Mwaka mmoja umetueleza mengi

Mwaka mmoja umetueleza mengi

Huu mwaka mmoja tokea awe madarakani umetuonyesha mengi na sasa tunaweza walau hata kuanza kuhitimisha kuwa kumbe wala hayuko tofauti kivile na wengine na huenda akawa ni bomu kabisa kuliko wote waliomtangulia.

Aliingia kwa mikwara ya kufa mtu. Akafutilia mbali sherehe za uhuru [2015] katika lengo la kuheshimu vipaumbele.

Sherehe za muungano [2016] nazo zikafutwa na pesa ambazo zingegharamia akaagiza ziende kwenye upanuzi wa barabara ya uwanja wa ndege wa Mwanza.

Pia akabana safari za kipuuzi puuzi za kwenda nchi za nje za watumishi wa umma.

Yote hayo pamoja na jitihada za kupambana na ufisadi yalikuwa ni nuru njema kwa wengi. Baadhi yetu tukadhani labda kweli tupo kwenye zama mpya...lakini wengine tukajipa muda maana muda huonyesha mengi.

Juzi sherehe za uhuru zikafanyika. Maajabu! Manake mwaka jana hakukuwa na sababu ya kusherehekea kwa sherehe kubwa kwa ajili ya gharama lakini mwaka sijui hakukuwa na hizo gharama...

Na sijui hizo za muungano nazo zitafanyika hapo mwakani baada ya kutofanyika mwaka huu?

Sasa leo yamekuja haya ya kufanyia mikutano ya CCM ikulu.

Tafadhali sana MTUKUFU rais....like....seriously? Kwa nini msifanyie hayo mamikutano yenu huko Lumumba?

Wahshi kabisa....you will go down as the worst president in the history of our existence...past...present...and future!

Mikwara yote ile kumbe hamna lolote...bora hata gesi ya CocaCola.

Mtukufu yule wa kampeni, na yule wa miezi ya mwanzo magogoni, sio huyo wa sasa! Nahisi kuna kitu kafanyiwa au kaoneshwa kikamtisha!
 
Yes,

Hawa mambo yao ya ki CHADEMA walikuwa wanatakiwa wakafanyie Ufipa.

http://...xc5V8RqDfpSpVlnWdjCqNy0g/zhObwMJgxpNKlSobCP/Z http://...xc5V8RqDfpSpVlnWdjCqNy0g/zhObwMJgxpNKlSobCP/Z
CDM5.jpg

Hicho ni kikao cha kamati ya CHADEMA?
 
Muda ni hakimu mzuri sana, na huongea kuliko chochote.
kweli kabisa.......ni muda ndio umetuambia kwamba ile mikwara ya kubeza sherehe za uhuru mwaka jana ilikuwa mbwembwe tu,mwaka huu zimefanyika,na mwakani za muungano zitafanyika,safari za nje zimeanza,semina kibao
 
Hii thread inafaa iwe dedication kwa Founder wa JF huko aliko na ajue watu bado wako ngangari.
 
Mtukufu yule wa kampeni, na yule wa miezi ya mwanzo magogoni, sio huyo wa sasa! Nahisi kuna kitu kafanyiwa au kaoneshwa kikamtisha!
inawezekana makaburi mengine ameyaona na waliozikwa humo wanamwambia "mzee na wewe umo"
 
kweli kabisa.......ni muda ndio umetuambia kwamba ile mikwara ya kubeza sherehe za uhuru mwaka jana ilikuwa mbwembwe tu,mwaka huu zimefanyika,na mwakani za muungano zitafanyika,safari za nje zimeanza,semina kibao

Ongezea hapo na vikao vya CCM kufanyikia ikulu.

Bure kabisa huyo jamaa.
 
Ila huyu jamaa sijawahi mkubali toka kaanza gombea
 
Nadhani sasa hata ule moyo mods waliokuwa nao kujaribu kuondoa baadhi ya post zilizokuwa against na mkuu sasa umekwisha na wataacha watu wafungeke wanavyotaka.

Yaani sasa kama mbwai na iwe mbwai.
 
Huu mwaka mmoja tokea awe madarakani umetuonyesha mengi na sasa tunaweza walau hata kuanza kuhitimisha kuwa kumbe wala hayuko tofauti kivile na wengine na huenda akawa ni bomu kabisa kuliko wote waliomtangulia.

Aliingia kwa mikwara ya kufa mtu. Akafutilia mbali sherehe za uhuru [2015] katika lengo la kuheshimu vipaumbele.

Sherehe za muungano [2016] nazo zikafutwa na pesa ambazo zingetumika kwenye hizo sherehe akaagiza ziende kwenye upanuzi wa barabara ya uwanja wa ndege wa Mwanza.

Pia akabana safari za kipuuzi puuzi za kwenda nchi za nje za watumishi wa umma.

Yote hayo pamoja na jitihada za kupambana na ufisadi yalikuwa ni nuru njema kwa wengi. Baadhi yetu tukadhani labda kweli tupo kwenye zama mpya...lakini wengine tukajipa muda maana muda huonyesha mengi.

Juzi sherehe za uhuru zikafanyika. Maajabu! Manake mwaka jana hakukuwa na sababu ya kusherehekea kwa sherehe kubwa kwa ajili ya gharama kuwa juu lakini mwaka sijui hakukuwa na hizo gharama...

Na sijui hizo za muungano nazo zitafanyika hapo mwakani baada ya kutofanyika mwaka huu?

Sasa leo yamekuja haya ya kufanyia mikutano ya CCM ikulu.

Tafadhali sana MTUKUFU rais....like....seriously? Kwa nini msifanyie hayo mamikutano yenu huko Lumumba?

Wahshi kabisa....you will go down as the worst president in the history of our existence...past...present...and future!

Mikwara yote ile kumbe hamna lolote...bora hata gesi ya CocaCola.

NB: Pia iliwahi kuripotiwa kuwa angetuonyesha pay stubs za mshahara wake. Kumbe ilikuwa ni uongo tu. Mpaka leo hamna kitu na hakuna anayejali [ukiacha mimi labda].
chief, ulikuwa upo usingizini tangu 25 October 2015, ama?
 
Nadhani sasa hata ule moyo mods waliokuwa nao kujaribu kuondoa baadhi ya post zilizokuwa against na mkuu sasa umekwisha na wataacha watu wafungeke wanavyotaka.

Yaani sasa kama mbwai na iwe mbwai.
hapo sasa!
 
Kitendo cha kufanyia mikutano ya chama Ikulu hakina budi kupingwa na wale wote wanaoitakia Tanzania mema. Haya ni matumizi mabaya ya hela za walipa kodi ambao wengine sio wanachama wa CCM. Pia kitendo hiki kinaweza kuleta mgogoro wa kimaslahi kwa viongozi wa chama na serikali.
 
Back
Top Bottom