Mwacheni Mungu aitwe Mungu

Mwacheni Mungu aitwe Mungu

.
Kipara kutokuwa nywele haimaanishi kwamba nywele huota kutoka kipara. Hivyo basi nywele ikiwa ni nyeupe au nyeusi ni lazima zimetoka/ota katika kipara. Haiingii akilini mtu kudai kwamba nywele zimeota kutoka katika utupu(No where). Maana yake ni kwamba wanaosema hakuna Mungu ni imani walioipata kwa kusikia sawa na wale wanaosema kuna Mungu. 'imani' ndio bayana yao na sii vinginevyo au Karanga unaweza ku-pfoof bila shaka imani yako kwamba hakuna Mungu?
.

You totally missed the boat.

Huyu jamaa anasema kipara nayo ni rangi ya nywele, kama nyeupe na nyeusi.

Anasema lack of faith is faith.

Lack of hair is hair.

Kipara ni nywele.
 
Nimejitahidi kusoma anthologies zilizokusanya malumbano ya manguli hawa, nilianza na "Philosophy of Religion: An Anthology" kabla hata sijaenda high school, humo wameandika arguments kibao za kina Plato, Aristotle, Aquinas, Augustine, Anselm, Kant,Nietzsche,Berkeley,Russell tangu my coming of age, nika augment na kina Dawkins, Hitchens, Kung na wengine wengi mpaka outside of western thought kwa kina John Mbiti na kwenye ma Dhammapada, Tripitaka, Bhagavad Gita, Vedanta, Upanishads etc.

Nimeangalia mpaka the gnostic bible, nimesoma si Quran na biblia tu, bali mpaka vitabu vilivyokatwa vikatolewa nje ya biblia na Constantine hapo Nicea.

Kwa hiyo si kwamba nasema haya kwa ubishi tu bila kufanya the basic readings first.

Ndiyo maana mara nyingine nauliza maswali ambayo hayapati majibu, haya maswali ni kutoka kwenye classical arguments ambazo mpaka leo hazijapatiwa majibu.

Hata kama nakataa uwepo wa mungu, huwezi kusema nakataa kwa sababu sijamtafuta. Nimemtafuta mpaka kwenye quantum theory huko, hayupo.

Ikiwa unaamini hiyo Quantum Theory, kwanini usiamini kuwa Mungu yupo, na ndiye Yule Yule alileta hiyo Q/Theory kwetu sisi binadamu?
 
Sasa mbona mimi nikienda kanisani nakumuomba huyo mungu.. nafarijika sana na pia sometime huwa anajibu maombi kwA shida zangu kutatulika

Kufarijika unaweza hata kufarijika kwenye mjumuiko wa kampani ya washkaji kwenye barbecue mbona? Hakuna maana kwamba ni lazima mungu awepo.

Na mara nyingine unapofikiri mungu kakujibu maombi yako, ni Kiranga kakusikia unamuomba mungu, kakuhurumia kwa sababu anajua mungu hayupo, akaamua kujitwika kazi ya umungu tu.

Mimi ishanitokea mara kibao hiyo.

Unaenda sehemu, unakuta watu wako stranded, hawana kitu, wanataka kufanikisha, hawana hata idea, wanabaki kuomba mungu na kubung'aa.

Unawaangaaaliaaaa, unaona hawa wanacheza, ngoja nisawazishe hapa.

Mwanamme unasawazisha.

Wanafurahiiii.

Tena wanakuambia "Bwana amekuwezesha utusaidie"

Nawe unasema "Amina, Bwana asifiwe"

Huku kimoyomoyo unasema "nyie mnacheza makida sana, ombeni niwepo hapa around".

Those who do not believe in god have the burden of taking the role of god sometimes.
 
Wewe naona unakuja na akili zako za shule ya kata,mada ni kuwapo au kutokuwapo kwa Mungu.Hizi shule za kata ni Tatizo kubwa.Unataka kuwaomdowa watu katika mada iliyopo,uwapeleke sipo.

Thanks God, hivyo vishule vyenu sikuwai kwenda.

ALLAH IS NOT GOD, in fact Allah and Lucifer is the same person.
 
Nimejitahidi kusoma anthologies zilizokusanya malumbano ya manguli hawa, nilianza na "Philosophy of Religion: An Anthology" kabla hata sijaenda high school, humo wameandika arguments kibao za kina Plato, Aristotle, Aquinas, Augustine, Anselm, Kant,Nietzsche,Berkeley,Russell tangu my coming of age, nika augment na kina Dawkins, Hitchens, Kung na wengine wengi mpaka outside of western thought kwa kina John Mbiti na kwenye ma Dhammapada, Tripitaka, Bhagavad Gita, Vedanta, Upanishads etc.

Nimeangalia mpaka the gnostic bible, nimesoma si Quran na biblia tu, bali mpaka vitabu vilivyokatwa vikatolewa nje ya biblia na Constantine hapo Nicea.

Kwa hiyo si kwamba nasema haya kwa ubishi tu bila kufanya the basic readings first.

Ndiyo maana mara nyingine nauliza maswali ambayo hayapati majibu, haya maswali ni kutoka kwenye classical arguments ambazo mpaka leo hazijapatiwa majibu.

Hata kama nakataa uwepo wa mungu, huwezi kusema nakataa kwa sababu sijamtafuta. Nimemtafuta mpaka kwenye quantum theory huko, hayupo.

Wakati nasoma haya maelezo yako nimekumbuka kisa kimoja cha bata pale kwenye nyumba ninayoishi

Huyu bata ana vifaranga vingi,na nyumba ambayo tunaishi ambayo na mmiliki wa bata yule anaishi ina ukuta uliotenganisha nyumba hii na nyingine,kuna mahali kuna tundu ambalo ni dogo kiasi cha kuruhusu vifaranga kupita hapo na kwenda kwenye nyumba ya jirani

Siku ya tukio vifaranga vya bata yule vilipita pale kwenye lile tundu na kwenda kwenye nyumba ya jirani,baadae vile vifaranga vilishindwa kujua njia vilivyingilia na vikaanza kupiga kelele ya kumuita mama yao

Kitendo hicho kilimfanya mama yao asikie zile kelele na akaenda mpaka pale kwenye tundu na kulazimisha apite palepale kwa kuwa kupitia hapo ndio anawaona vifaranga vyake,nilimtazama kwa muda yule bata nikidhani kuwa anaweza kujua kuwa lile tundu ni dogo na hataweza kupitia hapo kuwaendea wanae lakini niliona muda unakwenda na haondoki pale

Ilibidi niende kumtoa pale ili nimpeleke kwenye geti aweze kuwafuata wanae lakini kwa kitendo changu cha kutaka kumtoa pale alikiona kama ni kibaya na alianza kupambana na mimi

Kwa mawazo yake yeye aliona ile ilikuwa ni njia sahihi kabisa ya kuwapata wanae na aliona ni jambo lenye mantiki kabisa na kitendo changu kikawa kama cha kijinga hivi!
 
Wakati nasoma haya maelezo yako nimekumbuka kisa kimoja cha bata pale kwenye nyumba ninayoishi

Huyu bata ana vifaranga vingi,na nyumba ambayo tunaishi ambayo na mmiliki wa bata yule anaishi ina ukuta uliotenganisha nyumba hii na nyingine,kuna mahali kuna tundu ambalo ni dogo kiasi cha kuruhusu vifaranga kupita hapo na kwenda kwenye nyumba ya jirani

Siku ya tukio vifaranga vya bata yule vilipita pale kwenye lile tundu na kwenda kwenye nyumba ya jirani,baadae vile vifaranga vilishindwa kujua njia vilivyingilia na vikaanza kupiga kelele ya kumuita mama yao

Kitendo hicho kilimfanya mama yao asikie zile kelele na akaenda mpaka pale kwenye tundu na kulazimisha apite palepale kwa kuwa kupitia hapo ndio anawaona vifaranga vyake,nilimtazama kwa muda yule bata nikidhani kuwa anaweza kujua kuwa lile tundu ni dogo na hataweza kupitia hapo kuwaendea wanae lakini niliona muda unakwenda na haondoki pale

Ilibidi niende kumtoa pale ili nimpeleke kwenye geti aweze kuwafuata wanae lakini kwa kitendo changu cha kutaka kumtoa pale alikiona kama ni kibaya na alianza kupambana na mimi

Kwa mawazo yake yeye aliona ile ilikuwa ni njia sahihi kabisa ya kuwapata wanae na aliona ni jambo lenye mantiki kabisa na kitendo changu kikawa kama cha kijinga hivi!

Vivyo hivyo, binadamu wanaotaka ku prove kwamba mungu yupo wanakuwa kama huyo bata anayetaka kupenya katika hilo tundu ambalo hawezi kupita.
 
Those who do not believe in god have the burden of taking the role of god sometimes.

quote_icon.png
By Fadhili Paulo
The Fool Says, There Is No God.

Psalm 14





Thanks. This covers Mono-theists(Muhammadans' deity) and Non-Theists(darwin's sons)

Ha,ha,ha,ha,ha,ha,ha,ha,haaaaaaaaaaaaaaaa!!!!!!!!!!!!!
 
Vivyo hivyo, binadamu wanaotaka ku prove kwamba mungu yupo wanakuwa kama huyo bata anayetaka kupenya katika hilo tundu ambalo hawezi kupita.

Na kinyume chake pia!!!!!!!!
 
quote_icon.png
By Fadhili Paulo
The Fool Says, There Is No God.

Psalm 14







Ha,ha,ha,ha,ha,ha,ha,ha,haaaaaaaaaaaaaaaa!!!!!!!!!!!!!


Non Theists are addicted and obsessed to God more than theists. It's interesting isn't it? A lot of them gravitate toward religious threads, which is about God and religion, when they claim to have none.

Non-theists are obsessed with God.

[h=1]Why do Non-theists talk about God more than Christians?[/h]
 
quote_icon.png
By Fadhili Paulo
The Fool Says, There Is No God.

Psalm 14


Ha,ha,ha,ha,ha,ha,ha,ha,haaaaaaaaaaaaaaaa!!!!!!!!!!!!!

The true fool is the one who believes in a nonexistent god because he is afraid of being called a fool out of a cleverly manipulative insurance policy verse written by ancient Jews.

Biblia hiyo hiyo imesema watakaojishusha watakwezwa na watakaojikweza watashushwa.

Kwa hiyo mimi kwa kukubali kuwa "fool" kwa kutoamini kuwepo kwa mungu, nime ji release from the clever shackle of the human bible writers, shackle ya kuamini mungu hata kama ha make sense, kwa sababu naogopa tu kuitwa a "fool".

I already declared myself a Shakespearean fool, a court jester.

I don't need the bible to tell me that I am a fool.

I find a release in being a fool that allows me to learn, like no other person who is afraid of the label "fool".
 


Non Theists are addicted and obsessed to God more than theists. It's interesting isn't it? A lot of them gravitate toward religious threads, which is about God and religion, when they claim to have none.

Non-theists are obsessed with God.

Why do Non-theists talk about God more than Christians?

Hii anaweza kuijibu Kiranga !!!
 
Last edited by a moderator:
Nimejitahidi kusoma anthologies zilizokusanya malumbano ya manguli hawa, nilianza na "Philosophy of Religion: An Anthology" kabla hata sijaenda high school, humo wameandika arguments kibao za kina Plato, Aristotle, Aquinas, Augustine, Anselm, Kant,Nietzsche,Berkeley,Russell tangu my coming of age, nika augment na kina Dawkins, Hitchens, Kung na wengine wengi mpaka outside of western thought kwa kina John Mbiti na kwenye ma Dhammapada, Tripitaka, Bhagavad Gita, Vedanta, Upanishads etc.

Nimeangalia mpaka the gnostic bible, nimesoma si Quran na biblia tu, bali mpaka vitabu vilivyokatwa vikatolewa nje ya biblia na Constantine hapo Nicea.

Kwa hiyo si kwamba nasema haya kwa ubishi tu bila kufanya the basic readings first.

Ndiyo maana mara nyingine nauliza maswali ambayo hayapati majibu, haya maswali ni kutoka kwenye classical arguments ambazo mpaka leo hazijapatiwa majibu.

Hata kama nakataa uwepo wa mungu, huwezi kusema nakataa kwa sababu sijamtafuta. Nimemtafuta mpaka kwenye quantum theory huko, hayupo.

By the way umesoma The Kybalion - A Study of The Hermetic Philosophy of Ancient Egypt and Greece by Three Initiates? Binafsi nimesoma ila sijaimaliza. Wanaongelea kuhusu The All ambaye amekuwepo, yupo na atakuwepo...hakuanza wala hatakwisha na ni vigumu kum-perceive kwa sense yoyote ile...yeye ndiyo chanzo cha kilichokuwepo, kilichopo na kitakachokuwepo...

Una connect vipi The Kybalion, kama imeisoma tayari, na thread hii?
 
Vivyo hivyo, binadamu wanaotaka ku prove kwamba mungu yupo wanakuwa kama huyo bata anayetaka kupenya katika hilo tundu ambalo hawezi kupita.

Why spend so much energy fighting something you simply feel does not exist? There is absolutely no logic behind this!


Non-theists delusion.
 
The true fool is the one who believes in a nonexistent god because

Hii umeitoa wapi?
he is afraid of being called a fool out of a cleverly manipulative verse written by ancient Jews.

Kivipi?

Biblia hiyo hiyo imesema watakaojishusha watakwezwa na watakaojikweza watashushwa.

Kwa hiyo mimi kwa kukubali kuwa "fool" kwa kutoamini kuwepo kwa mungu, nime ji release from the clever shackle of the human bible writers, shackle ya kuamini mungu hata kama ha make sense, kwa sababu naogopa tu kuitwa a "fool".

Rudia tena kusoma mfano wa bata huenda ukaelewa vyema!

I already declared myself a Shakesperean fool, a court jester.

Good for you!

I don't need the bible to tell me that I am a fool.

Who told you so?

I find a release in being a fool that allows me to learn, like no other person who is afraid of the label "fool".

He!
Dakika moja iliyopita umesema wewe ni fool
Sasa unasema "i find a release in being fool"

Ni wakati gani ulikuwa fool?
Kabla hujaandika haya maelezo yako au baada?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom