falcon mombasa
JF-Expert Member
- Mar 5, 2015
- 9,213
- 9,334
- Thread starter
- #41
hivi kumbe we ni mdada basi siku zote najuaga na jembejamani unanionea, hivi kwanini hunipendagi?
jaribu kunipenda km nafsi yako na Mungu atakupenda zaidi
hivi kumbe we ni mdada basi siku zote najuaga na jembejamani unanionea, hivi kwanini hunipendagi?
jaribu kunipenda km nafsi yako na Mungu atakupenda zaidi
michango mambo ya kizamani hayo lazima twende kisasaKila la kheri. Tunakuombea upate mke mwema... Chonde chonde, kwenye michango ya arusi tusionane wabaya, hali ya kipesa ni ngumu... Ila urafiki wetu udumu kama timu kali zaidi ya ndimu...
hatimaye nimekutwa na bwana Pepsihivi kumbe we ni mdada basi siku zote najuaga na jembe
atakuwa ndio yeyeUsije kuoa demu wangu
basi ningeanza kukumendeaga kitambohatimaye nimekutwa na bwana Pepsi
uchune
wako ndo huyo Aikabasi ningeanza kukumendeaga kitambo
ameenMungu awajalie mfanikishe matarajio yenu.
shetani wapi ametajwaSizana kama kuna MTU atakuombea sababu umetaja jina LA shetani mweusi...eti anaombewa labda kwa ubaya.
??????????Wewe ni nani anaekulaga 'mzigo' mkuu?
Nipe jibu ili sikukuu yangu iende vizuri buana!??????????


kwani kujenga ndio nini?Ushajenga?
thank u very much bro, welcomeAll the best dearest brother God is upon you to accomplish your mission
Hopefully things gonna be well![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
HahahahaAika huyu huyu? hebu ngoja nimpigie asiniletee utani