Odhiambo cairo
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 15,989
- 22,057
Yeye haja sema waifuate Cdm. Bali amesema mkataba ni mbovu. Wewe FaizaFoxy onyesha uzuri wa mkataba huo. Ili tukutofautishe nayeHayo maneno yake kama ndiyo kweli kasema hivyo, anaonesha ni mtu wa hovyo hata akitupiwa Simba hamli huyo.
Hiyo ni najisi tu. Hiyo ni zaidi ya "gutter politics".
Kwa siasa hiyo ndiyo watu waifate chadema?
Mnanchekesha.