Mwaka mmoja ndani ya Merigos Fleury Prison

Mwaka mmoja ndani ya Merigos Fleury Prison

Endeleza uliposhuka pale Airport Bongo nini kiliendelea
Ilikuwa ni vurugu tupu mkuu..
Kama nisingekuwa smart basi ningesumbuliwa Sana.

Baada ya watu wa usalama kukabidhiwa passport yangu kutoka kwa pilot wa ndege iliyonileta,

Jamaa wakasema tufate,, nikawafata walipo,,baadae wakaniuliza,
-kwann umerudishwa?
-Na unatokea wp?
Nikawajibu France.

Wakasema umekaa muda gn kizuizini?

Nikawaambiya mwaka mzima.

Wakauliza kwa mm umekaa muda mrefu?

Nikawajibu niligoma kusign karatasi ya kurudi nyumbani,,
Ndy wakaniweka sn kizuizini.

Wakauliza hukufungwa?
Nikawambiya mm sijawahi kufungwa,,Bali niliwekwa kizuizini kwa passport case.

Niliamua kudanganya ili yasiwe makubwa..
Nawajuwa wabongo hatuna dogo.

Jamaa wakasema wewe una kesi kesi ya kujibu.
Nikawaambiya kesi gani tena?

Jamaa wakasema ulipokuwa gerezani unalishwa na kulala kwa gharama za France .

Baadae bili za gharama ulizotumia gerezani zinarudi kwa serikali ya Tanzania..
Gharama zinapelekwa ubalozi wa Tanzania France hivyo unapaswa ujiandae kulipa gharama.
Dah!!!!
Nilichoka kabisa.
Wakasema ticket umegharamiwa na Nani?
Nikawambiya ni serikali ya France imenigharamia.

Jamaa wakasema lazima nilipe gharama zote nilizotumia gherezani.

Jamaa walinishangaza sn..
Mm nilipinga yote hayo,,nikasema France wamesema sina cha chochote cha kulipa wala Mambo yangu na wao serikali ya Tanzania hayawahusu.
Nilishamalizana nao that time when the plane take off.

Na mm sio muhalifu Bali nili over stay muda wa kuishi ulaya nikawa kizuizini kurudishwa home

Nimekaa zaidi ya mwaka baada ya kukataa kusign karatasi ya kurudi nyumbani..
Over stay not a crime ni passport case.
Wakati huo sina karatasi hata moja inayonieleza natoka jela.
Nishatupa kila kitu nilipokuwa transit adis Ababa.

Jamaa wa usalama nikawazidi points wakanikabidhi kwa migration.

Hapo napo niliwekwa kizuizini kwa masaa kwa mahojiano.

Also there was a story to tell...
 
Ilikuwa ni vurugu tupu mkuu..
Kama nisingekuwa smart basi ningesumbuliwa Sana.

Baada ya watu wa usalama kukabidhiwa passport yangu kutoka kwa pilot wa ndege iliyonileta,

Jamaa wakasema tufate,, nikawafata walipo,,baadae wakaniuliza,
-kwann umerudishwa?
-Na unatokea wp?
Nikawajibu France.

Wakasema umekaa muda gn kizuizini?

Nikawaambiya mwaka mzima.

Wakauliza kwa mm umekaa muda mrefu?

Nikawajibu niligoma kusign karatasi ya kurudi nyumbani,,
Ndy wakaniweka sn kizuizini.

Wakauliza hukufungwa?
Nikawambiya mm sijawahi kufungwa,,Bali niliwekwa kizuizini kwa passport case.

Niliamua kudanganya ili yasiwe makubwa..
Nawajuwa wabongo hatuna dogo.

Jamaa wakasema wewe una kesi kesi ya kujibu.
Nikawaambiya kesi gani tena?

Jamaa wakasema ulipokuwa gerezani unalishwa na kulala kwa gharama za France .

Baadae bili za gharama ulizotumia gerezani zinarudi kwa serikali ya Tanzania..
Gharama zinapelekwa ubalozi wa Tanzania France hivyo unapaswa ujiandae kulipa gharama.
Dah!!!!
Nilichoka kabisa.
Wakasema ticket umegharamiwa na Nani?
Nikawambiya ni serikali ya France imenigharamia.

Jamaa wakasema lazima nilipe gharama zote nilizotumia gherezani.

Jamaa walinishangaza sn..
Mm nilipinga yote hayo,,nikasema France wamesema sina cha chochote cha kulipa wala Mambo yangu na wao serikali ya Tanzania hayawahusu.
Nilishamalizana nao that time when the plane take off.

Na mm sio muhalifu Bali nili over stay muda wa kuishi ulaya nikawa kizuizini kurudishwa home

Nimekaa zaidi ya mwaka baada ya kukataa kusign karatasi ya kurudi nyumbani..
Over stay not a crime ni passport case.
Wakati huo sina karatasi hata moja inayonieleza natoka jela.
Nishatupa kila kitu nilipokuwa transit adis Ababa.

Jamaa wa usalama nikawazidi points wakanikabidhi kwa migration.

Hapo napo niliwekwa kizuizini kwa masaa kwa mahojiano.

Also there was a story to tell...
Dah pole sana mwamba, hapo kwa wazee wa kupenda dola mia mia ikawaje tena?
 
Dah pole sana mwamba, hapo kwa wazee wa kupenda dola mia mia ikawaje tena?
Passport yangu haikuwa na shida yeyote.
Wala haikuwa na mashaka yeyote maana ilikuwa na viza ya ulaya.

Kwa muda wa masaa niliowekwa kwenye mahojiano na migration,

Nilipotoka hapakuwa na yeyote wa kunizuia.

Labda nikwambiye kitu.
Police wa airport always wanajazana pale kulingana na ndege zinazoingia.na kutoka.

Zipo ndege maalum zikituwa ni lazima police wa anti-drugs wawepo pale,,
Na zipo ndege zikituwa pale hao police hawatakuwa busy sn na wewe...

Na hata Kama wakiwepo,,hapo sasa ni wewe mwenyewe na kujichanganya kwako.
 
Passport yangu haikuwa na shida yeyote.
Wala haikuwa na mashaka yeyote maana ilikuwa na viza ya ulaya.

Kwa muda wa masaa niliowekwa kwenye mahojiano na migration,

Nilipotoka hapakuwa na yeyote wa kunizuia.

Labda nikwambiye kitu.
Police wa airport always wanajazana pale kulingana na ndege zinazoingia.na kutoka.

Zipo ndege maalum zikituwa ni lazima police wa anti-drugs wawepo pale,,
Na zipo ndege zikituwa pale hao police hawatakuwa busy sn na wewe...

Na hata Kama wakiwepo,,hapo sasa ni wewe mwenyewe na kujichanganya kwako.
unahatarii mwamba nakupa big up
 
Mkuu nipe connection nikafungwe uko France na Mimi nipigie izo euro 100 kwa mwezi ..mwaka tu narud bongo na mtsji wa kutosha
 
Mkuu nipe connection nikafungwe uko France na Mimi nipigie izo euro 100 kwa mwezi ..mwaka tu narud bongo na mtsji wa kutosha
Nakushauri fanya ufanyavyo ukafungwe uswis.
Kila mfungwa anawekewa euros 300 kwa mwezi za kujikimu maisha ya jela.
Iwe unafanya kazi au hufanyi.,,na kama unafanya kazi utalipwa kivyake za kazi + 300 euros za kujikimu.
Lakini hizo 300 euros ni lazima kwa kila mfungwa kulipwa ktk kujikimu na maisha ya jela.
 
Nakushauri fanya ufanyavyo ukafungwe uswis.
Kila mfungwa anawekewa euros 300 kwa mwezi za kujikimu maisha ya jela.
Iwe unafanya kazi au hufanyi.,,na kama unafanya kazi utalipwa kivyake za kazi + 300 euros za kujikimu.
Lakini hizo 300 euros ni lazima kwa kila mfungwa kulipwa ktk kujikimu na maisha ya jela.
Unafanya matumiz ukiwa jela???


Hizo kazi unaajiriwa ukiwa jela???
 
Nakushauri fanya ufanyavyo ukafungwe uswis.
Kila mfungwa anawekewa euros 300 kwa mwezi za kujikimu maisha ya jela.
Iwe unafanya kazi au hufanyi.,,na kama unafanya kazi utalipwa kivyake za kazi + 300 euros za kujikimu.
Lakini hizo 300 euros ni lazima kwa kila mfungwa kulipwa ktk kujikimu na maisha ya jela.
Bongo euro 300 ndio mshahara wa bwana jela.
Boss kubwa ya gereza.
 
Back
Top Bottom