majigambo yako wapi hapoKwa majigambo hayo basi sisi tunakuombea ila ogopa tukikazana na maombi kumbe mnapotezeana mda
wacha kucomplicate mambo basiUnajulikaana nyumban kwamba unakula nini???
Mtu ambae atakua mke wako unam refer kihuni hivyo
Mkuu umenifurahisha ulivyosema tukuombee kama tunavyomwombea BWANA YULE, Anyway ni uamuzi wa busara OA uachane na mambo ya uzinzi nasi bila hiana tutakuombea. Pia utupe mrejesho utakapo oa tujui kama sala zetu zimekusaidia au lawell japokuwa mimi na MMU sio sana mara zote nakuwaga jukwaa la siasa lakini leo sio mbaya tukashare kile kilichopo moyoni,
baada ya kutokuwa kwenye mahusiano tangu 2012 hatimaye mwaka 2016 katika pitapita zangu bara na visiwani mijini na vijijini nikabahatika kukutana na dada mrembo, mwenye muonekano wa kisomali kidogo lakini ni mchaga wa marangu mtoni ,mtoto mweupe hatari. sasa hapa tulipo penzi ni motomoto na Aika wangu.
mimi na mwenzangu tumeplan mwaka huu tuanze process zote zitakazo tupelekea kwenye ndoa japokuwa tayari nyumbani kwa bibie najulikana kama mimi ndio nakula mzigo.bahati nzuri zaidi mimi na bibie wangu wote ni wakatoliki. hivyo chondechonde wanajf na mimi mniombee kama mnavyomuombeaga magufuli niweze kufanikisha jambo hili la heri
i only promise her happy lifeHayqa hayaa hatimae umeondoka na dadaang falcom sasa umekua shem please usiende kumtesa dadaang huyo
Mungu awabarki na furaha kubwa sana kwny ndoa
Nsikosetu cad please nasubir tu kad ya harus hapa na n shela tenaa walaaaa naisubir mkuuuu
Nb na mm huku mambo n kama yanaenda yakinyoooka
Napanga kuondoka na mkiss,ama mkamba
Maombi yako pia n muhimu
ya mkuu namuonea wivu mnavyomuombeagaMkuu umenifurahisha ulivyosema tukuombee kama tunavyomwombea BWANA YULE, Anyway ni uamuzi wa busara OA uachane na mambo ya uzinzi nasi bila hiana tutakuombea. Pia utupe mrejesho utakapo oa tujui kama sala zetu zimekusaidia au la
Hakuna kitu kama hicho, maisha ya ndoa kama yalivyo maisha ya kawaida hayana furaha tu, so don't promise what you can't really offer. Kuna furaha, huzuni, kulia, kucheka,......etc.i only promise her happy life