Nia ya Dr. Mwakyembe ni nzuri japo kunaweza kukawa na intention nyingine nyuma yake maana hii ni tz.
Cha msingi hapa ni kuwa hakuna mtu anayeweza kubadilisha hali ya mambo kutokea kwenye mlolongo wa commands za ccm kwa maana msingi wa utawala na taratibu za chama hiki ni fitna na unafiki. Na kwa kiasi cha fitina zilizoko huko (refer mzee Akilimali anavyosema kuwa ni bora Yanga ife/ifutwe kuliko kuongozwa na 'fulani'), watu wako tayari kufa kuliko ku adopt mfumo wa kisasa na wa maendeleo.
Iache tu Tanzania iendelee na mambo yake ya 'backwardness' na uchawi mpaka Mungu akiamua vinginevyo!
Huna lolote unawaita wenzio mbumbumbu kisa mirija Yako imezibwa mwaka huu mtasema yoteAcha watu tufanye kazi, kama lengo lako ni mapato fuata kanuni na taratibu dhibiti mapato, sasa hata kuingiza meli tuombe ruhusa wizarani? Bandari iko wazi meli zimejaa nje, mpaka mbumbumbu fulani wizarani atoe amri ndo tufanye kazi. Watu wanamshangilia huyu mtaka msifa, subirini mtakuja kuona.
KAcha watu tufanye kazi, kama lengo lako ni mapato fuata kanuni na taratibu dhibiti mapato, sasa hata kuingiza meli tuombe ruhusa wizarani? Bandari iko wazi meli zimejaa nje, mpaka mbumbumbu fulani wizarani atoe amri ndo tufanye kazi. Watu wanamshangilia huyu mtaka msifa, subirini mtakuja kuona.
Nadhani hapo kwennye red mdau alikuwa anamaanisha "acha watu tufanye ufisadi"Acha watu tufanye kazi, kama lengo lako ni mapato fuata kanuni na taratibu dhibiti mapato, sasa hata kuingiza meli tuombe ruhusa wizarani? Bandari iko wazi meli zimejaa nje, mpaka mbumbumbu fulani wizarani atoe amri ndo tufanye kazi. Watu wanamshangilia huyu mtaka msifa, subirini mtakuja kuona.
Acha watu tufanye kazi, kama lengo lako ni mapato fuata kanuni na taratibu dhibiti mapato, sasa hata kuingiza meli tuombe ruhusa wizarani? Bandari iko wazi meli zimejaa nje, mpaka mbumbumbu fulani wizarani atoe amri ndo tufanye kazi. Watu wanamshangilia huyu mtaka msifa, subirini mtakuja kuona.
Mkuu, mbona nasikia nyie ndo mnakwamisha ili watu waweze kukata mkwanja?Naona wengi mnaongelea "mirija" point yangu siyo hiyo, efficiency ya bandari popote duniani inategemea sana speed ya kuipokea meli kupakia/kupakua mizigo na kuondoka kwa upande mmoja na speed ya ku deliver mizigo kwa mteja kwa upande mwingine.
Mkuu, mbona nasikia nyie ndo mnakwamisha ili watu waweze kukata mkwanja?
Tumpe muda na hiyo approach yake. Wakati huo wewe utakuwa unarekodi demerits
Nyie ndo wezi wakubwa wa makontainer yetu
Naona wengi mnaongelea "mirija" point yangu siyo hiyo, efficiency ya bandari popote duniani inategemea sana speed ya kuipokea meli kupakia/kupakua mizigo na kuondoka kwa upande mmoja na speed ya ku deliver mizigo kwa mteja kwa upande mwingine. Kwa TPA kama stevedore company inahusika moja kwa moja na speed ya kuipokea meli kupakia/kupakua mizigo na kuondoka kwa meli bandarini. sasa kama meli ziko nje na tayari zimeisha kamilisha paper work yote ya kuingia bandarini na kufanya kazi bandari iko wazi, yani hakuna meli ndani lakini meli haziingi kwa sababu kuna mkubwa mmoja wa wizara hajatoa go ahead, efficency itapatikana vipi? nani atakubali alete meli yake Dar es salaam, bandari ambayo akifika anakaa wiki nzima na zaidi nje bila kupakua mzigo wakati ana deadline ya kumeet kwenye bandari zingine? hii beauracracy nini?