Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 85,905
- 146,017
.
Kipara kutokuwa nywele haimaanishi kwamba nywele huota kutoka kipara. Hivyo basi nywele ikiwa ni nyeupe au nyeusi ni lazima zimetoka/ota katika kipara. Haiingii akilini mtu kudai kwamba nywele zimeota kutoka katika utupu(No where). Maana yake ni kwamba wanaosema hakuna Mungu ni imani walioipata kwa kusikia sawa na wale wanaosema kuna Mungu. 'imani' ndio bayana yao na sii vinginevyo au Karanga unaweza ku-pfoof bila shaka imani yako kwamba hakuna Mungu?
.
You totally missed the boat.
Huyu jamaa anasema kipara nayo ni rangi ya nywele, kama nyeupe na nyeusi.
Anasema lack of faith is faith.
Lack of hair is hair.
Kipara ni nywele.