Kiukweli huyu jamaa ni mtu wangu wa karibu sana..na humu jf alikua anatumia jina la "godoro-la-comfy".
RIP Mushi mkali. Onelove...we ndo jembe la ukweli.
]aisee pocha ni niiinii tenaa banaaaa??Daaaaanh alikuwa mwana familia????!!!!
Mwenye pocha jamani please
Sipati picha siku Ufoo akifungua huu uzi na uktane na nyuzi hizo 2, ile ya mke wangu anapenda sana kujamba na nyingine ile anayosema, napenda sana wanawake mabonge, tena akawapiga na busu kabisa humu humu, sijui tu.na mie nasubiria jibu
Naomba nikupoze kwa hizi vitu
![]()
Nini hio manyonyo au mbege ya kwetu?
Kama ulihairisha kusoma kwa ajili ya unene wa Zena naona siku akikupiga chini utahairisha kuishi.....
Naomba nikupoze kwa hizi vitu
![]()
Mkuu Safari, na wewe kumbe huwa unatua kwenye Sherehe ya October First ya Wa-German?
]aisee pocha ni niiinii tenaa banaaaa??
Its crazy how JF members are cheaply taken by lies! Read analytically below and engage your brain to reason:
JF Name: godoro-la-comfy
Join Date: 9th September 2013
Died: 13th October 2013 Morning! Source: Ufoo Saro wa ITV ajeruhiwa kwa risasi, mamake auawa!
AND Then???!!!!
Last Activity: 14th September 2013 13:16
ZIKO NYINGI TU MKUU NYINGINE ILIKUWA NI HII
Topic: Napenda wanawake mabonge
by godoro-la-comfy
Jiulize Mwadishi ni Bonge ha!ha!ha! sitaki kuamini kama ndie Mushi ila kama ndie R.I.P
Pole sana mkuu, huyo aliyekua rafiki yako alienda lini Sudan kikazi? Nataka kujua kama ile post ya kupanda ndege ndio alikua anajiandaa kusafiri au ilikua kuchangamsha jukwaa tu!
Watu wa karibu na Mushi wanasema si mwongeaji na ni mpole sana sidhani kama anaweza kuwa ndiye godoro la comfy anayeandika vitu vya ajabu humu