Mwabukusi: Mkataba haufai hata kuwa 'toilet paper'

Rare Sapphire

JF-Expert Member
Jul 24, 2021
576
1,626
Mwabukusi amesema huu mkataba haukuwa wa ghalfa, walikuwa nao wameuficha, na walivyoupeleka bungeni waliulizwa dharura imetoka wapi wakati wamekaa nao kwa miezi tisa na kusema kwamba yeye alitumia dakika tano tu kuutazama mkataba huo na kusema haufai hata kuwa toilet paper.

Akisema kuwa haamini kama mkataba huu ulifata mchakato wa kiserikali kwasababu ni mkataba wa hovyo kuliko wa Mangungo kuanzia kwenye utangulizi mpaka kwenye kiambata cha saini.

Mwabukusi akaongeza, Mangungo anasingiziwa sana, yeye hakuwa na ufahamu mkubwa kama walivyokuwa viongozi wa sasa, yeye alikuwa mtu wa kwanza kusaini mkataba na hakukuwa na ushahidi kwamba alikuwa na washauri waliofahamu lugha ya Kijerumani, lakini mzee Mangungo anafananishwa na viongozi wa sasa ambao waliambiwa hata kabla ya hawajaupitisha Bungeni kuwa haufai lakini wakufanya lolote kuzuia.

Mwabukusi ameyasema hayo katika mkutano unaofanyika Temeke kupinga mkataba wa Bandari leo tarehe 23/7/2023.
 
Mwabukusi amesema huu mkataba haukuwa wa ghalfa, walikuwa nao wameuficha, na walivyoupeleka bungeni waliulizwa dharura imetoka wapi wakati wamekaa nao kwa miezi tisa na kusema kwamba yeye alitumia dakika tano tu kuutazama mkataba huo na kusema haufai hata kuwa toilet paper.

Akisema kuwa haamini kama mkataba huu ulifata mchakato wa kiserikali kwasababu ni mkataba wa hovyo kuliko wa Mangungo kuanzia kwenye utangulizi mpaka kwenye kiambata cha saini.

Mwabukusi akaongeza, Mangungo anasingiziwa sana, yeye hakuwa na ufahamu mkubwa kama walivyokuwa viongozi wa sasa, yeye alikuwa mtu wa kwanza kusaini mkataba na hakukuwa na ushahidi kwamba alikuwa na washauri waliofahamu lugha ya Kijerumani, lakini mzee Mangungo anafananishwa na viongozi wa sasa ambao waliambiwa hata kabla ya hawajaupitisha Bungeni kuwa haufai lakini wakufanya lolote kuzuia.

Mwabukusi ameyasema hayo katika mkutano unaofanyika Temeke kupinga mkataba wa Bandari leo tarehe 23/7/2023.
Hayo maneno yake kama ndiyo kweli kasema hivyo, anaonesha ni mtu wa hovyo hata akitupiwa Simba hamli huyo.

Hiyo ni najisi tu. Hiyo ni zaidi ya "gutter politics".

Kwa siasa hiyo ndiyo watu waifate chadema?

Mnanchekesha.
 
Kama walevi wanakuwa hivi, basi tuwe na walevi wengi. Lakini tusiwe na punguani hata mmoja, kama ulivyo wewe.
Mwabukusi analewa mpaka anabebwa mbeya carnival pale, huyu ni mlevi
Khaaaaaa! Kama walevi wanakuwaga vichwa kiasi hiki najialaumu sana kwanini silewi aiseee! yawezekana sahizi ningesha vumbua simu isiyo shikika
 
Mwabukusi amesema huu mkataba haukuwa wa ghalfa, walikuwa nao wameuficha, na walivyoupeleka bungeni waliulizwa dharura imetoka wapi wakati wamekaa nao kwa miezi tisa na kusema kwamba yeye alitumia dakika tano tu kuutazama mkataba huo na kusema haufai hata kuwa toilet paper.

Akisema kuwa haamini kama mkataba huu ulifata mchakato wa kiserikali kwasababu ni mkataba wa hovyo kuliko wa Mangungo kuanzia kwenye utangulizi mpaka kwenye kiambata cha saini.

Mwabukusi akaongeza, Mangungo anasingiziwa sana, yeye hakuwa na ufahamu mkubwa kama walivyokuwa viongozi wa sasa, yeye alikuwa mtu wa kwanza kusaini mkataba na hakukuwa na ushahidi kwamba alikuwa na washauri waliofahamu lugha ya Kijerumani, lakini mzee Mangungo anafananishwa na viongozi wa sasa ambao waliambiwa hata kabla ya hawajaupitisha Bungeni kuwa haufai lakini wakufanya lolote kuzuia.

Mwabukusi ameyasema hayo katika mkutano unaofanyika Temeke kupinga mkataba wa Bandari leo tarehe 23/7/2023.
Hii ni kauli thabiti na ya kizalendo haswa. Kongole nyingi mno ziende kwa wakili msomi Mwabukusi. Nchi hii kwa sasa inamuhitaji mno mtu wa kariba yake kwa ajili ya ulinzi wa rasilimali za taifa letu.
 
Back
Top Bottom