Mwaka mmoja umetueleza mengi

Melo yupo ndani huko, utakuta wanamuuliza huyu fungua taarifa zake hapa tuzione yupo wapi Na anatumia kifaa gn?
The hell Tz.
Nyani ngabu this Tz nowdays is mmmh
 
Unapotosha umma..una uhakika pogba hajawahi funga goli tangu asajiliwe na Man U??

JE unajua kuwa goli alilofunga pogba dhidi ya Swansea ndio goli bora mwezi Old trafford... kama hauna fact bora ukae kimya..Idiot
Kwani we ni shabiki wa Pogba?ile hela alonunuliwa ilikuwa thamani Griezman lowasa sio yeye
 
Usiposhtuka Afrika Unaweza Ukazikwa Ukiwa Hai ..

Amka Kijana
Hakuna Mapinduzu Bila Mabadiliko
Hakuna Mabadiliko Bila Mapinduzi
Amka Kijana
 
Naona utawala huu unaongeza chuki kada baada ya kada, tunakoendea huyu Mh atakua anaomba kupigiwa makofi kwa lazima.!
Badala ya kugombana na mafisadi tumpiganie hata kwa damu then anakuja na ukuda kama huu.
 
Huu mwaka mmoja tokea awe madarakani umetuonyesha mengi na sasa tunaweza walau hata kuanza kuhitimisha kuwa kumbe wala hayuko tofauti kivile na wengine na huenda akawa ni bomu kabisa kuliko wote waliomtangulia.

Aliingia kwa mikwara ya kufa mtu. Akafutilia mbali sherehe za uhuru [2015] katika lengo la kuheshimu vipaumbele.

Sherehe za muungano [2016] nazo zikafutwa na pesa ambazo zingetumika kwenye hizo sherehe akaagiza ziende kwenye upanuzi wa barabara ya uwanja wa ndege wa Mwanza.

Pia akabana safari za kipuuzi puuzi za kwenda nchi za nje za watumishi wa umma.

Yote hayo pamoja na jitihada za kupambana na ufisadi yalikuwa ni nuru njema kwa wengi. Baadhi yetu tukadhani labda kweli tupo kwenye zama mpya...lakini wengine tukajipa muda maana muda huonyesha mengi.

Juzi sherehe za uhuru zikafanyika. Maajabu! Manake mwaka jana hakukuwa na sababu ya kusherehekea kwa sherehe kubwa kwa ajili ya gharama kuwa juu lakini mwaka sijui hakukuwa na hizo gharama...

Na sijui hizo za muungano nazo zitafanyika hapo mwakani baada ya kutofanyika mwaka huu?

Sasa leo yamekuja haya ya kufanyia mikutano ya CCM ikulu.

Tafadhali sana MTUKUFU rais....like....seriously? Kwa nini msifanyie hayo mamikutano yenu huko Lumumba?

Wahshi kabisa....you will go down as the worst president in the history of our existence...past...present...and future!

Mikwara yote ile kumbe hamna lolote...bora hata gesi ya CocaCola.

NB: Pia iliwahi kuripotiwa kuwa angetuonyesha pay stubs za mshahara wake. Kumbe ilikuwa ni uongo tu. Mpaka leo hamna kitu na hakuna anayejali [ukiacha mimi labda].
Certainly the worst president of all time. I agree with u
 
Ngosha taratibu, sitaki nikukose ujue...

Mtukufu wetu hapendi kukosolewa zaidi ya nyimbo na mapambio ya kumsifu

Ashasema hajaribiwi ujue... Ohoo
Anapenda kukosolewa kwa heshima. Kejeli, matusi, dharau, na mengine kama hayo lazima ujiandae kushitakiwa!!
 
Lazima tuelewane juu ya maana ya neno Ikulu. Baada ya hapo ndipo tuone kama kuna kosa kwa chochote kinachofanywa huko Ikulu.
 
Angalieni musimkasirishe mapema isije ikawa ndo sababu ya kukosa zile mil 50 kwa kila kijiji/mtaa.
Na ukizingatia za maafa zimelambwa sipati picha aisee.
 
Kumbe wapinzani mnajijua kuwa ni watetea mafisadi?


Safi sana Nyumbu, huo ndio ukweli Mbowe anawachosha tu alishauza chama zamani
 
nchi yetu bado sana. Mayor ya New York alikataliwwa kuishi na mchumba wake waliyeishi miaka mingi kwenye nyumba ya serikali. huku vikao vya chama wanafanyia Ikulu?.
 
Kuna member mmoja humu alisema jana matokeo ya kura za urais yahesabiwe na kutangazwa vituoni kama gambia. Hicho ndio kimemkwaza John anataka jf ifungwe ili arudie u-jecha.
 
.....katika hili hata mimi najali sana na si ajabu ndiyo maana JF inalazimishwa ku - disclose infos zetu ni tujikute tu maiti kwenye viroba + jiwe zito na kutupiwa mto Ruvu!!

.....huu wa awamu ya 5 naona imekuja na staili ya ua, funga ktk viroba + mawe kisha tupia mtoni waliwe na mamba badala ya Msitu wa Mabwepande!!

.....hawana tofauti hawa, ni walewale na ni ileile lakini kwa mtindo tofauti kwa malengo yaleyale na kwa matokeo yaleyale ya Tu - Chukue Chetu Mapema!!
hatari sana
 
..what if mkulu hakuwa na nia mbaya?

..yaani anaona kikao cha ccm-nec ikulu ni sawa na kikao cha kikwete na cdm kuzungumzia mkwamo wa katiba mpya kilichofanyika ikulu.

NB.

..mimi wasiwasi wangu uko kwa Ben Saanane.

..pia nilichukizwa na walichomfanyia Alphonce Mawazo. Na zaidi walivyoinyanyasa familia yake. Hata kutoa pole hawakujali.

Cc MTAZAMO, Kitaturu, Nyani Ngabu
 
Back
Top Bottom