Mwakyembe unaua bandari yetu

Mwakyembe unaua bandari yetu

Acha watu tufanye kazi, kama lengo lako ni mapato fuata kanuni na taratibu dhibiti mapato, sasa hata kuingiza meli tuombe ruhusa wizarani? Bandari iko wazi meli zimejaa nje, mpaka mbumbumbu fulani wizarani atoe amri ndo tufanye kazi. Watu wanamshangilia huyu mtaka msifa, subirini mtakuja kuona.
Msimamizi alegeze kamba watoto wapiteeeeeeeeeeeeeeee
 
Hongera mwakyembe fanya kazi ukiona mtumishi analalamika ujue kazi ya haki inafanyika na ukiona mteja analalamika ujue haki yak imechotwa
 
Dr. Mwakyembe, wembe ni ule ule hadi hawa jamaa wa bandarini washike adabu! Nimeagiza magari mara tatu, yaliyonikuta ni makubwa hapo bandarini. Dr. Mwakyembe kaona mapungufu hayo, wasiotaka mabadiliko waache kazi ili bandari itoe huduma za uhakika. Upuuzi mkubwa kumlaumu waziri anayerekebisha mambo.

Dr. Mwakyembe, KANYAGA TWENDE!

Hebu tujuze kilichokupata ulipoagiza hayo magari matatu,yawezekana agent wako ndio kakuumiza ukasingizia bandari.
 
Wadau tusikurupuke kumshambulia mtoa mada kuhusu wizi bandarini,kwa taarifa yenu yawezekana huyo waziri anapanga timu mpya ya kifisadi,jiulizeni ameivunja bodi lakini cha ajabu mwenyekiti amemuacha.....sijui sababu ana uhusiano na EL au sababu ni shemeji yake kamuolea dada yake unyakyusani? USANII MTUPU.
 
Acha watu tufanye kazi, kama lengo lako ni mapato fuata kanuni na taratibu dhibiti mapato, sasa hata kuingiza meli tuombe ruhusa wizarani? Bandari iko wazi meli zimejaa nje, mpaka mbumbumbu fulani wizarani atoe amri ndo tufanye kazi. Watu wanamshangilia huyu mtaka msifa, subirini mtakuja kuona.
Nadhan una jambo binafsi, mana wengine 2naona mabadiriko lakn wee huyaoni. Funguka zaid labda utaeleweka.!
 
Jamani tuwe wakweli Mwakyembe kwa muda mfupi sana amefanya makubwa na nina uhakika baadhi ya wanaomchukia ni kwa sababu ameziba mirija yao. Hebu tuambie ndugu muda woote ni nn cha kujivunia mmetufanyia hapo bandarini zaidi ya kufukuza wateja waliokimbilia mombasa?? Kila siku Kagame anawalalamikia!! Tuambia jambo moja la kujivunia ambalo umeifanyai nchi hii hapo bandari!!
Acha watu tufanye kazi, kama lengo lako ni mapato fuata kanuni na taratibu dhibiti mapato, sasa hata kuingiza meli tuombe ruhusa wizarani? Bandari iko wazi meli zimejaa nje, mpaka mbumbumbu fulani wizarani atoe amri ndo tufanye kazi. Watu wanamshangilia huyu mtaka msifa, subirini mtakuja kuona.
 
mlipewa uhuru mmeabuse mnadhani kila siku itakuwa ni Jumapili? Kwa hili, nadhani andika maumivu tu bwana Mwizi!
 
Wadau tusikurupuke kumshambulia mtoa mada kuhusu wizi bandarini,kwa taarifa yenu yawezekana huyo waziri anapanga timu mpya ya kifisadi,jiulizeni ameivunja bodi lakini cha ajabu mwenyekiti amemuacha.....sijui sababu ana uhusiano na EL au sababu ni shemeji yake kamuolea dada yake unyakyusani? USANII MTUPU.
 
Kwani kuomba kibali inachukua muda gani. Siku hizi kuna emails, simu na fax (Kwa Tanzania). Bandari na TRA mnajifanya Mungu watu. Mtu kutoa mzigo bandarini inakuwa ni taabu sana kwa sababu ya uzembe na wizi wenu.

Mdau fikiri kabla hujapost upuuzi wako, unadhani bandari ni kama ofisi ya uwakili. Kuna taratibu zake za kiutendaji kama unavyoona fani zingine. Kama ukizungumzia wizi basi anza na huyo wakili coz wapo watu wana backup zake wakati akiwa wakili, alifanya usanii mkubwa ili apate pesa ya kwenda kugombea ubunge kwao. Basi kwa taarifa yako anayoyafanya sasa hvi yalishaanza kufanywa kabla yeye hajaanza kufanya kwa kutumia Media, kama kidume wa ukweli avunje mkataba wa TICTS na ule wa TRL. CCM NI USANII MTUPU.
 
Wadau tusikurupuke kumshambulia mtoa mada kuhusu wizi bandarini,kwa taarifa yenu yawezekana huyo waziri anapanga timu mpya ya kifisadi,jiulizeni ameivunja bodi lakini cha ajabu mwenyekiti amemuacha.....sijui sababu ana uhusiano na EL au sababu ni shemeji yake kamuolea dada yake unyakyusani? USANII MTUPU.
Wenyeviti wa Bodi za Mashirika ya Umma huteuliwa na Rais kama unataka huyo Mwenyekiti wa Bodi naye aondolewe basi mshinikize Kikwete amuondoe na kama umesema kweli huo uhusiano wake na EL hilo ni tatizo kwa Kikwete na wala si kwa Mwakyembe!!
 
Wenyeviti wa Bodi za Mashirika ya Umma huteuliwa na Rais kama unataka huyo Mwenyekiti wa Bodi naye aondolewe basi mshinikize Kikwete amuondoe na kama umesema kweli huo uhusiano wake na EL hilo ni tatizo kwa Kikwete na wala si kwa Mwakyembe!!

Ndio ujue hapo ni USANII unaendelea, wakili anatumia taaluma yake kwa kumtega boss wake utadhani yupo mahakamani anamshinikiza amg'oe mwenyekiti wa bodi. Anatumia udhaifu wa sera,sheria na taratibu mbovu zilizowekwa na wanaChama. Mfumo unatumiwa na wajanja kuumiza wengine kwa interest zao. Lazima tufahamu ukifanya kz kwa kutumia media basi ujue una ajenda yako, vilevile lazima tujue kwa ishu yoyote ya biashara haifai kuchanganywa na siasa. Waziri anapoutangazia umma kuhusu wizi wa bandari upande wa pili wa shilingi unafurahia coz now wateja karibu wote wamehamia nchi jirani, vilevile kumpata mteja ni rahisi kuliko ukampoteza kumrudisha ni gharama kubwa. Kumbuka Mbwa asiyebweka ni mkali kuliko abwekae usiku kucha.
 
Nchi kweli inanuka rushwa huyu jamaa kaagizwa na boc wake muathirika wa pale bandarini aweke uzi huu.. MWAKIYEMBE ANAUA BANDARI TETU alitegemea tapata watetezi humu jf, lakini sijaona post yeyote iliomtetea, dah poleni sana waathirika wa bandarini pia mujuwe hakuna lisilokua na mwisho hapa sasa mumedunda, munatuaibisha, wizi wenu umezidi wa kila kitu. Mh. Mwakiembe kanyaga mafuta wala usingalie nyuma, safisha kila mtu anufaike tumechoka, chupi zinawabana na mwaka huu wataandika chini.... Tumeu......
 
mwanzoni nilidhani Mwakyembe ni mtu makini alipoanza kukurupuka kwa kila jambo nikadhani labda ni ulmbikeni wa uwaziri baada ya kutoka kwenye ugonjwa mkubwa. Lakini sasa nataka kuamini kwamba anapenda cheap popularity. Kwa nini hafanyi uchunguzi wa mambo kabla hajatenda jambo.
Ajiandae kuumbuka muda si mrefu kwa kuwa maamuzi yake mengi ni ya sifa sifa tu hayazingatii uhalisia. Akipuuza haya yetu macho mbona karibu goma litapasuka!
Utasikia sasa hivi ohh wananihujumu ohh wananishauri vibaya ohh walinidanganya.
Amemsikia mwenzake muhogo huko anavyoweweseka, kama yuko juu ya jiko la mkaa anawiva.
Inaaikitisha kwa ma Dr. Na maprof. Wetu, siasa siyo fani yao, hao.
 
mwanzoni nilidhani Mwakyembe ni mtu makini alipoanza kukurupuka kwa kila jambo nikadhani labda ni ulmbikeni wa uwaziri baada ya kutoka kwenye ugonjwa mkubwa. Lakini sasa nataka kuamini kwamba anapenda cheap popularity. Kwa nini hafanyi uchunguzi wa mambo kabla hajatenda jambo.
Ajiandae kuumbuka muda si mrefu kwa kuwa maamuzi yake mengi ni ya sifa sifa tu hayazingatii uhalisia. Akipuuza haya yetu macho mbona karibu goma litapasuka!
Utasikia sasa hivi ohh wananihujumu ohh wananishauri vibaya ohh walinidanganya.
Amemsikia mwenzake muhogo huko anavyoweweseka, kama yuko juu ya jiko la mkaa anawiva.
Inaaikitisha kwa ma Dr. Na maprof. Wetu, siasa siyo fani yao, hao.
Wewe ni lazima utakuwa mentally impaired. Hivi uozo wote uliokuwa umekithiri bandarini uliokuwa huuoni au ulikuwa unakufainisha?. Sasa mirija ya kifisadi imefungwa na Mwakyembe. Endelea kulalamika wakati Mwakyembe anasonga mbele.
 
Anaua bandari kivipi???teh,teh,teh njaa mbaya sana hamkukumbuka kuficha zingine kule uswis au mlidhani mtakula milele??teh.......
 
Mhe.Mwakyembe usiogope maberiali bali Muumba wako.Zingatia ushauri wa kamati yako na wataalamu waaminifu wa mambo ya bandari ndani na nje ya Tanzania.Watz,tunakuombea dau,chapa kazi kama shujaa.
 
Back
Top Bottom