Mwakyembe unaua bandari yetu

Mwakyembe unaua bandari yetu

Mwisho wa mwez si unalipwa mshaara tatizo ni nn,we 2lia dr.anachunguza mirija yote ya ulaj,huo mosh lazima uwatoe nyoka pangoni.,wa2 walikuwa masangoma hapo hawagusik hahaahaahaahahaa,sangoma zimebuma.,Dr ondoa misukule yote hapo...
 
mmezoea business as usual.......you have to change feel proud kwa nchi yako kwa kufanya kazi kwa weledi nchi haiwezi kuendelea kwa kuwa na wafanyakazi kama wa bandari ambao kila kukicha ni dili tu... kwisha sasa mwakyembe ongeza spidi bado!
 
Bandali ilikuwa imejaa ma mbumbu bora alivyo yapiga chini. sio vibaya kuanza upya maana hata 2015 tunatalijia kuanza upya na Serekali mpya, rais mpya, naibu waziri wa elimu mpya anaye jua anacho kisema na sio kupayuka kama huyu wa magamba.

Tutateua maziri kwa kuangalia qualifications zao na sio ushikaji kama hawa wa Magamba wanaochaguliwa huku wengi wakiwa na vichwa vya kufugia nywele badala ya kuvitumia katika kufikiria.

Tuta hakikisha tuna pangua safu yote ya vigogo wa TRA ambao badala ya kuwatumikia wananchi wa Tanzania, wametengeneza mtandao wao na wafanya biashara wachache wanao kwepa kodi kwa kuchukua rushwa za mamilion ya fedha huku wakiliacha taifa likiteketea.
 
Acha watu tufanye kazi, kama lengo lako ni mapato fuata kanuni na taratibu dhibiti mapato, sasa hata kuingiza meli tuombe ruhusa wizarani? Bandari iko wazi meli zimejaa nje, mpaka mbumbumbu fulani wizarani atoe amri ndo tufanye kazi. Watu wanamshangilia huyu mtaka msifa, subirini mtakuja kuona.

Kwa mara ya kwanza Bandari wameweka rekodi mwezi wa kumi kw akuapakua macontainer 36,000 kwa mwezi haijawahi kutokea katika historia ya bandari ya DSM toka ianzishwe na hii ni kutokana na hatua alizochukua Dr. Mwakyembe. Hii ilikuwa katika magazeti ya leo.
 
Nia ya Dr. Mwakyembe ni nzuri japo kunaweza kukawa na intention nyingine nyuma yake maana hii ni tz.
Cha msingi hapa ni kuwa hakuna mtu anayeweza kubadilisha hali ya mambo kutokea kwenye mlolongo wa commands za ccm kwa maana msingi wa utawala na taratibu za chama hiki ni fitna na unafiki. Na kwa kiasi cha fitina zilizoko huko (refer mzee Akilimali anavyosema kuwa ni bora Yanga ife/ifutwe kuliko kuongozwa na 'fulani'), watu wako tayari kufa kuliko ku adopt mfumo wa kisasa na wa maendeleo.
Iache tu Tanzania iendelee na mambo yake ya 'backwardness' na uchawi mpaka Mungu akiamua vinginevyo!

Kila jambo lina mwisho,na pia unaweza danganya watu fulani kwa wakati flani lakini si watu wote na wakati wote.tumeshaongozwa na mawaziri wasanii sana kwa muda mrefu na wizara hii ni moja kati ya wizara zilizokuwa zinalalamikiwa sana kwa muda mrefu kwa utendaji kazi mbovu leo hii tumepata mtu ambaye ni mtoa kero zilizokuwa zikiwakera wananchi kwa muda mrefu mimi naona huyu waziri ni jembe kwa kweli ni chapa kazi na ni wizara chache zina mawaziri wanaojitahidi na wenye uzalendo kama mwakyembe nathubutu kusema huyu ni mfano unaopaswa kuigwa na wengine pia hongera dr.mwakyembe kwa uzalendo tuntamani kuona nchi jirani zilizotuzunguka zikitumiaa bandari yetu ili nchi ipate tija
 
Aisee safi sana Mwakyembe, km hujawahi ingiza mzigo wowote bandarini, utaona km jamaa anacheza lkn bandari imeoza rushwa, mwakyembe safisha hapo, timua wote wala rushwa.

Wote wnaolalamika humu ni wale ambao maslahi yao binaafsi yamekatwa wezi na wala rushwa wasioumia kwa namna nchi ama bandari inavyokuwa na sifa mbaya safisha kabisa mwakyembe watu waombe vibali kwaani shida iko wapi?
 
Watanzania wenzangu,ushabiki tuuweke pembeni,bandari ya Dsm ipo kwenye mtikisiko wa hali ya juu.Kwa Mwakyembe kuna kitu nyuma ya pazia,fuatilia ujue anaeingoza bandari ni nani na mgomba wake ni upi.Arison atapiga kelele lakini kwa bandari atakwama tu.
 
Vp wewe naye ni amekujeruhi??? Hongera saaaaaaaaaaana mwakyembe komaa naooooooooooo
 
Acha watu tufanye kazi, kama lengo lako ni mapato fuata kanuni na taratibu dhibiti mapato, sasa hata kuingiza meli tuombe ruhusa wizarani? Bandari iko wazi meli zimejaa nje, mpaka mbumbumbu fulani wizarani atoe amri ndo tufanye kazi. Watu wanamshangilia huyu mtaka msifa, subirini mtakuja kuona.
Sorry, out of topic;
Wewe ndo yule uliegandiana Temeke hospital?
Pole sana mkuu wangu!!
 
Kwani ukiomba kibali wizarani kuna tatizo gani?Kwani ofisini kwako hakuna maboss ambao hutoa amri?Kama unawatusi wafanyakazi wa wizara ni mbumbumbu je hapo ofisini kwako bandarini kupoje?
Ni hayo tu.

R u serious, hivi unaelewa kitu kinachoitwa time is money au ndio mambo tu ya kudandia treni kwa mbele.

1..Wenzako wana trip zao za kwenda na kurudi kubeba mizigo wewe unawapotezea muda kwa ushamba wako halafu unaona ana justification ya kufanya hivyo, kuna watu wanalipwa melini every extra day ni overtime, kuna hela zingine na mizigo mingine meli inasubiri wewe unawapotezea muda, kuna watu wameshaambiwa meli inatumia muda gani kufika na mizigo waitegemee lini kibiashara, kuna mlolongo wa mapato ambao umesambaa wewe unazuia kwa upuuzi wako.

On the other hand kuna port zingine ambazo zinaweza iba biashara for the sake of customers satisfaction kama kuna watanzania wanaona heri ya kushushia mombasa, what about countries ambazo zinakuwa na mizigo ambayo inafaida kubwa yamapato kwetu kuamia kwengine.

Jamaa amesha sema kama ni kudhibiti mapato kuna namna zake, lakini kama ni kufanya biashara effectively this is absurd.

I always thought the guy was not right for this post, maana kaanza kulewa hata na masifa ya treni ya Mwakyembe as if the plan was initiated in the last six months, nevertheless he is happy to receive all the accolades without acknowledging those responsible for that train.

Kama kikwete anampenda sana ampe wizara ya sheria huko ndio anapofa lakini si kwenye miradi he is just not cut for those roles. It tells akili ya raisi wetu ikoje kutokana na haya matatizo na teuzi zake za ajabu ajabu no wonder aelewi sababu za umaskini wa taifa.
 
Duh kama una/mna spend sana maisha yenu yanarudi chini sasa, hata kama hataweza kutatua matatizo yote ila hapa nafurahi amewapata haswa. good job mkome mmezidi na bado. bodi mpy hiyooooooooo
 
Sijaona jibu la swali la msingi hapa.

Jibu la swali hili, kama litahakikisha uvumi, litatupa shida hata tuliom support Mwakyembe tangu mwanzo.

Ni kweli kwamba utaratibu wa kila meli inayotaka kutia nanga bandarini kuombewa kibali wizarani unaleta ukiritimba kiasi cha kuacha nafasi bandarini wakati meli zimejaa zikingojea zamu ya kupakua na kupakia mizigo?
 
R u serious, hivi unaelewa kitu kinachoitwa time is money au ndio mambo tu ya kudandia treni kwa mbele.

1..Wenzako wana trip zao za kwenda na kurudi kubeba mizigo wewe unawapotezea muda kwa ushamba wako halafu unaona ana justification ya kufanya hivyo, kuna watu wanalipwa melini every extra day ni overtime, kuna hela zingine na mizigo mingine meli inasubiri wewe unawapotezea muda, kuna watu wameshaambiwa meli inatumia muda gani kufika na mizigo waitegemee lini kibiashara, kuna mlolongo wa mapato ambao umesambaa wewe unazuia kwa upuuzi wako.

On the other hand kuna port zingine ambazo zinaweza iba biashara for the sake of customers satisfaction kama kuna watanzania wanaona heri ya kushushia mombasa, what about countries ambazo zinakuwa na mizigo ambayo inafaida kubwa yamapato kwetu kuamia kwengine.

Jamaa amesha sema kama ni kudhibiti mapato kuna namna zake, lakini kama ni kufanya biashara effectively this is absurd.

I always thought the guy was not right for this post, maana kaanza kulewa hata na masifa ya treni ya Mwakyembe as if the plan was initiated in the last six months, nevertheless he is happy to receive all the accolades without acknowledging those responsible for that train.

Kama kikwete anampenda sana ampe wizara ya sheria huko ndio anapofa lakini si kwenye miradi he is just not cut for those roles. It tells akili ya raisi wetu ikoje kutokana na haya matatizo na teuzi zake za ajabu ajabu no wonder aelewi sababu za umaskini wa taifa.

Mkuu Zinja nashukuru sana kwa kunisoma, wewe ni muelewa sana! nimezodolewa sana leo humu ndani lakin mkuu umeiona point yangu. Thanx.
 
Mkuu Zinja nashukuru sana kwa kunisoma, wewe ni muelewa sana! nimezodolewa sana leo humu ndani lakin mkuu umeiona point yangu. Thanx.
Mbona umeelezea vizuri tu, short, clear and precisely to the point asietaka kuelewa ni kwamba hataki tu.
 
Kwa mara ya kwanza Bandari wameweka rekodi mwezi wa kumi kw akuapakua macontainer 36,000 kwa mwezi haijawahi kutokea katika historia ya bandari ya DSM toka ianzishwe na hii ni kutokana na hatua alizochukua Dr. Mwakyembe. Hii ilikuwa katika magazeti ya leo.
Ukweli ni kuwa rekodi hiyo imewekwa na TICTS ambayo Mwakyembe hausiki na mafanikio hayo. TPA wakifikisha rekodi hiyo mbingu inaweza kushuka. Kitu kingine watu wasichokijua ni kuwa utendaji wa TICTS mara nyingi hukwamishwa na ukiritimba wa TPA.
 
Hoja haina mashiko mbona haileweki? Anaua bandari kwa vipi? Aibu mliyoitia Tanzania kwa utendaji hafifu na kufukuza wateja hutaki mabadiliko yenye kuleta utendaji wenye tija? Vumilia ndugu mabadiliko mara nyingi hayakubaliki lakini naamini baada ya muda hata wewe mwenyewe utafurahia utendaji uliotukuka. Mpeni huyu waziri ushirikiano na siyo kejeli please.
 
Mleta mada ni mnufaika wa mtandao wa wizi hivi kwa akili yako unaweza kutudanganya kiasi hiki, mlishindwa kufanya kazi sasa mnakimbizwa unakuja na visingizio vya kitoto ngoja mkome sasa
 
Back
Top Bottom