Muswada wa kuzuia Maandamano nchini waja...

Nchimbi amelewa madaraka! Badala ya kufikiria ni jinsi gani wanaweza kuimarisha usalama wa raia, wao wanafikiria jinsi ya kumaliza upinzani. Maandamano hayakusababisha watu wapigwe mabomu. Huyu mtu aache umangi meza.
 
Kama ni kuidhiti CHADEMA muswada huo utakuwa umechelewa maana walitakiwa kuufanya sheria uwe sheria tangu 2006. Kwa hiyo wapo nyuma ya wakati kwai miaka 7. Yaani mtota aliyezaliwa sasa anakwenda darasa la kwanza. CHADEMA wapeshapiga chapa yao katika miyoyo ya watanzania mamilioni wanaonekana kwa mikutano ya CHADEMA na wasioonekana. Na wabaya zaidi ni wale wasioonekana,kusikika,kushiriki kwenye maandamano au mikutano. That is a killer weapon that I suspect even CHADEMA can not fathom its real strenght
 
Dawa sasa tuingie mitaani na kuipinga hii hali.Jamani Watanzania tunapelekwa kama magunia tu.kwanini hatujiulizi?hamjui kuwa hayo maandamano ndio nyenzo ya mnyonge kudai haki yake?Sasa tunaelekea wapi
 
...yanayosemwa huwa yanakuja....hivyo sitashangaa siku moja kuona kweli huyu Nchimbi anapeleka huu mswada bungeni....Labda niseme tu kwamba katika kosa ambalo ccm watafanya ni kupitisha muswada wa namna hii bungeni(maana wanaweza kweli kuupitisha kwaukichaa na wingi wao)....Ikitokea hivyo basi watakuwa wamevunja katiba..maana kila raia ana haki ya kuandamana (peaceful demonstrations)pale anapodai haki zake......

Pia kuandamana ni haki za binadamu wowote na hili hata kimataifa lipo.....na hata kwa wale ambao kwao serikali hii inajifunza kwao misingi ya demokrasia (yaani wenzetu wa USA/au ulaya)nako kuandamana ni ruksa...ilimradi watu hawavunji sheria....

Labda ifike mahali hawa kina waziri Nchimbi wajue kuwa watanzania wanajua kuwa tatizo nchi hii si maandamano bali chama tawala(kupitia serikali yake)kinapotumia vyombo vya dola kufanikisha matakwa yao ya kisiasa....hili ndio tatizo....

...nchi hii sasa hivi ilo kwenye matatizo makubwa kwenye jamii na sitashangaa kuona hatua za zima moto za kijingajinga zikitumika (kama ilivyozoeleka) ili kuonyesha kuwa serikali inataka kutafta ufumbuzi.....Wanaacha kushughulika na sababu za msingi zinazoleta machafuko...wanataka kushughulika na maandamano...wanasahau kuwa kuzuia maandamano kunaweza kuzidisha machafuko.....maana raia watakuwa wamezuiwa kutoa malalamiko yao kwa watawala...Kitakachobaki itakuwa ni hasira za jumla dhidi ya watawala....na hapa chochote kinaweza kutokea....wajifunze Mtwara...na Lindi.......

Hawajajua hilo. Wewe waache.
 
Haijalishi kwani Wakale walinena kua LAKUVUNDA HALINA UBANI.Hata Ccm watumie mbinu gani kupona hawaponi tena.Ccm ni sawa na Mgonjwa wa Saratani anaejaribu kila dawa kama atapona.

Wazuie Maandamana ndio kabisa wanazidi kujiua kwani Watanzania wa leo sio Wajana. Wakitaka wajue wamwambie MFALME MINYOO avunje Seriki na kuitisha Uchaguzi.

Kama hawana kumbukumbu wamtafute alie kua Rais wa Zambia mzee RUPIA BANDA.alidanganywa na Mawaziri wake kama ambavyo sasa wanafanya kina Nchimbi kwa MFALME MINYOO,wakatunga Sheria Kandamizi kuwakomoa Wapinzani,lakini Mungu sio Athumani Mpinzani wao Mkuu Satah alishinda na leo zile Sheria Kandamizi walizotunga leo zinawabana wao.

Ukichimba shimo ili adumbukie mbaya wako usishangae utakuja dumbukia wewe.

CCM NI GENGE LA WAHUNI HAIKUBALIKI TUSHIRIKIANE KUITOKOMEZA!!!
 
Kwanza siamini kwamba watanzania wanaweza kuvumilia kukaa kimya kuiona serikali ya ccm ikianzisha sheria ya kijinga kama hiyo.

Pili, kama wakilazimisha na kufanikiwa kutungwa kwa sheria hiyo tutapata njia mbadala ya kuwasiliana na wananchi. Akili ya mwanadamu siku zote inafikiria namna ya kujinasua na vikwazo vilivyopo, tena wakizuia maandamano ndio watakuwa wameturahisishia kazi ya kuwang'oa madarakani.

yaani system mpya ya KIMya Kimya WaTAISoma..
 
Mimi naunga mkono mpango kwa mustakabali wa amani ya nchi yetu.
Maandamano yote ya kisiasa, kidini na mengine tupilia mbali kwakuwa ndio chanzo cha kikubwa cha uvunjifu wa amani na kupoteza maisha ya Watanzania na wengine kuwekwa jela.

Mnaona anavyojibu huyu gamba? Ni mmoja wabunge waccm waliochaguliwa na wananchi ili kuwatetea bungeni na mtasikia maneno kama haya wakati akichangia live bungen muswada huu ukiletwa na gamba lao.
 
Katika hali ya kusikitisha na kushtusha Waziri wa mambo ya ndani Emmanuel Nchimbi ameliambia bunge jioni hii kwamba serikali ya CCM imeridhia kuleta mswada bungeni ili itungwe sheria ya kuzuia maandamano kote nchini.

Nchimbi amesema hiyo ndiyo njia pekee ya kuondoa uvunjifu wa amani nchini unaofanywa na watu wasiolitakia mema Taifa.Waziri amesema mswada huo utaletwa wakati wowote kuanzia sasa akimaanisha tayari umeshakamilika.Nchimbi alikuwa akishangiliwa sana na wabunge wa CCM wakati alipokuwa akitamka maneno hayo.

Hili litakuwa ni pigo kubwa kwa demokrasia katika ukanda huu wa Afrika Mashariki.

Ikumbukwe ni hapo jana tu Chadema kilidai kunasa mpango wa siri wa serikali ya CCM wa kuzuia maandamano na mikutano ya hadhara ili kukidhibiti Chadema na kukiimarisha CCM.
Its too late, though...
 
Hili n pigo kubwa kw wapenda haki wt kuanzia vyama vya siasa , asasi za kiraia , vikundi vy haki za binadam n hata taasisi za kidini pale watakapoona hawakutendewa haki ,,,,,,,,,,
lkn acha mswada utungwe utaondolewa n bunge hilohilo
 
Huo utakuwa mwisho wa CDM kisiasa waliozoea kuendesha harakati za kisiasa kupitia maandamano yanayoharisha ustawi wa nchi yetu. Tena ikibidi zoezi hili lianzie Arusha Mjini

MNAJISUMBUA POLENI SANA KAMA MNAFIKIRI CHADEMA NI MAANDAMANO IMEKULA UPANDE WENU,:plane:
 
Hivi Washauri wao ni akina nani ???
Wakati wa Sikukuu za Kitaifa kama Mei Mosi na Zingine kutakuwa hakuna Maandamano ??? !!!
Ukistaajabu ya Musa utaona ya Firauni.

Katika hali ya kusikitisha na kushtusha Waziri wa mambo ya ndani Emmanuel Nchimbi ameliambia bunge jioni hii kwamba serikali ya CCM imeridhia kuleta mswada bungeni ili itungwe sheria ya kuzuia maandamano kote nchini.

Nchimbi amesema hiyo ndiyo njia pekee ya kuondoa uvunjifu wa amani nchini unaofanywa na watu wasiolitakia mema Taifa.Waziri amesema mswada huo utaletwa wakati wowote kuanzia sasa akimaanisha tayari umeshakamilika.Nchimbi alikuwa akishangiliwa sana na wabunge wa CCM wakati alipokuwa akitamka maneno hayo.

Hili litakuwa ni pigo kubwa kwa demokrasia katika ukanda huu wa Afrika Mashariki.

Ikumbukwe ni hapo jana tu Chadema kilidai kunasa mpango wa siri wa serikali ya CCM wa kuzuia maandamano na mikutano ya hadhara ili kukidhibiti Chadema na kukiimarisha CCM.
 
wapige marufuku na vyama pinzani,vifutwe vyote..ila wajue kuwa Wananchi wakichoshwa na serikali dhalimu watafanya watakavyoweza kufanya.
 
Katika hali ya kusikitisha na kushtusha Waziri wa mambo ya ndani Emmanuel Nchimbi ameliambia bunge jioni hii kwamba serikali ya CCM imeridhia kuleta mswada bungeni ili itungwe sheria ya kuzuia maandamano kote nchini.

Nchimbi amesema hiyo ndiyo njia pekee ya kuondoa uvunjifu wa amani nchini unaofanywa na watu wasiolitakia mema Taifa.Waziri amesema mswada huo utaletwa wakati wowote kuanzia sasa akimaanisha tayari umeshakamilika.Nchimbi alikuwa akishangiliwa sana na wabunge wa CCM wakati alipokuwa akitamka maneno hayo.

Hili litakuwa ni pigo kubwa kwa demokrasia katika ukanda huu wa Afrika Mashariki.

Ikumbukwe ni hapo jana tu Chadema kilidai kunasa mpango wa siri wa serikali ya CCM wa kuzuia maandamano na mikutano ya hadhara ili kukidhibiti Chadema na kukiimarisha CCM.

Ni uvunjifu wa katiba tutakwenda mahakamani
 
CDM mmekuwa mnatumia maandamano kuwa ni chanzo cha kuvunja AMANI na UTULIVU nchini. Siasa za majukwaani bila fujo hamziwezi hivyo bila maandamano CDM katika jeneza

Hiyowara siyonjia ya kuizuia chadema tungeni muone
 
Huyu Nchimbi naonaga kichwa yake haina wazo la kufikiri chochote zaidi ya ujinga wa maneno isiyo na tija anayoropoka tu!
Anatumia masaburi yake kuwaza na kutoa kauli jinga kama hiyo!

CCM ni lazima kifutwe kabisa kabisa kwani viongozi wanaozalishwa wakiwemo wa kuchaguliwa ni dhaifu mno na wala hawana fikra ambazo ni adjustable to current Tanzania environment and need of society.ZITO KABWE TUNAKUTEGEMEA SASA UANDAE HOJA BINAFSI JUU YA HILI,NA UPITE VYUO VIKUU UKUSANYE MAONI,KARIBU MWENGE UNIVERSITY UANZE NA SISI.CCM wenye haki ya maandamano si CHADEMA TU,bali makundi yote ya watanzania,REF. UN HUMAN RIGHTS DECLERATION[1945],POOR GOVERNMENT PRODUCE POOR CITIZENS.
 
Namkumbuka sana Baba wa Taifa letu wakati huu kuliko muda mwingine wowote ule, hivi yeye wakati ule angepiga marufuku maandamano watu wangewezaje kuunga mkono azimio la Arusha? Na yale matembezi ya mshikamano yalikuwa ni nini? Ccm imechoka sana, sasa inajidhihirisha kuwa inajikaanga yenyewe kwa mafuta yake.
Leteni hiyo sheria ili muipaishe chadema zaidi kwani sasa tutaitii hiyo sheria kwa dhati ila tutaanzisha siku maalum ya kuvaa gwanda kila alhamisi. Kila mpinga sheria hiyo atatakiwa kuvaa gwanda kila alhamisi.
 
Back
Top Bottom