Mushi wa Ufoo ndio " godoro-la-comfy"

Mushi wa Ufoo ndio " godoro-la-comfy"

Status
Not open for further replies.
jamani nimeiona hii comments kwenye uzi wake wa napenda wanawake mabonge dah jamaa kama ailimtabiria kifo hivi

Wewe huyu jamaa amekufa?! Kwani Zena amempiga chini.......
 
Wewe huyu jamaa amekufa?! Kwani Zena amempiga chini.......

hakuna anaye jua exactly sababu nini ila nimejaribu kuhusisha kwani sababu yoyote ile itayokuwa itahusiana na mapenzi na hapo juu pia mdau alimtabiria kuwa mapenzi yatamuondoa
 
Mkuu snowhite, wataalamu wanadai kwamba mtu anapofikia hatua ya kufanya mambo ya ajabu kama kuua ama kujiua huwa akili yake imefrustrate na haiko ktk equilibrium hawezi akafikiri zaidi. Ndiyo maana watu wengine huona mtu amejiua wanashangaa imekuwa kuwaje lkn ikiwafika hao hao wanajiua, na wengine with terrible death!
dah!
ila hii ya kujiua hiii HAIENDANI NA aina na mtu nyuma ya keyboard za GODoro la comfy
sijui lakini!
 
Last edited by a moderator:
Its crazy how JF members are cheaply taken by lies! Read analytically below and engage your brain to reason:
JF Name: godoro-la-comfy
Join Date: 9th September 2013
Died: 13th October 2013 Morning! Source: Ufoo Saro wa ITV ajeruhiwa kwa risasi, mamake auawa!

AND Then???!!!!

Last Activity: 14th September 2013 13:16

Whats your point? 14 September 2013 that is his last activity on JF, passed away 13 October 2013.
Why do you want us to engage our brain to reason on this issue?
 
Kiukweli huyu jamaa ni mtu wangu wa karibu sana..na humu jf alikua anatumia jina la "godoro-la-comfy".

RIP Mushi mkali. Onelove...we ndo jembe la ukweli.

kwanini aliamua kujiita godoro?godoro si LINALALIWA?
 
Watu wa karibu na Mushi wanasema si mwongeaji na ni mpole sana sidhani kama anaweza kuwa ndiye godoro la comfy anayeandika vitu vya ajabu humu

Unaweza amini kuwa huyo mpole ndo kafanya jambo ambalo limeacha watu wengi vinywa wazi?
 
Kiukweli huyu jamaa ni mtu wangu wa karibu sana..na humu jf alikua anatumia jina la "godoro-la-comfy".

RIP Mushi mkali. Onelove...we ndo jembe la ukweli.

Unapaswa kufungiwa mpuuzi mdogo we!
 
unataka kumaanisha nini?
ni jembe kwa alichokifanya???
Kiukweli huyu jamaa ni mtu wangu wa karibu sana..na humu jf alikua anatumia jina la "godoro-la-comfy".

RIP Mushi mkali. Onelove...we ndo jembe la ukweli.
 
Daah Ndg. Mushi sasa kumtoa mama mkwe roho ndo nn?kakukosea nn? au naye ulimuomba papuchi akakautolea nje sasa ukaona dawa ni mkulamba Shaba si ndio!!!
 
Nauhakika sana...badae tena. ..alitumia jina lingine...he was kinda a funny guy kwenye threads zake. Kuna jina pia alikua akitumia....

kitu kama..." dem-wa-konabar"
what?!!.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom