Ikiwa jambo rahisi kama kuokota hela linahitaji chanzo (pengine mtu aidondoshe) na jambo complex zaidi kama ulimwengu ndiyo linahitaji chanzo almost infinitely more so, then utakuwa unasema kwamba complexity does not happen on its own. It has to be created.
Sawa?
Ukishasema kwamba complexity does not happen on it's own, and the more complex something is the more reason that it has to be created, then it follows kwamba mungu muumba ulimwengu ni complex kuliko ulimwengu aliouumba na definitely complex kuliko noti na shilingi 500 na mwanadamu.
Kwa hiyo, kwa kanuni yako hiyo hiyo ya "the more complex a scenario is, the more reason it was created" utakuwa unasema hata mungu naye amekuwa created, kwa sababu yeye ni complex zaidi ya ulimwengu.
Ukisema mungu hakuwa created, unavunja kanuni yako ya kwamba complexity must be created.
Na kama mungu, na complexity yake yote hiyo, hakuhitaji kuwa created, basi chance ya mwanadamu kutohitaji kuwa created ni kubwa zaidi, kwa sababu mwanadamu ni less complex than god.
After all, ni rahisi zaidi kuona kibox cha kiberiti kimekaa juu ya visoda kikawa kama kigari by chance, bila kuwa designed by intelligence creation kuwa hivyo (less complexity) kuliko kuona Jumbo Jet limejitengeneza lenyewe.
Mnaosema kwamba mungu hakuumbwa ila binadamu hawezi kutokea bila kuumbwa ni kama vile mnasema Jumbo Jet (mungu, more complexity)limejitengeneza lenyewe, halikuumbwa, lakini hiki kibox cha kiberiti kilichokaa juu ya visoda na kuwa kama kigari ( binadamu, less complexity) ni lazima kiwe kimewekwa vile na muumbaji, hakiwezi kuwa kimepeperushwa na upepo tu.
Utasemaje Jumbo Jet limejiumba lenyewe lakini kigari cha kiberiti na visoda hakiwezi kujiumba chenyewe?
Bahati mbaya sana our sense organ zote zina mapungufu makubwa kabisa kwa hiyo kutumia sense hizo kutafiti juu ya uwepo wa mungu au kutokuwepokwake ni sawa na kujidanganya bure mf , jaribu kutumia macho kutazama angani utagundua kwamba anga ina rangi ya blue some times lakini je ni kweli anga ni blue?. ndio maana wanasayansi wakagundua darubini kusaidia kuona mbali.
Mf mawimbi ya sauti huweza kusikika kwa uzuri zaidi kwa kutumia mawimbi ya Radio, japo masikio tunayo which means our sense organs are not 100% perfect to complehend every thing. Kushindwa kwa mifumo yetu ya fahamu kukubali kwamba mungu hayupo haina maana kwamba ni kweli hayupo bali inatokana na mapungufu ya organs hizo.
Ukishasema kwamba complexity does not happen on it's own, and the more complex something is the more reason that it has to be created, then it follows kwamba mungu muumba ulimwengu ni complex kuliko ulimwengu aliouumba na definitely complex kuliko noti na shilingi 500 na mwanadamu.
Kwa hiyo, kwa kanuni yako hiyo hiyo ya "the more complex a scenario is, the more reason it was created" utakuwa unasema hata mungu naye amekuwa created, kwa sababu yeye ni complex zaidi ya ulimwengu.
Ukisema mungu hakuwa created, unavunja kanuni yako ya kwamba complexity must be created.
Na kama mungu, na complexity yake yote hiyo, hakuhitaji kuwa created, basi chance ya mwanadamu kutohitaji kuwa created ni kubwa zaidi, kwa sababu mwanadamu ni less complex than god.
After all, ni rahisi zaidi kuona kibox cha kiberiti kimekaa juu ya visoda kikawa kama kigari by chance, bila kuwa designed by intelligence creation kuwa hivyo (less complexity) kuliko kuona Jumbo Jet limejitengeneza lenyewe.
Mnaosema kwamba mungu hakuumbwa ila binadamu hawezi kutokea bila kuumbwa ni kama vile mnasema Jumbo Jet (mungu, more complexity)limejitengeneza lenyewe, halikuumbwa, lakini hiki kibox cha kiberiti kilichokaa juu ya visoda na kuwa kama kigari ( binadamu, less complexity) ni lazima kiwe kimewekwa vile na muumbaji, hakiwezi kuwa kimepeperushwa na upepo tu.
Utasemaje Jumbo Jet limejiumba lenyewe lakini kigari cha kiberiti na visoda hakiwezi kujiumba chenyewe?[/QUOTE]
Bahati mbaya sana our sense organ zote zina mapungufu makubwa kabisa kwa hiyo kutumia sense hizo kutafiti juu ya uwepo wa mungu au kutokuwepokwake ni sawa na kujidanganya bure mf , jaribu kutumia macho kutazama angani utagundua kwamba anga ina rangi ya blue some times lakini je ni kweli anga ni blue?. ndio maana wanasayansi wakagundua darubini kusaidia kuona mbali.
Mf mawimbi ya sauti huweza kusikika kwa uzuri zaidi kwa kutumia mawimbi ya Radio, japo masikio tunayo which means our sense organs are not 100% perfect to complehend every thing. Kushindwa kwa mifumo yetu ya fahamu kukubali kwamba mungu hayupo haina maana kwamba ni kweli hayupo bali inatokana na mapungufu ya organs hizo.
Ukishasema kwamba complexity does not happen on it's own, and the more complex something is the more reason that it has to be created, then it follows kwamba mungu muumba ulimwengu ni complex kuliko ulimwengu aliouumba na definitely complex kuliko noti na shilingi 500 na mwanadamu.
Kwa hiyo, kwa kanuni yako hiyo hiyo ya "the more complex a scenario is, the more reason it was created" utakuwa unasema hata mungu naye amekuwa created, kwa sababu yeye ni complex zaidi ya ulimwengu.
Ukisema mungu hakuwa created, unavunja kanuni yako ya kwamba complexity must be created.
Na kama mungu, na complexity yake yote hiyo, hakuhitaji kuwa created, basi chance ya mwanadamu kutohitaji kuwa created ni kubwa zaidi, kwa sababu mwanadamu ni less complex than god.
After all, ni rahisi zaidi kuona kibox cha kiberiti kimekaa juu ya visoda kikawa kama kigari by chance, bila kuwa designed by intelligence creation kuwa hivyo (less complexity) kuliko kuona Jumbo Jet limejitengeneza lenyewe.
Mnaosema kwamba mungu hakuumbwa ila binadamu hawezi kutokea bila kuumbwa ni kama vile mnasema Jumbo Jet (mungu, more complexity)limejitengeneza lenyewe, halikuumbwa, lakini hiki kibox cha kiberiti kilichokaa juu ya visoda na kuwa kama kigari ( binadamu, less complexity) ni lazima kiwe kimewekwa vile na muumbaji, hakiwezi kuwa kimepeperushwa na upepo tu.
Utasemaje Jumbo Jet limejiumba lenyewe lakini kigari cha kiberiti na visoda hakiwezi kujiumba chenyewe?[/QUOTE]