Mwaka Mmoja wa Rais Dr. Hussein Mwinyi; Kinachoendelea Zanzibar Wananchi wanashangaa

Waulize waliojiunga kwny Serikali ya Umoja wa kitaifa

Tangu wameunganishwa kwny 'Gridi ya Tozo' ushaskia wanauponda Muungano au Mapinduzi matukufu?

Akili za kuambiwa…

Mimi simuulizi mtu , mimi yaliyonifika ninayajua , Na wala siupondi Muungano wala Mapinduzi ninaelewa vizuri kuwa kulikuwa Hakuna Mapinduzi ni uvamizi wa Nyerere. Majeshi ya kutoka Tanganyika yalikuwa mitaani tukiwaona vizuri . Haramu haidumu . Hao ACT wamo katika mapambano Na kila mtu kwa njia yake.
Aluta continua
 
Kwenye hotel ya Golden Tulip mjini Zanzibar kuna hafla kubwa ya kusherekea mwaka mmoja wa nafasi ya urais wa Dr. Hussein Ali Hassan Mwinyi.


Hafla hii imejumuisha viongozi wakuu wa kitaifa, wastaafu na wengine wengi wakiwepo wananchi mbalimbali, baadhi na kwa uchache Rais mstaafu Jakaya Kikwete, makamu wa kwanza wa rais wa jamuhuri ya muungano wa Tanzania dkt Bilal nk.

Barabarani ni mabango na matangazo ya kutosha ya live kuelezea uwepo wa tukio hilo.

Ingawa si jambo la kushangaza viongozi wa Zanzibar kufanya jambo kama sababu lilishawahi kufanywa huko nyuma ila kinachowashangaza baadhi ya watu ni ile kauli ya mh. Mwinyi kujipambanua kwa kubana matumizi.

Mabango na dhifa kubwa kama hiyo ni kwa muktadha upi ambao umeonyesha umuhimu kuandaliwa hata kama si pesa ya serikali?.

Pamoja na yote kuna kitu cha kujiuliza na ambacho Dr. Mwinyi amekiweka wazi kuwa, Rais wa jamuhuri ya muungano wa Tanzania Mama Samia yupo karibu sana naye hasa katika uongozi wake na mustakabali wa Zanzibar na wanawasiliana kila wakati kupeana updates.
Mwendazake alisema mtamkumbuka, unadhani angekuwa mwendazake haya yangetokea? kakaa mzee Shein miaka kumi ,haya hayajawahi kutokea mwaka mmoja tu kelele kama loote, halafu huku tunakabana na walalahoi kwenye tozo zetu.
 
Mwendazake alisema mtamkumbuka, unadhani angekuwa mwendazake haya yangetokea? kakaa mzee Shein miaka kumi ,haya hayajawahi kutokea mwaka mmoja tu kelele kama loote, halafu huku tunakabana na walalahoi kwenye tozo zetu.
You've a point mfia nchi!, Nilimuona kwenye TV mzee Jakaya.
 
Kuna kitu naona Dr. Mwinyi anafanya ni kama anafuata nyayo za the Legendary kubuni miradi mikubwa ambayo itatumia pesa nyingi, japo pesa ni za mkopo wa WB, IFM na za Covid.

Kwa miradi hiyo wale wananchi pendwa lazima wampende maana miradi inawagusa moja kwa moja ilihali matajiri hawawezi kumpenda.

Kutokana na hilo, usije kushangaa wanaofaidi keki ya taifa kupitia awamu hii wakawatumia wananchi flani kuanza kupeperusha mabango ya mitano tena!.
Kwanini anataka kubadili katiba ya Zanzibar ili aweke sheria kandamizi kama za Jiwe ? kama huna taarifa basi chukua hiyo
 
Hussein Mwinyi kwa wale wanaomjua ni mfanyabiashara first and foremost ; siasa kwake ni chombo cha kufanikisha malengo yake!! Business interests zake zinaangaliwa na mdogo wake Abdallah Mwinyi; kama vile kule Kenya Muhoho anavyoangalia business interests za rais Uhuru Kenyatta na huko Zanzibar ni hivyo hivyo!!
Watu mbona mnajua makubwa sana
 
Mwinyi ameshafail tayari, mwaka umekatika hana lolote alilolianzisha ambalo linaleta tamaa ya matumaini, anajisifia Amani na utalivu typical ccm.
Mkuuu si juz kafungua Hotel ya blue cjui kasema maaan mie namuona kma kavimba mashavu tu
 
Kwanini anataka kubadili katiba ya Zanzibar ili aweke sheria kandamizi kama za Jiwe ? kama huna taarifa basi chukua hiyo
Mkuu umeniuliza na ukanipa hit by the point view, ahahahaa.

Kweli sina taarifa kama anataka kubadili katiba but sidhani kama itawezekana.
 
Akipewa ushirikiano wa dhati na viongozi wenzake pamoja na wananchi kwa ujumla ataipeleka Zanzibar mbele kiuchumi kupitia uwekezaji wenye tija.
 
Mwinyi ni kibaraka wa uvamizi uitwao muungano. Hawezi kufanya chochote zaidi ya kutekeleza maagizo ya waTanganyika waliomweka madarakani kwa kutoa roho za watu Na kumwaga damu. CCM mwisho wao ni mbaya sana. Allah atupe uhai.
Nyie watu ridhikeni na mema ya hii nchi Jitihada zote anazofanya Mwinyi mnataka afanye nini zaidi ya hayo kama kiongozi wa SMZ.
 
Kwenye hotel ya Golden Tulip mjini Zanzibar kuna hafla kubwa ya kusherekea mwaka mmoja wa nafasi ya urais wa Dr. Hussein Ali Hassan Mwinyi.


Hafla hii imejumuisha viongozi wakuu wa kitaifa, wastaafu na wengine wengi wakiwepo wananchi mbalimbali, baadhi na kwa uchache Rais mstaafu Jakaya Kikwete, makamu wa kwanza wa rais wa jamuhuri ya muungano wa Tanzania dkt Bilal nk.

Barabarani ni mabango na matangazo ya kutosha ya live kuelezea uwepo wa tukio hilo.

Ingawa si jambo la kushangaza viongozi wa Zanzibar kufanya jambo kama sababu lilishawahi kufanywa huko nyuma ila kinachowashangaza baadhi ya watu ni ile kauli ya mh. Mwinyi kujipambanua kwa kubana matumizi.

Mabango na dhifa kubwa kama hiyo ni kwa muktadha upi ambao umeonyesha umuhimu kuandaliwa hata kama si pesa ya serikali?.

Pamoja na yote kuna kitu cha kujiuliza na ambacho Dr. Mwinyi amekiweka wazi kuwa, Rais wa jamuhuri ya muungano wa Tanzania Mama Samia yupo karibu sana naye hasa katika uongozi wake na mustakabali wa Zanzibar na wanawasiliana kila wakati kupeana updates.
Madam President ni Mzanzibari, kwa hiyo katika muhula wake wa uongozi ni lazima ahakikishe Zanzibar inafaidika kimkakati kutokana na yeye kuwa ndiye kiongozi mkuu wa nchi. Kama mtangulizi wake aliipendelea Chato ni kwa nini naye ashindwe kufanye hivyo!?

Kitu pekee anachopaswa kufanya ni kupeleka miradi ya maendeleo kwa uwiano ulio sawa kutokana na idadi ya mikoa na wala siyo idadi ya watu. Kwa kuwa idadi ya watu waliopo katika mikoa ya Tanzania Bara ni kubwa zaidi kwa kulinganisha na ile ya Tanzania Visiwani.

Kwa hiyo basi njia pekee ni kama vile ambavyo ameanza kufanya kwa kununua na kuvigawa vifaa vya "CT Scan" kwa mikoa yote Bara na Visiwani pasipo kujali idadi ya wakazi, ndivyo pia anapaswa kufanya kwa kugawa vitu kama "ambulances", ujenzi wa madarasa, vituo vya afya, n.k.

Lazima atambue katika mikopo na misaada mingi ambayo Tanzania iliipata, mingi iliifaidisha Tanzania Bara. Ni lazima ahakikishe miundombinu bora inaonekana katika Zanzibar mpya yenye muonekano wa kisasa, ajenge uwanja wa michezo wa kisasa, madaraja ya juu yaani "interchange" pamoja barabara za lami zenye hadhi ya njia sita.

Anaweza pia kufungua "zoo" kubwa sana ili kuvutia zaidi watalii. Wakiupiga mwingi pamoja na Mwinyi Jr mbona wataitoa Zanzibar kimasomaso.

Sent from my Nokia 2.3 using JamiiForums mobile app
 
Nyie watu ridhikeni na mema ya hii nchi Jitihada zote anazofanya Mwinyi mnataka afanye nini zaidi ya hayo kama kiongozi wa SMZ.

Jee wewe unaridhika kuona tunakwendea magongo Na kaka yetu aliyeuliwa tunawalea watoto wake aliowawacha


Jee anaweza kuzirudisha zile Roho Za watu aliowauwa ili kuwekwa yeye madarakani?
Kama hawezi msaidie kwa hilo kwanza?
Na wale watu waliotiwa vilema Na wengine wanaotembea Na risasi mwilini mpaka Leo ,jee vipi unamshauri nini?
 
Madam President ni Mzanzibari, kwa hiyo katika muhula wake wa uongozi ni lazima ahakikishe Zanzibar inafaidika kimkakati kutokana na yeye kuwa ndiye kiongozi mkuu wa nchi. Kama mtangulizi wake aliipendelea Chato ni kwa nini naye ashindwe kufanye hivyo!?

Kitu pekee anachopaswa kufanya ni kupeleka miradi ya maendeleo kwa uwiano ulio sawa kutokana na idadi ya mikoa na wala siyo idadi ya watu. Kwa kuwa idadi ya watu waliopo katika mikoa ya Tanzania Bara ni kubwa zaidi kwa kulinganisha na ile ya Tanzania Visiwani.

Kwa hiyo basi njia pekee ni kama vile ambavyo ameanza kufanya kwa kununua na kuvigawa vifaa vya "CT Scan" kwa mikoa yote Bara na Visiwani pasipo kujali idadi ya wakazi, ndivyo pia anapaswa kufanya kwa kugawa vitu kama "ambulances", ujenzi wa madarasa, vituo vya afya, n.k.

Lazima atambue katika mikopo na misaada mingi ambayo Tanzania iliipata, mingi iliifaidisha Tanzania Bara. Ni lazima ahakikishe miundombinu bora inaonekana katika Zanzibar mpya yenye muonekano wa kisasa, ajenge uwanja wa michezo wa kisasa, madaraja ya juu yaani "interchange" pamoja barabara za lami zenye hadhi ya njia sita.

Anaweza pia kufungua "zoo" kubwa sana ili kuvutia zaidi watalii. Wakiupiga mwingi pamoja na Mwinyi Jr mbona wataitoa Zanzibar kimasomaso.
Kinachonifurahisha wazanzibari wenyewe wanasema "Sisi ndiyo tunanufaika zaidi na huu muungano kuliko wabara" why, sababu wao hawana mzigo mzito wa kuwasumbua.

Mfano mmojawapo niliopewa ni mikopo mikubwa, serikali ya muungano inakopa wao wanakatiwa chao na kufanya yao. Juzi bimkubwa kapewa za Covid na Zanzibar wamepewa mgao wa 200b.

Yapo mengi ila pamoja na kubebana kwa msingi wa Rais katoka unguja wao hawapotezi kitu ninyi bara ndiyo wanapoteza.

👉🏾HATARI: Issue ya kuanzisha zoo Zanzibar hii inawezekana BUT nasema hapana haiwezekani nitasimama kidete kupinga huo wizi kwa kigezo chochote kile.
 
Kinachonifurahisha wazanzibari wenyewe wanasema "Sisi ndiyo tunanufaika zaidi na huu muungano kuliko wabara" why, sababu wao hawana mzigo mzito wa kuwasumbua.

Mfano mmojawapo niliopewa ni mikopo mikubwa, serikali ya muungano inakopa wao wanakatiwa chao na kufanya yao. Juzi bimkubwa kapewa za Covid na Zanzibar wamepewa 200b.

Yapo mengi ila pamoja na kubebana kwa msingi wa Rais katoka unguja wao hawapotezi kitu nini bara ndiyo wanapoteza.

👉🏾HATARI: Issue ya kuanzisha zoo Zanzibar hii inawezekana BUT naswma hapana haiwezekani nitasa kidete kupinga huo wizi kwa kigezo chochote kile.

Ni kweli tunanufaika kwani kila baada miaka 5 ,tunamwagiwa majeshi Na mwaka jana tumeletewa mpaka majeshi ya Burundi. Ni raha Tu wengine tunauliwa , wengine tuko vilema, Dada zetu wananajisiwa, almuradi tunafaidi Tu matunda ya Uvamizi
 
Back
Top Bottom