanampenda sana huku bado kukiwa na mambo mengi hasi yanayosemwa juu yake.Nafurahi kwamba mwaka huu nimeweza kutumia muda wangu kiasi nikasoma vitabu kadhaa kumhusu...makusanyo ya hotuba zake pamoja na vitabu alivyoandika mwenyewe.Kutokana na niliyoyasoma niliridhika kwamba sifa zote anastahili...pia kukosolewa maana yeye kama mtu mwingine yeyote yule makosa hatuwezi tuyakwepa.
Katika vitu ambavyo Mwl alivisimamia haswa ni usawa.Hakutaka kabila moja lijione/jisikie liko juu ya jingine na kutengeneza matabaka.Sasa swali langu nnaloomba mnisaidie ni hili....ule msemo au sijui niyaite madai ya kwamba Mwl aliwahi kusema makabila fulani hayafai kupewa uongozi wa juu wa nchi ni wa kweli au ni propaganda za waliomchukia?!Nauliza hivi kwasababu niliyoyasoma juu yake hayaendani kabisa na madai haya...na wala haileti maana kusikia kwamba aliyepigania usawa ndie aliyekua wa kwanza kutengeneza matabaka lilipokuja swala la uongozi!!!
Naomba majibu kama yapo yawe na vielelezo na yasiwe maneno ya kusikika na kufikirika tu ili tusiojua tujifunze kitu.
Asanteni!
Aliyataja makabila yanayokula ndizi kwa sana ambayo yalitafsiriwa kama Wachagga,Wahaya na Wanyakyusa ambao walikuwa juu kielimu na uwingi na alipendelea nafasi za juu(urais,makamu na waziri mkuu) ushikwe na makabila madogo ili makabila haya yasi-manopolize power.Hajatamkaa hadharani lakini aliwaambia watu wengi in private angependa iwe hivo.
Alimtumia kawawa kuua nguvu za kiuchumi za wachagga na wahaya Ili kuwainua wengine, athari zinaoneka leoKila aliempinga alionja joto yajiwe
waulize kina bibi titi,kambona,edwin mtei na wengine weengi
Mwl na magufuli kuna trait wanashareBasi hakua mshindani hata kidogo....inawezekana alikua anaogopa sana upinzani!
Wajinga walikuwa wengi isingekuwa Rahisi kutambua hila alizotumiaAsante kwa kunirekebisha ila bado naamini waliompenda wanazidi walio/wanaomchukua...au labda tuseme hawakumtambua sawasawa kiasi cha kuamini aliwatakia mema hivyo hawana malalamiko juu yake. Binafsi naamini alikua dikteta wa kichinichini..wale waliokua karibu yake tu ndo wanaojua ni kwa jinsi gani hakupenda upinzani!!
Watanzania muwaelewe wahaya ni watu wazuri ila egoism iko damuni kuiacha ni mgumu ni intrinsic na DNA, tofauti na wachagaWamissionari walijenga shule Bukoba katika harakati za kueneza dini. Hii ilipelekea Wahaya kuwa ni kabila lenye wasomi wengi kabla ya uhuru, sambamba na Wachaga na Wanyakyusa.
Kuna Wahaya walio anza harakati za kuupinga Ukoloni Zamani kabla ya Nyerere, tatizo ni ego hawakuwa tayari kuunganisha nguvu. Kutokana na kujiamini kwao waliweza kumkosoa Nyerere waziwazi na Nyerere hakuwa mtu akiykubali kukosolewa.
Wasomi kabla ya uhuru walikuwa wahaya na wachaga huo ndo ukweli tu kijanaAcha kupanic, matusi ya nini? Huna hoja na uache kukariri. Hii nchi kila mahala ilipata wasomi.
Una maana gani?Wasomi kabla ya uhuru walikuwa wahaya na wachaga huo ndo ukweli tu kijana
Records zinaonyesha kutoka makerere, edinburg,cambridge unive. Havad, nakafhalikaUna maana gani?