bitimkongwe
JF-Expert Member
- Oct 21, 2009
- 8,094
- 7,840
Acha watu tufanye kazi, kama lengo lako ni mapato fuata kanuni na taratibu dhibiti mapato, sasa hata kuingiza meli tuombe ruhusa wizarani? Bandari iko wazi meli zimejaa nje, mpaka mbumbumbu fulani wizarani atoe amri ndo tufanye kazi. Watu wanamshangilia huyu mtaka msifa, subirini mtakuja kuona.
Nyinyi si ndiyo wale mulioiba mpaka zile computer za bandari ili kupoteza ushahidi? Sasa kama mulikuwa munafanya kazi kisawasawa muliogopa nini mpaka ikabidi kupotezea ushahidi?
Makontena yameshindwa kupotea?