Mungu anaumba atakavyo,anaweza kumuumba kipofu na akawa na akili kukushinda wewe mwenye mach.Yupo mwalimu wa sayansi,anafundisha secondary,na ametunga vitabu vingi vya sayansi.Anakushinda hata wewe mwenye macho,hayo ndio maajabu ya Mungu,na wapo wengi ni vilema,lakini wanawashinda wenye macho.Yapo vilema matajiri,wapo maprofesa,wamewashinda wenye macho.Na Mungu ndio anaonyesha uwezo wake,kwa mwenye akili anaweza kuelewa wazi kama yupo Mungu,anayeyafanya yote haya,hata wewe akitaka kukugeuza kilema,haichukui hata dakika.Na bora kuwa kilema wa viungo,kuliko kilema cha akili.Kushindwa kufikiri na kuelewa,kama wewe yaonyesha una ukilema wa akili,unashindwa kuelewa.