Mwaka huu natamani kuoa

Mwaka huu natamani kuoa

Mungu Muumba mbingu na dunia na vyote vilivyomo

akutangulie, akusimamie na akulinde na mabaya yote

akujalie hekima, busara na maarifa ktk mahusiano yenu (ndoa tarajiwa)

akubariki na uzao wako, uishi maisha marefu hata uje uwaone watoto wa watoto wako
amina mkuu nitakupa kadi ya mualiko
 
Jambo la ndoa ni jambo jema, Mungu akujalie na akupe ujasiri huo .
nakushauri,
1.usiwape nafasi waseja/WASIOPENDA NDOA KUKUSHAURI-watakupotosha
2.wasikilize WALIO KATIKA ndio
3.usianze kufikiria matatizo ya ndoa BALI mafanikio ya ndoa. (Matatizo ni jambo la kawaida)
4.usianze KUTAFUTA mchumba wako alikuwa na nani ,hii itaanza kukupa FIKRA mbaya BALI FIKIRIA MAAMUZI yake ya sasa.
5.Usifuate TABIA za wadada wengine hapa mjini ukadhania na wako atakuwa hivyo
6.Amua bila kujali MATOKEO YA ndoa yako (jiulize ,kaka baba yako angeanza kufikiria MATOKEO YA ndoa kwa negativity, usingepatikana)
KARIBU ktk ndoa ,karibu ktk ustaarabu ,karibu ktk jumba la FURAHA!
ubarikiwe sana mkuu
 
amina mkuu nitakupa kadi ya mualiko
sawa mkuu,

wakati mwingine omba kulingana na mahitaji yako na si km fulani

yale yale ya kuomba Mungu akupe Mume/Mke wa kufanana nae ili hali wewe mwenyewe una tabia tabia fulani

sasa unapomwambia Mungu akupe wakufanana na vijatabia vyako vya kichoyo, ulevi nk, humo ndani patakalika kweli?
 
sawa mkuu,

wakati mwingine omba kulingana na mahitaji yako na si km fulani

yale yale ya kuomba Mungu akupe Mume/Mke wa kufanana nae ili hali wewe mwenyewe una tabia tabia fulani

sasa unapomwambia Mungu akupe wakufanana na vijatabia vyako vya kichoyo, ulevi nk, humo ndani patakalika kweli?
vitabia vya kuponda ccm hehehe
 
Kila la kheri. Tunakuombea upate mke mwema... Chonde chonde, kwenye michango ya arusi tusionane wabaya, hali ya kipesa ni ngumu... Ila urafiki wetu udumu kama timu kali zaidi ya ndimu...
 
Hivi kumbe we mwanamke ni mchokozi hivi, nilidhani ccm ndio unawachokoza tu, kumbe hata huku....
....heri ya mwaka mpya!!
jamani unanionea, hivi kwanini hunipendagi?

jaribu kunipenda km nafsi yako na Mungu atakupenda zaidi
 
Hata ya kwaito nnayosijui lini ntacheza yangu
hehehehe we queen unanichekesha, ila hap ndio nawaza na aibu nilizo nazo halafu niambiwe nimkisss baby wangu mbele ya wakwe mara bwana harusi na bibi harusi nendeni mkacheze blues.... loooh
 
Back
Top Bottom