Mvua kubwa inanyesha Dar es Salaam

Mvua kubwa inanyesha Dar es Salaam

Watu wa mikoani vipi nyinyi huko leo kote Mungu kafurahi au?, maana kwa madhambi yetu nilijua mwaka huu anatufundisha lakini naona katuhurumia
 
Hii mvua sio kubwa ni ya kawaida tu Tatizo ni miundo mbinu yetu. Mitaro na chemba zote zimeziba.
ni kweli kabisa mkuu Bujibuji...na sijui kwa nn tatizo hili halijatafutiwa ufumbuzi miaka nenda rudi? dahhh
 
Hivi hii Nayo ni mvua kubwa?Mngepata shuhudia mvua zinazonyesha bara Asia ungekubaliana nami kua haya ni manyunyu tu
 
sehem nyng sana hii mvua inayesha mkuu....kwa taarifa za watu mbalimbali nlioongea nao! lkn pia kupitia huu uzi tunaweza fahamu mengi hasa kuhusu hii mvua na madhara yake
Nimetoka bunju imeanza saa nane usiku Niko Mbagala inapiga mpk mida hii
 
Hivi hii Nayo ni mvua kubwa?Mngepata shuhudia mvua zinazonyesha bara Asia ungekubaliana nami kua haya ni manyunyu tu
ni kweli mkuu...yawezekana ukawa sahihi kabisa! lakini kama alivyosema mkuu Bujibuji tatizo kubwa hasa ni miundo mbinu mibovu ambayo hufanya hata kama ni manyunyu kidogo tu,maji yanakuwa mengi yasiyo na mwelekeo mzuri
 
Dah....huku Ilala tunapanda mpunga saa hii[emoji13] [emoji13] [emoji13]
 
mkuu.....ndo maajabu ya Dsm wakati mwingine! kama akili yako haina ushirikiano mzuri waweza dhani kuna harufu ya uchawi hv
Kamati za ufundi ziko kazin huko buguruni kuna kaz maalum wanafanya sasa hawataki disturbance
 
Ndio mvua kubwa hii wacha kuchekesha
mkuu....labda ungetoa taarifa upo sehem gani! kwa sbb kuna sehem kweli sio mvua kubwa sana na sehem nyngne isiwepo kbs labda
 
Back
Top Bottom